Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Serikali iwajibike. Haiwezekani waruhusiwe kufanya biashara ya pesa bila dhamana.

Wananchi wataelewa serikali ndiyo imewatapeli.

Walisajiriwa brella wakalipa kodi.

Huku mtaani ni vilio tu mpaka huruma.

Nashukuru Mungu sikufanya ujinga huu
Safi wapigwe tu kuna jamaa angu amenisumbua Sana kuniunga mm nilimgomea ila pia Bado tu aliendelea kunisii nikamgomeaa sas acha impate tu
 
Hawakushika panga ila unajua kwa nini wanahusika sababu ya reputation yao. Unadhani hili Tangazo lingekua Carrymastory linakua na weight kama ya ITV? Jibu ni hapana. Jamii ina imani kubwa sana na ITV na ndio maana hata habari ITV ina aminika zaidi.
Hat hvyo itv leo hawakuweka katk kipindi Chake Cha asbhi
 
Narudia tena "Kichwa cha mwendawazimu ndio huwa cha kujifunzia kunyoa"

Kama mtu anaona anaweza tumia fursa ambayo mtaji ni Wajinga,,, acha waliwe tu... na uzuri Wajinga huwa hawaishi...
 
Narudia tena "Kichwa cha mwendawazimu ndio huwa cha kujifunzia kunyoa"

Kama mtu anaona anaweza tumia fursa ambayo mtaji ni Wajinga,,, acha waliwe tu... na uzuri Wajinga huwa hawaishi...
Na nchi ina wajinga wengi sana

Na sahv kuna watu watakuja kwa style nyingine kujipigia wajinga hawa

Ova
 
Forever living washenz kupind sima mishe nkambiwa kun semin ya kuwa tajul nkaenda jaman jamaaa wana maneno sema duh MUNGU NI MKUBWA WALINIKOSA.
 
Ndio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]

Another DECI

mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini

1. DECI

2. RIFARO

3. FOREVER LIVING

4. QNET

5. KALYNDA

6.....

Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
6. JATU
7. NAMAINGO
8. MR KUKU
9. VANILLA VILLAGE
10. MTANDAO KIJANI KIBICHI
11. MCHAICHAI NA ALOVERA SIJUI NA ZAO GANI HUKO
13. SUNGURA VILLAGE

NB: KUNA UWEZEKANO MKUBWA SERIKALI NA MAAFISA WAKE WANAHUSIKA NA HII MITANDAO TA KITAPELI KWANI IKIWA SERIKALI INA VYOMBO VYA USALAMA KILA MAHALI INASHINDWA VIPI KUDHIBITI HIZI KAMPUNI ZINAISHI NCHINI MIAKA KADHAA MPAKA WATU WATAPELIWE NA WAKISHATAPELIIWA SERIKALI INAWAFUNGIA KUTUZUGA KUSHA ZILE AMANA ZILIZOBAKI ZINABEBWA NA SERIKALI NA WANANCHI HAWAAMBULII CHOCHOTE ....KUNA KITU SERIKALI INATUFANYIA...HALAFU WANAIBUKA WENGINE NA HAKUNA KESI YOYOTE DHIDI YA HAYO MAKAMPUNI NA PIA YAKIWA YANAANZA HUPEWA PROMO NA VIONGOZI WA SERIKALI HII HII.
ME. KUKU WALIJIFANYA WAMEMKAMATA FEDHA ZA WATU ZIKAPOTEA AKASEMA ZIMEBEBWA NA SERIKALI, SASA KAJA KIVINGINE NA ANAENDELEA KUWAKAMUA WABONGO KIULAINI
KUNA MCHEZO UNACHEZWA SERIKALI INAWAANDAA HAWA MATAPELI WANAVAWANA DAU SIO BURE AISEE
 
Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,

Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI

Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Mungu aamue ugomvi gani? Mungu alikupa akili za kufikiri na mikono ya kufanya kazi. Alituambia kabisa kuwa tutakula kwa jasho. Wewe umetaka ulaini, kula bila jasho unadhani utasaidiwa?
 
Tuwe watulivu, serikali yetu ni sikivu itatoa tamko juu ya hili..[emoji38][emoji38][emoji38]
SERIKALI ipi hiyo unaisemea wakati yenyewe ndio inadhamini hizo mishe?
Umeshawahi sikia wamewafungulia mashtaka hata siku moja?
Hujawahi jiuliza kwanini wakishatapeli Serikali yako inatangaza kuwafungia halafu watu hawarejeshewi pesa zao zinachukuliwa na serikali?
Wanapewa usajili na serikali ya nchi ipi kiyafanya hayo? Wengine wanasajiliwa mpaka DSE na mambo kimya kimya tu?
Umeshawahi jiuliza kwamba vyombo vya usalama huwa havioni muda wote huo wanajitokeza watu wengi wakijiunga na mpunga ukawa mrefu?

WATANZANIA MUWE NA AKILI HAYA MAMBO YANAFADHILIWA NA SERIKALI YENU ....
 
Kama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kaylnda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now Kalynda wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
mtajijuwa ninyi mnaopenda mambo simpo hapo mjini.Si tuliyoko kijijini hata hatujuwi hayo.
 
Pasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.
Wao wafanyabiashara kosa Lao kupokea matangazo au?
Hizo kampuni si zimesajiwa na SERIKALI yako sikivu? Zimeanza Leo kwani au huja na versions tofauti tofauti tu?
Serikali ndio MFADHILI wa Hawa matapeli wote anzia DECI mpaka Leo mnahangaika na KALYNDA wenu huyu
 
Kama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kaylnda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now Kalynda wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
Kuna mwana alikuwa ananishawishi nijiunge[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Serikali haihusiki na common sense za wananchi.
Ila inahusika kwenye kugawana huo mpunga kimya kimya kwa kisingizio Cha sheria ya fedha ilhali wakati YANAANZA hayo makampuni intelijensia Yao haiyaoni Ila inawapa usajili na mengine Hadi DSE yanajisajili kuuza hisa na ikifika wakati wa kuwarejeshea wananchi Chao inakuwa utashi wa mwananchi.
Wananchi wasiamini TAASISI na agencies za serikali Kama TRA, BRELA, HALMASHAURI, DSE, NK BILA KISAHAU PROMO KUTOKA KWA VIONGOZI WAANDAMIZI WA SERIKALI?
KWANINI HIZI KAMPUNI ZIKASHAWALIZA PESA WANANCHI SERIKALI HUZICHUKUA BADALA YA KUWAREJESHEA?
KWANI I WAHUSIKA HAWAFUNGULIWI KESI NA KITAIFISHWA MALI ZAO WANANCHI WALIPWE FIDIA?

Akili za kuambiwa changanya na zako, serikali yako ndio mdhamini wa huu UTAPELI wote.
 
Aisee poleni sana. Il wtz mnapenda hela za haraka mpk mnakera haya sas mtafuteni huyo kalinda awalipe
 
Kwamba kylinda katoa watu linda? nilichoshangaa baada ya kusoma uzi wa juzi ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kujua kwamba kulikuwepo na hii makitu inaitwa kylinda, yaani wana JF wenzangu tumefikia hatua ya kunyimana connection muhimu kama hizi za kuvuna mpunga, watu wanagema kimya kimya unakuja kupata taarifa game limeisha.​
 
hili nalo linataka uzazi wa mpango?
Hyo hela ya kuwekeza wamepata wapi?
hao Wana hela za kuchezea ndo maana wanazitumia.mchana sijala unaniambia nikawekeze kalyinda nitakuelewa,?
Kadri wasomi wanavyokosa kipato cha uhakika, ndivyo uhalifu uongezeka. Idadi ya watu kubwa, uchumi wa nchi mdogo. Africa kuna shida kubwa sana. Tufanye uzazi wa mpango kama Ulaya.
 
Back
Top Bottom