Kaliba ya Ualimu lazima iheshimiwe

Usijizime data, walimu ndio wamekua wasimamizi wakuu katika vituo vya kura au ulikua hujazaliwa, na huez iba kura bila kushirikiana na msimamizi mkuu wa kituo cha kura. Ninaongea ninachokijua
Kuna siku kada ya ualimu itasimama na kuheshimika tena!
 
Usijizime data, walimu ndio wamekua wasimamizi wakuu katika vituo vya kura au ulikua hujazaliwa, na huez iba kura bila kushirikiana na msimamizi mkuu wa kituo cha kura. Ninaongea ninachokijua
Narudia tena wanajamii forum wa Sasa mmelifanya likawa jukwaa la hovyo Sana Sana!! Na kama wewe ni msomi!? Dah!!ndio tunaambiwa wasomi watz hawaajiriki!!
1) ni hivi!??mwalimu hahusiki na chochote kwenye wizi wa kura!! Mimi sio mwalimu ila nimesimamia chaguzi mara mbili!! .walimu KAZI zao ni kukata kura ( Ile karatasi ) kujaza takwimu kutoka kitambulisho Cha taifa kwenye karatasi!!
,Kisha,kumuelekeza mpiga kura namna ya kutumbukiza (ballot paper) kwenye box husikia!!
2) baada ya kura kupigwa na kituo kufungwa ,kura huhesabiwa na watu kutoka nec na mawakala wa vyama!!
3) matokeo ya kituo hujazwa kwenye form na mawakala wa vyama husaini!!
4) matokeo hubandikwa na raia hapata mrejesho!! Wa kituo husikia!!
5) matokeo mengine nakala hupeleka hukoo halmashauri!! Kwa majumuishi ili kutangaza washindi!!
Swali langu !! Hapa mwalimu anaibaje kura!?? Hebu tueleze mwalimu anawezaje kukisaidia CCM!!
Narudia kusema jamii forum imepoteza sifa!! Wanajukwaa wanaulewa mdogo mnooo!! Mpaka Huwa nashangaa Sana!!
 
Hebu usiandike mengi ukaonesha jinsi usivyojua kitu, hivi unajua michongo ilikua inafanyika wakati gani, unajua kwann walimu ndo walikua wanachaguliwa kuwa wasimamizi wakuu. Siendelei tena ili usipate faida ila jua tu ili waalimu wapate heshima yao waache kujifanya wao ni tawi la chama
 
Mtu ni mwalimu analipwa chini ya laki 5,hapo hajakopa,madeni kibao kitaa,mwalimu anakopa Kwa Kila mtu
Toa data Mzee huyu ni WA level Gani!? Je kada nyingine zenye level kama hiyo ya mwalimu wanalipwaje!??
Mfano twambie mwenye certificate ya maendeleo ya jamii ,mwenye certificate ya Uhasibu analipwaje!? ,Mwenye certificate ya mifugo analipwaje!!,mwenye certificate ya kilimo analipwaje!?? Je kama wote ni watumishi wa umma wanatofauti na mwalimu mwenye certificate!??
Narudia,Kuna uelewa mdogo mno humu kwenye jukwaaa watu wengi hawajui kitu Wana urge kitoto sana!!!!
 
Hahaha aisee !?? Pole Sana Kwa staili hii kweli hamuajiriki!! Lakini kuniambia mwalimu anaiba kura hapana hapa mnawaonea hawahusiki kabisa kabisa !! Nakwambia nimeona mwenyewe kama ni kuibuwa ni kwingine sio kituoni
 
Walimu woteeee ni malofa hakuna mwenye ahueni.
 
Nakuheshimu sana bro, ila unadhani ni uongo katika yote yaliyoongelewa? Sema mada ziliwasilishwa katika lugha zisizo za staha. Lakini ni ukweli asilimia 100 waalimu wetu wana changamoto nyingi na hata wewe hujataja hata moja, zaidi umezunguuka tu.
Unamuheshimu mlevi?
Oyaaa hastahili hiyo kitu
 
Kusema ualimu ni kazi ya laana ndio ukweli?
Tena ni kazi ya kiduanzi mno kwa hapa bongo.
Wewe una nini hapo ulipo zaidi ya ulevi na kushinda JF yani wewe ni sawa na ma-jobless umebakisha uchawa wa kuwasifia wenye JF

Ndo tabia za walimu hizo full kujishobokesha, maisha magumu, vimikopo vingiii, biashara za kiduanzi kibaooo na wewe unatabia ya kuombea sana watu ban SIJAKUSAHAU sijui platform unahisi iko hii tu 🚮
 
Wewe una nini hapo ulipo zaidi ya ulevi na kushinda JF yani wewe ni sawa na ma-jobless umebakisha uchawa wa kuwasifia wenye JF [emoji3][emoji3][emoji3]
What a wasted manii..[emoji848][emoji2827]
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…