Sasa hivi kuna Neo LifeNdio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]
Another DECI
mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini
1. DECI
2. RIFARO
3. FOREVER LIVING
4. QNET
5. KALYNDA
6.....
Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
Inawezekana kuwa yeye siyo mchina lakini haina maana kwamba hakuna wachina wenye jina la Thomas au yanayofanana na hayo.Thomas siyo mchina
Pesa pesa tu ndugu yanguHata hivyo haijalishi sana walichangia kwasababu Kalynda ilikuwa imesajiliwa na kulipa kodi. Hata hivyo vihela vyenyewe vilivyoliwa ni vilaki laki.
Laki sio pesa???? kutapeliwa hata utapeliwe shilingi mia inaonesha jinsi gani ulivyo mzembe wa kufikiri...yaani hata ukitapeliwa shilingi hamsini bado wewe ni mjinga tu! Huwezi kufikiri vyema ndio maana unatapeliwa....Hata hivyo haijalishi sana walichangia kwasababu Kalynda ilikuwa imesajiliwa na kulipa kodi. Hata hivyo vihela vyenyewe vilivyoliwa ni vilaki laki.
ana haki ya kunena hivyo si unajua wakiwa wanafanya majaribio ya kutushawishi huwa wanafanya tuone hela tunazoweka si kitu[emoji28]Laki sio pesa???? kutapeliwa hata utapeliwe shilingi mia inaonesha jinsi gani ulivyo mzembe wa kufikiri...yaani hata ukitapeliwa shilingi hamsini bado wewe ni mjinga tu! Huwezi kufikiri vyema ndio maana unatapeliwa....
unasema degree!! kuna mwamba anasoma udaktari na kaingiza maprofesa wakeInasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Hivi kuwa na degree ndio usomi?Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Laki x laki=Hata hivyo haijalishi sana walichangia kwasababu Kalynda ilikuwa imesajiliwa na kulipa kodi. Hata hivyo vihela vyenyewe vilivyoliwa ni vilaki laki.
Shida ya kuzoea kubett kwenye maisha🥱Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Hahahaa ajiandae na supunasema degree!! kuna mwamba anasoma udaktari na kaingiza maprofesa wake
Tanzania hamna wasomi bhana, nchi imejaa mazuzumagic na wagonjwa wa akiliInasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania