Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba

Imefika hatua hauwezi kutofautisha kati mke, mpenzi na kahaba maana along the way wote watataka hela kama nguzo ya hayo mahusiano, hakuna pesa hakuna mapenzi.

Dada angu unataka pesa au matunzo kutoka kwa mwanaume tambua ya kwamba unauza uhuru, uko mbeleni ukichepuka au kutaka muachane iyo lazima italeta shida.

Hakuna mwanaume atataka kukutawala ikiwa hajawahi kuingia gharama ya hata shilingi 1 kwa ajiri yako, kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume uliyenae siku zote za maisha yako basi usile hela zake.

NB: Kama unajiuza weka wazi pale pale unapotongozwa mkubaliane bei then baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama zozote.
Umeshapata ajira mkuu.?
 
Kwa utawala huu kichaa wa bibi chaudele bila kutuliza shanga watapigwa sana matukio
 
Mnadhani wanawake hawana akili?

Yani uwapange kadhaa, halafu uwe nao tu kwa "huruma", usigharamie chochote?
 
Mnadhani wanawake hawana akili?

Yani uwapange kadhaa, halafu uwe nao tu kwa "huruma", usigharamie chochote?
NImeweka zingatio hapo chini kama mwanamke anafikiri anatakiwa kunufaika kifedha kila anapofanya sex basi kuanzia mwanzo anapotongozwa aweke wazi ilo sharti ili mkubaliane bei na kila baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama za huduma
 
Back
Top Bottom