Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Nashangaa Waislamu wanavyo Bisha kuhusu aina za miungu na wenye hiyo miungu.
Hebu someni hapa chini

Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

Hapo tunaona Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye ndio Israeli anajitambulisha kwao.

Je kuna mahali Mungu Allah alisha sema kuwa ni Mungu yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo ?
Yaani Mungu wa Israeli ?

Tuache huko zamani.

Je Leo Waisraeli ambao wanaamini dini ya Kiyahudi kama dini ya asili yao Wanamtambua Mungu Allah ?

Maana Mungu wao Yehova au MIMI NIKO wanamtambua na kufuata maagizo yake toka zama za Nabii Ibrahimu na Musa na Wayahudi walio fuata.

Leo Waisraeli Wanamwabudu Allah na kukiri kuwa ni yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na yakobo ?

Kama sio ni kwanini ?


Wakristo baada ya kuchekecha na kutafakari kwa makini wakaachana na miungu ya kabila zao na wanasema wazi Mungu waliye mchagua ni yule Mungu aliyejitambulisha kwa Musa, Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo na wana tamka popote.

Je kuna mahali Muhammadi aliwahi kukiri kuwa Mungu aliye Mtuma ni yule yule Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo aitwaye Yehova au MIMI NIKO ?

Nasubiri Jibu
 
kwasababu ndie Alie waumba.
Mbona vitabu vyao havijawahi kumtambua Allah ?

Na Kwanini Allah asiwe na story zake za waarabu?

Mostly unamkuta story zake za Muhammad ni kuhusu dudu ya Muhammad na mademu wakajitoe kwa Muhammad
 
Naomba kujibiwa hapa.

Nashangaa Waislamu wanabisha kuhusu aina za miungu na wenye hiyo miungu.
Hebu someni hapa chini

Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

Hapo tunaona Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye ndio Israeli anajitambulisha kwao.

Je kuna mahali Mungu Allah alisha sema kuwa ni Mungu yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo ?
Yaani Mungu wa Israeli ?
Nashangaa Waislamu wanavyo Bisha kuhusu aina za miungu na wenye hiyo miungu.
Hebu someni hapa chini

Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

Hapo tunaona Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye ndio Israeli anajitambulisha kwao.

Je kuna mahali Mungu Allah alisha sema kuwa ni Mungu yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo ?
Yaani Mungu wa Israeli ?

Wakristo baada ya kuchekecha na kutafakari kwa makini wakaachana na miungu ya kabila zao na wanasema wazi Mungu waliye mchagua ni yule Mungu aliyejitambulisha kwa Musa, Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo na wana tamka popote.

Je kuna mahali Muhammadi aliwahi kukiri kuwa Mungu aliye Mtuma ni yule yule Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo aitwaye Yehova au MIMI NIKO ?

Nasubiri Jibu
 
Mbona vitabu vyao havijawahi kumtambua Allah ?

Na Kwanini Allah asiwe na story zake za waarabu?

Mostly unamkuta story zake za Muhammad ni kuhusu dudu ya Muhammad na mademu wakajitoe kwa Muhammad
ukisikia neno Allah inamaanisha mungu kwahio nimungu wavitu vyote ikiwemo wewe kwahio lazima awe nataarifa zawatu wote. wema nawaovu
 
ukisikia neno Allah inamaanisha mungu kwahio nimungu wavitu vyote ikiwemo wewe kwahio lazima awe nataarifa zawatu wote. wema nawaovu
Allah haimaanishi mungu Allah ni jina la mungu wa waarabu
 
Naomba kujibiwa hapa.

Nashangaa Waislamu wanabisha kuhusu aina za miungu na wenye hiyo miungu.
Hebu someni hapa chini

Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

Hapo tunaona Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye ndio Israeli anajitambulisha kwao.

Je kuna mahali Mungu Allah alisha sema kuwa ni Mungu yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo ?
Yaani Mungu wa Israeli ?
Nashangaa Waislamu wanavyo Bisha kuhusu aina za miungu na wenye hiyo miungu.
Hebu someni hapa chini

Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

Hapo tunaona Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye ndio Israeli anajitambulisha kwao.

Je kuna mahali Mungu Allah alisha sema kuwa ni Mungu yule yule Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo ?
Yaani Mungu wa Israeli ?

Wakristo baada ya kuchekecha na kutafakari kwa makini wakaachana na miungu ya kabila zao na wanasema wazi Mungu waliye mchagua ni yule Mungu aliyejitambulisha kwa Musa, Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo na wana tamka popote.

Je kuna mahali Muhammadi aliwahi kukiri kuwa Mungu aliye Mtuma ni yule yule Mungu Wa Ibrahimu Isaka na Yakobo aitwaye Yehova au MIMI NIKO ?

Nasubiri Jibu
(hapo tunaona mungu wa ibrahim,isaka nayakobo ambae ndio izrael anajitambulisha kwao)hapo ndio umemaanisha nini?
 
Kimesimama chenyewe , na mada hii mmeshindwa kujibu kimetoa wapi story za wayahudi
Kuhusu kutoa wapi nishajibu ila wewe tu umeshikilia Qur'an imeiba kwenye biblia, ila nishajibu kwamba Qur'an ni maneno ya Mungu mwenyewe wa mwenye vitabu vya Taurat Zabur Injili na Qur'an na hivyo Qur'an haijakopy waka kuiba kwenye Biblia bali ni Mungu mwenyewe ndio kahadithia hivyo visa.
 
Kuhusu kutoa wapi nishajibu ila wewe tu umeshikilia Qur'an imeiba kwenye biblia, ila nishajibu kwamba Qur'an ni maneno ya Mungu mwenyewe wa mwenye vitabu vya Taurat Zabur Injili na Qur'an na hivyo Qur'an haijakopy waka kuiba kwenye Biblia bali ni Mungu mwenyewe ndio kahadithia hivyo visa.
Ni uongo Allah hajawahi kuwa mungu wa wayahudi

Alafu Kuna verse ata moja Allah anasema nilijulikana kwao kama Jehovah?
 
(hapo tunaona mungu wa ibrahim,isaka nayakobo ambae ndio izrael anajitambulisha kwao)hapo ndio umemaanisha nini?
Namaanisha Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo alisha wahi kujitambulisha kwa Muhammadi.?

Naomba Aya.
 
Basi ngoja nikuache alafu waalimu wako watakuelewesha vizuri katika suala hili.

Maana Kama hutambui kuwa kila jamii ilikuwa na mungu wake basi unamaanisha hata huyo Allah humjui vizuri
Vitu ambavyo havi make sense kuwa na mungu wa kabila na wa jamii fulani. Tofautisha watu kuamini na kuleta maana ya hicho wanachokiamini, kuna miungu mingi tu zaidi hiyo ya jamii na makabila sijui mataifa ndio maana nasema zote ni imani tu ila imani zengine hazileti maana kabisa. Kwamba wewe ni mgogo basi una mungu wako wa kigogo na una mungu wako wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom