Kaka wa Lissu aelezea masikitiko yao juu ya haki ya mdogo wake, adai watapambana hadi haki ipatikane

Kaka wa Lissu aelezea masikitiko yao juu ya haki ya mdogo wake, adai watapambana hadi haki ipatikane

Watanzania tuna haki ya kujua kilichotokea. Ili hii familia ipate closure lazima haki itendeke.

Mzee Lissu Mughway alizaa vichwa aisee, The Lissu's waendelee kusomesha watoto na wajukuu sheria, ipo siku jinai hii itafufuliwa upya.

Bwiyaya/wiyaya.
 
Serikali inapambana kupiga marufuku bunge linatunga sheria kali kupiga vita hayo mambo yako ya kupakuliwa kinyesi lakini wewe umeamua kujiweka hadharani naiomba serikali ikuchukulie hatua kali wewe kuendelea kutoa pamnyero!
Mbona unajinyooshea kidole mwenyewe,unazidi kujimwaga ili wadau wakuone. Endelea tu ndiyo maisha uliyoyachagua mwenyewe.
 
..walifika kwa Prof.Kabudi, na Prof.Kilangi, kudai haki lakini wakagonga muamba.
Usichokijua ,kabudi hakufanya hayo kwasababu ya sheria za nchi

Ila kumbukeni tambiko lakwanza la lisu kilichotokea

Sasa ,inatambikwa gari tusubirie tuone
 
Wanazidi kuwa wakaidi kama wale waovu, wasije kusema hawakujulishwa kuwa tenda wema ujinusuru na kuwa ukijutia kwa uzuri utasamehewa.
Watu hawakuelewa siku lisu anakunywa supu ya mbuzi na kitaifa mengi yalitokea ,aliyepata naye shambulio nae anaenda kupata tambiko GARI ,tusubirie mana singida sio wajinga kama kigoma kasikazini kwa kaka yetu pendwa zitto zuberi kabwe
 
Back
Top Bottom