Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mpaka pichu ikaloa ☺pole sanaUsiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
Kama umeipata price mama, tuliza mshono sasa ..Sawa nimeelewa... kumbe issues ni price yake!sasa nimeelewa. Nilikuwa nafikiri yanauzwa 35 au 40,kumbe 15 unapata,ndio maana yamebebwa sana!
NilikuonaUsiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
Sikuiz sio wanaume tu hadi vimdada vyenye tuviatu vya manyoa vinavaa mabegiHa haaaaaaa kumbe ndio hivyo!huwa natamani kujua wameweka nini humo?
Ha haaa unaona sasa Hadi Bibi anatamani kujua kuna nini ndani ya begi!tuko wengi mnao tuchanganya na hayo mabegi yenu jamanimizigo yangu.
Na kisu kipo kea ajili ya matunda.
Nalipenda begi langu maana uwa linawachanganya watu hawwjui nabeba nini.
Bibi uwa ananiambia "wewe isije hicho kibegi uwa unauza bangi.lete nifungue nione umebeba Nini'
Yaani kila siku anatamani ajue kwenye begi nabeba nini
ha haaaa vimdada vya tuviatu twa manyoya vibegi vyao ni vidogo vinamauamaua vinashonwa na Mangi kiwanda kikuu kipi Tandika.... Mangi nae kabisa pesa sanaSikuiz sio wanaume tu hadi vimdada vyenye tuviatu vya manyoa vinavaa mabegi
🤣🤣🤣Huu ni uchokozi[emoji23][emoji23]
Haya ntachunguza🤣🤣Kabla sijatoa kibanzi sio!sie pochi zetu siku hizi Ni ndogondogo vipima joto.chunguzaa utaona
Ahaa sawaNyie nawaelewa,Sina tatizo na nyie,hapa nawauliza wale wanaofanya kazi officn ndio Siwaelewi kwa nini mabegi yamejaa vile!
Huku saivi ni msimu wa kilimo kwahiyo wanaume wote wanabeba majembe, mapanga, rato nkHuko mikoani Nyie hayajafika huko?
Wewe unakula nyumbani huwezi kuelewa mishe mishe za wanaume,mwanzoni Mimi nilikuwa nabebea laptop,set ya screwdriver,multimeter,vifaa vya engineer vya kufanyia kazi za umeme.Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?
Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
wewe nakuelewa!na muajiriwa wa Benki anabebaga nini?Wewe unakula nyumbani huwezi kuelewa mishe mishe za wanaume,mwanzoni Mimi nilikuwa nabebea laptop,set ya screwdriver,multimeter,vifaa vya engineer vya kufanyia kazi za umeme.
Laptop ilipoibiwa,lazima nitmbee na set ya screwdrivers,multimeter,fluke type,nk,
Mie ni engineer technician wa umeme,Nina kazi site zaidi ya 100 zenye majenereta,bara na pwani,wakati wowote mteja akipiga cm,mi naingia mzigoni,popote naenda na begi langu,niwe msikitini,niwe nimevaa suti,lazima niwe na begi,ndani yake pia naweka nguo za gym,mambo ya kiume ya kuhustle huwezi kuyaelewa mdogo wangu.tuulize sie tuliojiajili,wakati wowote unavuka boda,unakwea pia,begi lazima liwe na hata mswaki na dawa,maana ukiamka hujuhi utalala wapi,guest au polini
Hakika...Tatizo watu wa siku hizi wabishi sana!