Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Mtoa mada nimjuaji asie jua chochote tumuache ajifurahishe asongeshe sikuzake zakuishi sikuyake iwadie akakutane na mashangazo ndio atakapo jilaumu lakini itakua ashachelewa.
 
huyu ukweli anaujua ila anajitia ufyatu kwamba haelewi na anajifanya anahoja Sana kumbe nihoja zakitototu.
 
nimekupata hapa Bali ninaswali moja naomba unijibu Kama unaamini kua kiladini inamungu wake na kitabu chake sasanataka kujua dunia tunayo ishi nakilakitu chake ninani kaiumba
 
Haina haja ya kujibu nishaelewa kwamba kila taifa lina Mungu wake, hiyo ndio point ya msingi.
Asante sana kwa kunipa elimu hiyo msomi nilikuwa sijui.

Kumbukumbu la Torati 6:14
Msifuate miungu mingine katika miungu ya mataifa wawazungukao;

Ukitaka kujua majina(proper name/personal name) ya miungu ya mataifa kama Misri, Kanaani, Yordan, Moabu, Waajemi, Wamedi, warumi yote ipo Kwa Majina ninaweza kukutajia with Reference.
Na pia ukitaka kujua mungu wa waarabu nitakutajia achilia mbali huyo Yehova Mungu wa Wayahudi.

Ndio maana watu wote wenye maarifa, ufahamu, elimu na Ujuzi watashangaa wakisikia wakisema Allah akamuambia Musa au Daudi au Yesu ilhali Allah sio Mungu wa Wayahudi. Huo utakuwa ni uongo mkubwa ambao hautavumiliwa.

Au mtu aseme Torati, injili, Zaburi na maandiko yote ya kiyahudi ati yawe yametoka Kwa Allah, huo ni upotoshaji na wanaopotoshwa na watu wasioelimika au walioamua kupotoka.

Au Yehova amuagize Muhammad muarabu yaani huo utakuwa uongo mkubwa
 
Huu udini unakusaidia nini?
 
nimekupata hapa Bali ninaswali moja naomba unijibu Kama unaamini kua kiladini inamungu wake na kitabu chake sasanataka kujua dunia tunayo ishi nakilakitu chake ninani kaiumba

Hilo ni swali gumu Sana Kwa sababu kila mungu wa kila jamii anatamba kuwa ndiye muumbaji.
Ukienda Kwa Wachina wao wanaamini Mungu wao ndiye kaumba dunia, alafu wao hawana Stori ya Adamu na Hawa.
Stori ya Adamu na Hawa zipo Kwa hizi Dini zenye Asili ya Abrahamu ambazo ni Ukristo, uislam na uyahudi na Dini zingine ndogondogo ambazo sio maarufu.

Ukizisoma Kwa kina hizo dini zote utakuja kugundua kuwa miungu hiyo ndio inafanya uwepo wa atheist kwani miungu hiyo kuna mahali pengi imeonyesha ubinadamu zaidi kuliko uungu.

Hata hivyo Kwa Uelewa wangu naamini,
Kama kila mtu alivyo na Baba yake mzazi ndivyo kila jamii ilivyo na Baba yake Kiroho yaani mungu wa jamii Fulani.
Na yupo Mungu wa miungu ambaye ndiye aliyeumba wote na vyote.
Ila yeye haonekani na hatakuja aonekane.

Ninaamini kila jamii inamungu wake.
Aliyepewa majukumu ya kuwalinda watu wa jamii hiyo na MUNGU MKUU asiyeonekana.

Ila Allah na Yehova wote ni miungu lakini sio Yule Mungu Mkuu
 
Mbona wewe unamfuata Paulo aliyemgeuza Yesu kuwa Mungu kwa wewe kumwabudu yesu Kama Mungu?
 
