Precision ingne hioAskari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki msiba, mati itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpteza classmate wangu
Hii Nchi ya ajabu sana Askari hajui kuogelea, Jangili anajua kuogelea, sasa tufanye hivi ingetokea Ndege ndogo yenye watu sita ingetumbukia humo Ugala Askari wangemuomba Jangili asaidie kuokoa?π€kama hujui kuogelea
Nina wasiwasi sana na elimu yako ya uhifadhi.
Unaposema masikini alienda kujitafutia chochote hifadhini maana yake unahalalisha watu masikini kuingia hifadhini kujutafutia, well watanzania karibu 90% ni masikini, tungeruhusu kila mwananchi masikini "kujitafutia chochote" hifadhini leo hii tusingekuwa na hifadhi hata moja. Wake up.
Pili, hifadhi zinalindwa kwa faida ya watanzania wote. Mapato yanayotokana na uhifadhi yanaingia serikalini na kumsaidia kila mtanzania hata asiye jirani na hifadhi.
Ni kweli jamii jirani ni vizuri ikashirikishwa kwenye uhifadhi, lkn hii haimaanishi lazima kuwe na direct flow ya mapato kutoka hifadhini kwenda vijijini. Faida za uhifadhi sio pesa tu, hata faida za kiikolojia ni muhimu. Leo hii tunalalamika mvua hakuna ni sababu ya matendo yetu wenyewe ya uharibifu wa mazingira.
So, jaribu kuwaza holistically utaona sio busara kutumia neno masikini anajitafutia chochote. Mbona mtu haendi kuvunja duka la mtu kuiba kwa kigezo cha yeye masikini anajitafutia chochote? Sheria za kuhifadhi zimetungwa wakijua kuna watu masikini!
Hata humu kuna mito ina vina virefu na ina maji kibao ,Ni mto gani huo sasa hivi kiangazi kina kina kirefu?
Alikimbia juu ya majialikimbia
Askari wengi wameenda kwasababu ya ajira tu, ila hawazipendi zile kaziHii Nchi ya ajabu sana Askari hajui kuogelea, Jangili anajua kuogelea, sasa tufanye hivi ingetokea Ndege ndogo yenye watu sita ingetumbukia humo Ugala Askari wangemuomba Jangili asaidie kuokoa?π€
Askari wanyamapori hivi kwani wana roho ngumu hivi? Wanalishwaga nini?Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini?
Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Unapoambiwa jangili huenda ni mwindaji wa ndege au dikidiki/digidigiKwa nini hawakumtandika risasi jangili?
Kila Jeshi lifundishe Askari wake kuogelea kwanza iwe ni lazima kabla ya kuanza ajira.Askari wengi wameenda kwasababu ya ajira tu, ila hawazipendi zile kazi
Astaghifilullah!Tena?Ila angeweza kumtia nguvuni saa hizi angeitwa jasiri aso chembe ya uoga.Na angestahili tuzo.Kiherehere ndo kimemuua
Wanafundishwa "kuwasachi" kwanza watuhumiwa hela walizonazo.Kuogelea wanawaachia mamba.πππKila Jeshi lifundishe Askari wake kuogelea kwanza iwe ni lazima kabla ya kuanza ajira.
Unajua kwanini hajapewa ushirikiano?Astaghifilullah!Tena?Ila angeweza kumtia nguvuni saa hizi angeitwa jasiri aso chembe ya uoga.Na angestahili tuzo.
Navy wenyewe wapo watupu, ndio wenye kitengo chaoπ¦π¦π¦Kila Jeshi lifundishe Askari wake kuogelea kwanza iwe ni lazima kabla ya kuanza ajira.
akili ndogo tu!Askari wanyamapori hivi kwani wana roho ngumu hivi? Wanalishwaga nini?
Au alikuwa kabeba kiroba cha mkaa anampelekea mkewe akapike maharage.πππUnajua kwanini hajapewa ushirikiano?
Huenda jangili ni mwindaji sungura tu
Dunia ya teknolojia itaendelea kumuumbua mwanadamu mpaka pale siku atakapokuwa na nidhamu.Juzi tumeaibika sana pale Bukoba wakati Polisi na JW wamejishika viuno kwa kutojua kuogelea na kuwaachia Wasela wanaojua kuogelea.
Jamaa alitaka kufuta aibu nako kazama kabisa mtoniJuzi tumeaibika sana pale Bukoba wakati Polisi na JW wamejishika viuno kwa kutojua kuogelea na kuwaachia Wasela wanaojua kuogelea.