Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Ndio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]

Another DECI

mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini

1. DECI

2. RIFARO

3. FOREVER LIVING

4. QNET

5. KALYNDA

6.....

Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
Sasa hivi kuna Neo Life
 
Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
 
Hata hivyo haijalishi sana walichangia kwasababu Kalynda ilikuwa imesajiliwa na kulipa kodi. Hata hivyo vihela vyenyewe vilivyoliwa ni vilaki laki.
 
Hata hivyo haijalishi sana walichangia kwasababu Kalynda ilikuwa imesajiliwa na kulipa kodi. Hata hivyo vihela vyenyewe vilivyoliwa ni vilaki laki.
Laki sio pesa???? kutapeliwa hata utapeliwe shilingi mia inaonesha jinsi gani ulivyo mzembe wa kufikiri...yaani hata ukitapeliwa shilingi hamsini bado wewe ni mjinga tu! Huwezi kufikiri vyema ndio maana unatapeliwa....
 
Laki sio pesa???? kutapeliwa hata utapeliwe shilingi mia inaonesha jinsi gani ulivyo mzembe wa kufikiri...yaani hata ukitapeliwa shilingi hamsini bado wewe ni mjinga tu! Huwezi kufikiri vyema ndio maana unatapeliwa....
ana haki ya kunena hivyo si unajua wakiwa wanafanya majaribio ya kutushawishi huwa wanafanya tuone hela tunazoweka si kitu[emoji28]
 
Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
unasema degree!! kuna mwamba anasoma udaktari na kaingiza maprofesa wake
 
Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Hivi kuwa na degree ndio usomi?
 
Elon Musk once said
"I hate when people confuse education with intelligence, you can have a bachelor's degree and still be an idiot".
 
Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Shida ya kuzoea kubett kwenye maisha🥱
 
Kuna watu utawasikia '' sisi tumesoma bwana wale hawana elimu ''haya mzee usomi wako umelisaidia nn taifa na ww kwa ujumla au ndo wale wakutapeliwa .
 
Inasikitisha sana badala ya wasomi wetu kuja na tafiti kuhusiana na maendeleo kwa taifa letu, wanaishia kutapeliwa na michezo kizembe zembe pasi na ku reason, Kuna rafiki zangu kama Wa4 hivi degree holder wengne waalimu na wao wapo miongoni mwa waliotapeliwa.. Bila shaka na wewe mdau unawajua waliotapeliwa education status zao.. Tuamke Watanzania
Tanzania hamna wasomi bhana, nchi imejaa mazuzumagic na wagonjwa wa akili
 
Kama Wasomi wanawekewa Tozo inafutwa harafu wanawekewa nyingine inafutwa wala hawazungumzii chochote kwa zile Tozo zilichukuliwa kwa kuibiwa unadhani watafanya nini kuzuia wasiibiwe hela zao mfukoni...Mzee wa Tozo anawatamani atakuja na mguu mwingine anaona kumbe wahuni wana hela za kuchezea..
 
Back
Top Bottom