Kuna mtu alikua anapayuka hiv hivi. Leo ametaitika hawezi kuhema vizuri na amekiri kwa kinywa chake mtu anayebeza corona ni MPUMBAVUUtakufa kwa hofu zako mjinga!
Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
KAMA SIO STORY TUMA PICHA.! JPO POLE KWA MSIBAKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa.
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Ushachanjwa, mjinnga mama yako, pimbi weweMnakufa kwa hofu zenu wajinga!
Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
Katika watu bado wabishi kuamini ili gonjwa lipo na linakata watu ni wasukuma jamani.nipo nao kanda ya ziwa ukimwambia ukweli hana kuambia angekuwepo magufuli haya yote yasingekuwepo [emoji23].
Sasa gonjwa linasubiria mtu
Mkuu, mimi nimepata hii kitu. Niliumwa homa kwa wiki nzima, siku ya 9 miguu ikaanza kuvimba moyo kwenda mbio na Kukosa nguvu, wife wangu ni daktar alipoona hivo akasema Twende hospital, kutoka nyumban mpaka Agha Khan mjini niliendesha mwenyewe gari. Nimefika pale Nipo na uchovu haswaaa na moyo kwenda mbio, kuchek SPO2 tayari ishashuka to 90%, pia breathing ipo ya fasta fasta . X-ray ikaonyesha mapafu yote yana pneumonia na pia CRP ipo juu. Nikalazwa na ikalazimu kuwekwa kwa Oxygen. Aisee nakuambia isikie Corona kwa watu, usiombe yakukute. Nawatizama sana wanaobeza chanjo na kuwasikitikia. Hakika hawajui walisemalo. And kwa taarifa tu, Nipo kwenye miaka ya 30’s sina sukari, pressure or any underlying disease but cha moto nilikipata. Over 7 days ndani ya Oxygen. Kwa hiyo nawashaur chukueni tahadhari Corona ipo na inaua sana na matibabu ni gharama sana.Kila kifo kitasinyiziwa ni corona. Kajipeleka mwenyewe na alipobiwa ana korona mshtuko ukammaliza.
Corona ipo lakini acha kueneza hofu kwa watu,Manaswara huwa mnahifadhi maiti mochwari hata miezi 12 ili mfanye sherehe,mara sijui mdogo wake yupo belgium,shangazi yake yupo Australia tunawasubiri hadi wafike.Ndio maana maiti zipo kumi huko Rombo kwa wakati mmoja zinaombewa,Ingekuwa mnazika immediately kusingekuwa na maiti zote hizo.Leo kwenye group la whatsapp la famila ya wife, huko Rombo jana padri alifanya misa ya pamoja ya watu 10, Jamani hii kitu ni serious
Mnakufa kwa hofu zenu wajinga!
Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
uyole?? me npo Mbeya hapa mbona hali inatishaUyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Sana yaan ukipata huu ugonjwa mwili unavyoreact usiombe, mm nlipata ile ya wimbi la pili lakin Mungu ni mwema niliishinda!! [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]Corona ugonjwa mbaya sana.
Ndicho nlifanya nlipoipata!! Na ukiwa mwoga aisee unawezakufa kwa woga badala ya kirusi chenyeweKati ya kosa alilofanya n kwenda hospitali, ukiukwaa kaa home, jidisconnect na ulimwengu halafu assume ni tatizo la kawaida! Mm kama mm nimeupata nisave kwa namna hiyo lkn n maumivu yasiyoelezeka! Poleni sana
Akili za panya ni kutuambia jamaa alipelekwa hospitali kwa maradhi ya uchovu...Ukishaondokewa na mtu wako wa karibu basi hizi akili zako za panya zitakaa sawa.
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa.
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Rafiki yangu wa kitaaa Frank amefariki jana hapo uyole kwa Covid19 [emoji26]Uyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa