Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Ndio maan kwenye Qurani ukiona neno linatangulia "Sema"
Basi hapo Allah anaongea.

Kama halipo neno "Sema" ujue ni maneno ya Muhammadi.

Wanashirikiana kuwapiga fix Waislamu.
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao 😂😂😂

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao [emoji23][emoji23][emoji23]

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Ngoja niiangalie hiyo Aya.

Nimeiona hii hapa ha...ha..ha
Jama hawa wanafix hatare

Surah Al-Ahzab Ayah 36

وَمَا كَانَ لِمُؤۡمِنٖ وَلَا مُؤۡمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمۡرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلۡخِيَرَةُ مِنۡ أَمۡرِهِمۡۗ وَمَن يَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدۡ ضَلَّ ضَلَٰلٗا مُّبِينٗا
Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi.
 
Sijakuuliza kuhusu kushangaa , jibu swali usibabaishe watu na uongo wako kuhusu Quran ,
Swali ni hili


Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God


Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
Injiri kama ilivyo andikwa na Mwisraeli Marko.
We habari za Waisraeli zinakuhusu nini ?

Na wewe andika habari za Watindiga wenzako.

Mnafikia mahali mnabisha hata habari za Kabila lingine walizoandika wao.

Hivi kweli zimo Kichwani ?
 
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao 😂😂😂

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.

Usipo tumia copy paste unakuwa mkali , ila mda si mrefu utatupia
Jibu swali usijambe jambe , ukali uko wapi kwani mimi ni mkristo ??
 
Yani Muhammad amejiweka level moja na mungu Allah
Eti wanakaa wanakata shauri kwa jambo lao 😂😂😂

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.

Waungu tele hawa

“Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23)
 
Injiri kama ilivyo andikwa na Mwisraeli Marko.
We habari za Waisraeli zinakuhusu nini ?

Na wewe andika habari za Watindiga wenzako.

Mnafikia mahali mnabisha hata habari za Kabila lingine walizoandika wao.

Hivi kweli zimo Kichwani ?


Jibu swali , usilete uda

Huoni hapa the gospel of God , kuna Gospel of marko au Israel hapo

Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God



Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
 
Waungu tele hawa

“Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23)
Ndio tunajadili muhmmad aliiba maandiko ya Yesu akataka na yeye awe kama Yesu
Eti na yeye ana kaa na Allah Kwa umoja wanakata shauri jambo ndio liende kwa waislamu 😂😂

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Ndio tunajadili muhmmad aliiba maandiko ya Yesu akataka na yeye awe kama Yesu
Eti na yeye ana kaa na Allah Kwa umoja wanakata shauri jambo ndio liende kwa waislamu 😂😂

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.


Waungu kumi na nne , 14 hawa unakimbia ??

Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23)
 
Jibu swali , usilete uda

Huoni hapa the gospel of God , kuna Gospel of marko au Israel hapo

Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God



Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
We humwoni mwandishi hapo ulipo pa nukuu ?
Hapo 1:14.

Hivi unaona kwa kutumia nini kwani ?
 
Umeelewa kwanza away wiwili ndio wanaamua kwa kushirikiana ? Wakisha kubaliana ndio linaletwa kwenu?

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
nimekuelewa vizuritu. kwahio wote hao wawili nimiungu?
 
Na mwandishi naye ni mungu wa 15 ??? 😛
Natafungua darasa hivi kalibuni, litahusu Somo la.

"Misingi ya Uelewa wa Mwanadamu"

Nitakutafuta ujiunge nalo.

Nitafundisha jinsi inavyo mpasa Mwanadamu kuelewa mambo mbali mbali, kuanzia mambo madogo madogo hadi makubwa ya Kifalsafa.
 
Natafungua darasa hivi kalibuni, litahusu Somo la.

"Misingi ya Uelewa wa Mwanadamu"

Nitakutafuta ujiunge nalo.

Nitafundisha jinsi inavyo mpasa Mwanadamu kuelewa mambo mbali mbali, kuanzia mambo madogo madogo hadi makubwa ya Kifalsafa.

Darasa la mwalimu anayeamini mungu anayekula , kujamba na anayekunya na kupigwa vibao na mwanadamu ??? 😛 😛
 
Darasa la mwalimu anayeamini mungu anayekula , kujamba na anayekunya na kupigwa vibao na mwanadamu ??? [emoji14] 😛
Ndio maana nimekuambia nita kubrash kidogo uwe na uelewa japo wa kuanzia.
Ili unapo ongea uongee kwa Ushahidi wa Kimaandiko.
Na unukuu ulipojifunzia.
 
Ndio maana nimekuambia nita kubrash kidogo uwe na uelewa japo wa kuanzia.
Ili unapo ongea uongee kwa Ushahidi wa Kimaandiko.
Na unukuu ulipojifunzia.

Yaani huyo unayesema ni mungu hakupigwa vibao , hakupiga makelele na machozi kumtoka katika kumuomba Mungu wa kweli na kumwambia kuwa kamuacha au vipi ??
 
Yaani huyo unayesema ni mungu hakupigwa vibao , hakupiga makelele na machozi kumtoka kumuomba Mungu wa kweli na kumwambia kuwa kamuacha au vipi ??
Sasa kama unaongea mambo yako binafsi mimi nitasemaje.

Kama wewe uliona hivyo mahali basi huo ni kweli wako.
 
Sasa kama unaongea mambo yako binafsi mimi nitasemaje.

Kama wewe uliona hivyo mahali basi huo ni kweli wako.


Kwani mimi nina biblia ya Gavana ??

NYINYI WAKRISTO MUMEZOEA UONGO; UTAPELI NA KILA UCHAFU , HATA MCHUNGAJI MWENZENU AMEELEZA HAPA


 
Kila mtu ana uhuru wa kuongea anacho jisikia.
Ilimradi asivunje sheria za Nchi.

Hata wewe Gavana, hukatazwi kuongea unavyo jisikia kuongea.

Kama unavyo ongea sasa humu.

SI suala la kuongea tu ni jee unaongea la maana ? sio kama wewe humu JF maandishi yako ni Figisufigisu tupu
 
Back
Top Bottom