Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
wanaotakiwa kuchunguza ndiyo wahusika wenyewe unategemea nini?Nchi inashangaza sana yaani tukio lile halijafanyiwa uchunguzi mpaka leo wakatika ni murder case.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaotakiwa kuchunguza ndiyo wahusika wenyewe unategemea nini?Nchi inashangaza sana yaani tukio lile halijafanyiwa uchunguzi mpaka leo wakatika ni murder case.
Kipara bila akili ni Sawa takoJamaa wanafiq walikuwa wapi kitambo hatukuwaona kudai hiyo haki!
Kipara bila akili ni Sawa takoKuwa nayo wewe ya bata ikusaidie kuharisha na kula majongoo!
Kipara bila akili ni Sawa takoPunguza shobo kuna mimba za utotoni!
Kipara bila akili ni Sawa takoAchangiwe hio sio kesi!
Mbona unajinyooshea kidole mwenyewe,unazidi kujimwaga ili wadau wakuone. Endelea tu ndiyo maisha uliyoyachagua mwenyewe.Serikali inapambana kupiga marufuku bunge linatunga sheria kali kupiga vita hayo mambo yako ya kupakuliwa kinyesi lakini wewe umeamua kujiweka hadharani naiomba serikali ikuchukulie hatua kali wewe kuendelea kutoa pamnyero!
Nadhani baada ya kuona zile tundu kibao kwenye gari ndio uchungu ukaongezekaJamaa wanafiq walikuwa wapi kitambo hatukuwaona kudai hiyo haki!
Hamjaacha tu?Jamaa wanafiq walikuwa wapi kitambo hatukuwaona kudai hiyo haki!
Ndio kundi gani bwana mdogo?Tunajua uko kwenye kundi lililomliza gwajima wa wizara maendeleo
Lakukatikiwa viunoNdio kundi gani bwana mdogo?
Nilisikia Wanachadema kibao wanafanyiwa hivyo na mwenyekiti wao akishakunywa bapa,ni kweli?Lakukatikiwa viuno
Usichokijua ,kabudi hakufanya hayo kwasababu ya sheria za nchi..walifika kwa Prof.Kabudi, na Prof.Kilangi, kudai haki lakini wakagonga muamba.
Sasa ,inatambikwa gari tusubirie tuone
Watu hawakuelewa siku lisu anakunywa supu ya mbuzi na kitaifa mengi yalitokea ,aliyepata naye shambulio nae anaenda kupata tambiko GARI ,tusubirie mana singida sio wajinga kama kigoma kasikazini kwa kaka yetu pendwa zitto zuberi kabweWanazidi kuwa wakaidi kama wale waovu, wasije kusema hawakujulishwa kuwa tenda wema ujinusuru na kuwa ukijutia kwa uzuri utasamehewa.