love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #81
Uwezo wako wa kufikir unapoishia mimi ndio unaanzia..Unapoleta mjadala nyakati nyingine usije na majibu yako kabisa au utegemee watu waitike tu Ameen!Jifunze kujifunza.Upana wa fikra.Hii tabia yako unayoonesha unajiweka dhalili.Halafu una-panic haraka na kuanza maandiko yenye ubishi tu.
Nishamaliza kuvifuta na kuvipanga kwenye kabati..Kaoshe vyombo!😝😝😝😝
Ubishi na kutopenda kujifunza kwa mambo mepesi ni tabia ya viumbe waishio mapangoni.Huna ujualo weye!Penda kujifunza!Uwezo wako wa kufikir unapoishia mimi ndio unaanzia..
Kama uko biased na irrational kwa maneno bayana kama hayo huweniwezi.
Mipasho mpelekee Khadja Kopa.Ubishi na kutopenda kujifunza kwa mambo mepesi ni tabia ya viumbe waishio mapangoni.Huna ujualo weye!Penda kujifunza!
wakati mwingine uje na reference za hayo maarifa yako.Ubishi na kutopenda kujifunza kwa mambo mepesi ni tabia ya viumbe waishio mapangoni.Huna ujualo weye!Penda kujifunza!
Ukiendelea kusoma ameeleza kwenye eneo ambalo lilikuwa linavuja ni uhuru.
Kichwa panzi.
Ukiwa mtulivu na mwenye kupenda kuchukua maarifa,utapata vielelezo na mifano bora.Ila ukiendelea kubeba hicho kichwa chako kama punje ya mchele,utaachwa hivyohivyo uendelee kurina asali na kukusanya maboga porini.wakati mwingine uje na reference za hayo maarifa yako.
Kichwa panzi sawa!?
Yes, that's me! So what? Magufuli is in hellYour blinded with your own ego!
Hell is illusion only to be found in your mind.Yes, that's me! So what? Magufuli is in hell
Hahaha!!! reasoning yangu ni kubwa sana iko objective and rational.Nadhani reasoning yako ni ndogo sana kama umeweza kutumia hiyo statement ya Bagonza kupindisha ukweli wa alichomaanisha.
Kwa hiyo Kati ya yote hayo yeye alifaulu moja tuu? Basi ni mtu asiyefaa kabisa kuwa kiongozi.Kwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740
Wewe una uthubutu!?Kwa hiyo Kati ya yote hayo yeye alifaulu moja tuu? Basi ni mtu asiyefaa kabisa kuwa kiongozi.
Ninao sana tuu,ukiona huna uthubutu lazima uwe unajipendekeza nk,,mimi sina huo ujinga na sio muoga..Wewe una uthubutu!?
Bora kufaulu moja kubwa kuliko mengi madodo.
Saivi uthubutu umeenda wapi au ndio njaa!?Ninao sana tuu,ukiona huna uthubutu lazima uwe unajipendekeza nk,,mimi sina huo ujinga na sio muoga..
Nilikosoa Mwendazake kwenye mitandao toka hata hajawa Rais kwa kuwa nilishamfahamu kitambo Sana toka enzi za MKapa.
Mimi sio mwanasiasa na siko interested na mambo ya siasa bali Niko interested na management of the economy..Saivi uthubutu umeenda wapi au ndio njaa!?
Matusi ya nini Sasa huini ulivyojidhihirisha kwamba hauna reasoning sawia?Hahaha!!! reasoning yangu ni kubwa sana iko objective and rational.
Tofauti na yako ambayo iko subjective, biased and irrational.
Sawa kichwa panzi?
Comment ya kufungua uziHata Hitler alikuwa na waliompenda na kumsifu.
Big up👍 kwa kuishi Amerika.Huku amerika tunajua sababu ya kifo chake ni covid-19.na so vile udhaniavyo,ondoa fikra mbofumbofu kichwani kwako.