Mimi mbona nakuelewa vizuri tu na si ndio maana toka mwanzo nilikwambia kuwa Qur'an na Biblia ni vitabu vya dini kwa maana vya kiimani hivyo hakuna namna unaweza kujadili hivyo vitabu kwa kuweka pembeni msingi wa hivyo vitabu kwamba ni imani.

Mimi nilikuwa najua tu kuna imani za kuamini Mungu mmoja na imani za miungu mingi ila sikujua kuwa kwamba kila taifa lina mungu wake.
 

Maneno hayo yamo katika biblia ipi ?
 
Mtoa mada nimjuaji asie jua chochote tumuache ajifurahishe asongeshe sikuzake zakuishi sikuyake iwadie akakutane na mashangazo ndio atakapo jilaumu lakini itakua ashachelewa.

Uelewa mdogo ndio unaiangamiza Afrika.

Wewe ndio utajilaumu Kwa sababu unaabudu vitu usivyovielewa na kudhani ati utapewa Thawabu!
Siku ukiacha hisia zisikutawale utaelewa kuwa ulikuwa umepotoka
 
Kuamini nako kuna sababu, sasa wewe mwenzetu unaamini kwa sababu zipi?
 

Wewe huwezi elewa Kwa sababu huna elimu ya Historia.
Ushaambiwa Yehova ni Allah ni miungu wawili tofauti kutoka jamii mbili tofauti wewe bado hauoni kina wizi umefanyika?

Ndio maana nikakushauri ni Bora ukajielimishe Kwanza mambo ya Historia kisha mambo ya Dini ili unapojadili ujadili Kama mtu mwenye Uelewa na sio kama mwanafunzi anayetafuta Uelewa
 
kwahio huyo mungu mkuu ndio kaumba dunia nakilakitu ikiwemo sisi?na hakutuwekea sheria yoyote?walahakuandika kitabu chochote kitakacho tuongoza? kamahawa miungu wengine walivyo fanya kutuandikia vitabu vyao ambavyo vinatuongoza sisi tunao waamini.
 
Sawa mkuu kwa kuwagea waarabu Mungu wa asili kwamba ni sawa na kabila huchagui.
 
Kuamini nako kuna sababu, sasa wewe mwenzetu unaamini kwa sababu zipi?

Naamini Kwa sababu Miungu yote miwili Allah na Yehova Kwa mujibu wa vitabu vyote viwili imeonyesha mapungufu makubwa ya kibinadamu.
Tafsiri yake ni kuwa Yupo Mungu WA miungu ambaye yupo above hiyo miungu ambaye hajishughulishi na maisha ya Wanadamu, kwani tayari kawaachia utawala miungu mingine wafanye.

Uwepo wa miungu mingi pia ni sababu ya kunifanya niamini yupo Mungu Mkuu MUWEZA WA YOTE ambaye ametoa majukumu Kwa kila mungu kulingana na jamii za viumbe na watu.
 
Labda nikuulize mkuu msomi wangu, wewe umesoma hizo dini zote mbili au tuseme una elimu ya Qur'an na Biblia?
 
Sawa mkuu kwa kuwagea waarabu Mungu wa asili kwamba ni sawa na kabila huchagui.

Sijawapa mimi Ila ndio uhalisia huo.

Wewe unababa yako na Asili yako
Mimi Nina Baba yangu na Asili yangu. Ila Kwa vile wote ni Waafrika basi bila Shaka tunatoka kwenye mzizi mmoja.
Mimi na Wewe muafrika hatuwezi kufanana miungu na Wazungu au waarabu au wachina au wahindi.

Ndio maana kuna mmoja humu nilimuambia Hana maarifa na ufahamu wa elimu ya Protocol za Kiroho.
Yeye anachojua akiomba Mungu anafikiri Mungu anayemuomba yeye Muafrika ndiye huyohuyo anayeombwa na Mchina.

Huu ulimwengu ulivyoumbwa uliumbwa Kwa Kwa mipaka na madaraja na order.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…