Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu AllahNdio maan kwenye Qurani ukiona neno linatangulia "Sema"
Basi hapo Allah anaongea.
Kama halipo neno "Sema" ujue ni maneno ya Muhammadi.
Wanashirikiana kuwapiga fix Waislamu.
Ngoja niiangalie hiyo Aya.Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao [emoji23][emoji23][emoji23]
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Usipo tumia copy paste unakuwa mkali , ila mda si mrefu utatupiaSijakuuliza kuhusu kushangaa , jibu swali usibabaishe watu na uongo wako kuhusu Quran ,
Injiri kama ilivyo andikwa na Mwisraeli Marko.Sijakuuliza kuhusu kushangaa , jibu swali usibabaishe watu na uongo wako kuhusu Quran ,
Swali ni hili
Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God
Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao 😂😂😂
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Jibu swali usijambe jambe , ukali uko wapi kwani mimi ni mkristo ??Usipo tumia copy paste unakuwa mkali , ila mda si mrefu utatupia
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao 😂😂😂
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Injiri kama ilivyo andikwa na Mwisraeli Marko.
We habari za Waisraeli zinakuhusu nini ?
Na wewe andika habari za Watindiga wenzako.
Mnafikia mahali mnabisha hata habari za Kabila lingine walizoandika wao.
Hivi kweli zimo Kichwani ?
Ndio tunajadili muhmmad aliiba maandiko ya Yesu akataka na yeye awe kama YesuWaungu tele hawa
“Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23)
Ndio tunajadili muhmmad aliiba maandiko ya Yesu akataka na yeye awe kama Yesu
Eti na yeye ana kaa na Allah Kwa umoja wanakata shauri jambo ndio liende kwa waislamu 😂😂
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
We humwoni mwandishi hapo ulipo pa nukuu ?Jibu swali , usilete uda
Huoni hapa the gospel of God , kuna Gospel of marko au Israel hapo
Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God
Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
We humwoni mwandishi hapo ulipo pa nukuu ?
Hapo 1:14.
Hivi unaona kwa kutumia nini kwani ?
nimekuelewa vizuritu. kwahio wote hao wawili nimiungu?Umeelewa kwanza away wiwili ndio wanaamua kwa kushirikiana ? Wakisha kubaliana ndio linaletwa kwenu?
33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Natafungua darasa hivi kalibuni, litahusu Somo la.Na mwandishi naye ni mungu wa 15 ??? 😛
Natafungua darasa hivi kalibuni, litahusu Somo la.
"Misingi ya Uelewa wa Mwanadamu"
Nitakutafuta ujiunge nalo.
Nitafundisha jinsi inavyo mpasa Mwanadamu kuelewa mambo mbali mbali, kuanzia mambo madogo madogo hadi makubwa ya Kifalsafa.
Ndio maana nimekuambia nita kubrash kidogo uwe na uelewa japo wa kuanzia.Darasa la mwalimu anayeamini mungu anayekula , kujamba na anayekunya na kupigwa vibao na mwanadamu ??? [emoji14] 😛
Ndio maana nimekuambia nita kubrash kidogo uwe na uelewa japo wa kuanzia.
Ili unapo ongea uongee kwa Ushahidi wa Kimaandiko.
Na unukuu ulipojifunzia.
Sasa kama unaongea mambo yako binafsi mimi nitasemaje.Yaani huyo unayesema ni mungu hakupigwa vibao , hakupiga makelele na machozi kumtoka kumuomba Mungu wa kweli na kumwambia kuwa kamuacha au vipi ??
Sasa kama unaongea mambo yako binafsi mimi nitasemaje.
Kama wewe uliona hivyo mahali basi huo ni kweli wako.
Kila mtu ana uhuru wa kuongea anacho jisikia.Kwani mimi nina biblia ya Gavana ??
NYINYI WAKRISTO MUMEZOEA UONGO; UTAPELI NA KILA UCHAFU , HATA MCHUNGAJI MWENZENU AMEELEZA HAPA
View attachment 2418580
Kila mtu ana uhuru wa kuongea anacho jisikia.
Ilimradi asivunje sheria za Nchi.
Hata wewe Gavana, hukatazwi kuongea unavyo jisikia kuongea.
Kama unavyo ongea sasa humu.