Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

QURAN 4:82
"Je hawaizingatii hii Quran? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu, basi bila shaka wangelikuta ndani yake hitilafu nyingi"
  1. Understanding Muhammad, a Psychobiography” by Ali Sina.
  2. “Why I am not a Muslim” by ibn Waraq.
  3. Psychology of Mohammed: Inside the Brain of a Prophet” by Dr. Masud Ansari.
 
unaongelea hii Quran iliyokusanywa na kuchapishwa mwaka 1924 nchini misri kwa amri ya mfalme chini ya Al Azhar university? Before 1924 waislam hamkua a standardized book,Saud Arabia wameipitisha mwaka 1986.
 
Reactions: 511
  1. Understanding Muhammad, a Psychobiography” by Ali Sina.
  2. “Why I am not a Muslim” by ibn Waraq.
  3. Psychology of Mohammed: Inside the Brain of a Prophet” by Dr. Masud Ansari.
Binadamu hawaishi ujinga mpka unakufa, sasa uchukue kitabu kitukufu upeleke kwa watu wanahukumiana kutokana na haki za ushoga,
Acheni kutafuta kutrend kwa kuusema uslam vibaya (ushirikina tu umewajaa )
Wengine mnatumwa na waganga wenu so angalia kesho yako basi kaa kimya acheni chuki za ajabu
 
Biblia imeshinda kesi.
kwa kuandika kile kilicho shuhudiwa wakati huo.

hoja zote qurani imeshindwa.
mfano.
iliposema Yesu alizaliwa chini ya mtende.
haijaeleza alizaliwa lini
katika nchi gani
mkoa, wilaya, na kijiji gani
wakati huo kulikuwa na mtawala gani
ndugu wa damu walikuwa akina nani nk.
ambayo yote yameandikwa katika Biblia.
Koooort
Chukua Muhamadi peleka jera kwa kueleza mambo ya uwongo.
 
Ni mjinga pekee atamkana Yesu sababu ya hiyo Quran ni Kitabu kimejaa uongo sana

Biblia imeandika kwa kina matukio yanayohusu kuzaliwa kwa Yesu Kristo kwa vipengele vifuatavyo:

Mahali: Yesu alizaliwa Bethlehemu (Mji mdogo katika Yudea).

Wakati: Kipindi cha utawala wa Mfalme Herode Mkuu (Mathayo 2:1).

Familia: Mama yake ni Maria, na alichumbiwa na Yosefu, mjukuu wa Daudi, mfalme wa zamani.

Shahidi wa Matukio: Wachungaji walishuhudia kuzaliwa kwake na baadaye Mamajusi kutoka Mashariki walithibitisha kwa kumletea zawadi.

Utimilifu wa Unabii: Matukio haya yalitabiriwa miaka mingi kabla katika Agano la Kale (Mika 5:2).

Biblia inaungwa mkono na maandiko ya kihistoria na uthibitisho wa kisayansi:

Nyaraka za Warumi znathibitisha uwepo wa Yesu katika kipindi cha Herode na Pontio Pilato.

Archaeologist wamegundua Bethlehemu na maeneo mengine yaliyotajwa kwenye Biblia.

Qur'an Haina ushahidi wowote wa kihistoria ,archeolojia ,Ni kitabu cha kipropaganda tu

Hoja hii inaimarisha Biblia kwa kusema:

"Biblia ni maandiko yanayoeleza matukio kwa undani wa mahali, wakati, na watu waliokuwepo. Maelezo haya ni ushuhuda wenye nguvu wa kihistoria."
 
Una elimu kubwa sana

Najifunza mengi kupitia kwako
 
Mwenye Qur'an yake (shetani) anakuangalia tu kwa hasira, anakusubiri kwa hamu akuvalishe mabomu mwilini.
 
Naongezea
9. Muasisi wa Quran yaani Muhamad alikuwa hajui kusoma na kuandika kwahiyo kama msomi ni ngumu kuifanya kama rejea. Mtu ambaye hajui kusoma na kuandika bado tunamchukulia kwenye kundi la wajinga kwasababu maarifa yapo pia kwenye maandishi.
10. Dhana ya kuwa Muhamad alishushiwa Quran halafu akapewa mtu asiyejua kusoma na kuandika bado haileti maana. Kumbuka Mussa alikuwa karibu na Mungu lakini alikuwa anaambiwa aandike mwenyewe amri kuu za Mungu
11. Mungu siyo binadamu anauwezo wa kusikia lugha zote dunia ndiyo maana Biblia inatafsiri za lugha mbalimbali duniani ndiyo maana unaweza kumuomba Yesu kwa kutumia lugha yoyote hata kwa kisukuma, kiarabu, kiajemi, kihindi n.k yaani unaweza kusoma Biblia ya kiingereza lakini ukasali kwa lugha ya kihaya na Mungu akakusikia ila tunapokuja kwa waislamu lugha ni moja tu ambayo ni kiarabu ambapo muarabu yeye hiyo lugha anaielewa vizuri hapati shida ila wengine mpaka wapate watafsiri na lazima usali kwa lugha ya kiarabu. Bila kuswali kwa kutumia lugha ya kiarabu bado hujawasiliana na Allah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…