Hivi Muislamu aipinge bibilia yeye inamuhusu nini, na sijaona mtu alieipinga bibili au hujui maana ya kupinga.Basi.
Naona hawaelewi Uzi unataka nini!
Badala wajibu hoja za kwenye Uzi wao wanahangaika kuitetea Quran mara kupinga Biblia.
Sijui Kama ingekuwa ni kesi ingekuwaje
Kwenye mabucha msitutibue nyongo maana tuliwasamehe na kuwaacha na ujinga wenu nyie mlisema kuchinja ni ibada je sisi tushiriki manyama yenu mliyochinja kwΓ ibada zenu?Quran na uisilamu ni mfumo wa maisha na ni katiba na sheria unapoipeleka mahakamani unatumia Quran kuijudge ama man made laws?
kuna Nchi kibao zinafuata mfumo wa Quran japo si 100% ila zina mafanikio makubwa sana. Kuanzia Nchi za Gulf mpaka Asia ya mashariki kama Kina Brunei na Malyasia, ila sijaona Nchi ama hata wakristo wanaofuata Bible, kwa Wengi Bible ni Spiritual book na sio way Of life, Hakuna uchumi wa Biblia, Mahakama za Biblia, mabenki ya Biblia etc ila utakuta Mahakama za Uisilamu, mabenki ya Uisilamu, Mabucha, uchumi kwa ujumla etc vyote hivi vinabase na Quran.
So Quran imeprove practically inachosema, na sio kuongelea kwenye makaratasi tu.
ROBERT HERIEL usijisahaulishe kwamba jua linazama kwenye tope zito
Umesahau na ugaidiππΏππΏππΏROBERT HERIEL km hutoelewa hii komenti aisee wewe lazima utakuwa na dosari kichwani...
Uislamu Ni mfumo kamili wa maisha...yaan uislamu haujaacha kitu...
Uchumi wa kiislamu
Mabenki ya kiislamu
Serikali za kiislamu
Hospital za kiislamu(sio hizi za kiswahili mke wa mtu anachezea mkuyenge wangu Bila staha mwisho wa siku analiwa kimasihara)ππ
Michezo ya kiislamu
Sanaa za kiislamu
Ndoa za kiislamu
Maisha ya kiislamu..nk...
Haya njoo kwa Wakristo Sasa na Bibilia Yenu ....atakayenionesha benki ya Kikristo na uchumi wa kikristo ..NABATIZWA LEO..
Ndio maana tunawaambia usilamu ndio dini ya Kweli...
Alinyongwa ..Ikawaje mkuunaomba nondo ?
Kuna mkristo anatupia watu majini??Nilitegemea utaniambia nilikua naenda hospital/ofisi/bank kuomba mkopo ila lilivyoonekana jina langu la kikristo nikakosa huduma.
Au uniambie siku moja tulikua tulikua tumekaa kikundi mimi peke yangu ambae sio muislamu nikazuiliwa kupata access na kitu fulani sababu ya dini yangu.
But ulivyoongea zote ni tabia za binadamu sio exclusively to Muslims. Zinatokea kanisani/msikitini huko watu wanasengenyana, wanachukuliana wake, wanaiba, wanauana, wanakununia pasi na sababu.
Mseme huyo kakimbia kaja kwangu kisa mie kaona wa kike wewe umeweka avatar ya kiumeKweli, na waarabu ni bora kuliko sisi...Waarabu ni watu wema na wenye akili kuliko binadamu wote duniani.
Neno kukariri hujui maana yeke ndiyo maana kila mnuka mavi anaanzisha kanisa la kwake mnaogoma kakariri siyo, anavyoisoma bibilia gwajima tofauti na lusekelo Gwajima bibilia yake ina sehemu inamuelekeza neno la kufua watu waliokufa, Lusekelo bibilia yake ina neno la kuwezesha watu kununua gari/magari, alafu marehemu Moses kulola, kitabu chake kinaeno la kuwaondolea watu ulemavu.
Kuna huyu wa Tanganyika pakers, yeye bibilia yake ina neno kutengeneza mafuta yanayotibu kila shida, na ili yafanye kazi lazima uyalipie. Yaani anachofanya huyu yule hawezi, ***** ila Yesu mshenzi yule amefundisha utapeli sana.
Unajua hapa umenichekesha sana ni kweli ila hapa ndio kila mtu anahasira namwenzake waache tu hasira zipungueKwenye mada kama hizi ndo utaweza kuchuja na kuona ni member gani wapo sawa vichwani wepi ni empty set!!!
Content iliyopo mezani inajieleza,ilikuwa watu waseme hoja namba fulani tunaipangua hivi hoja namba fulani tunaipangua hivi ila uzi upo post #250 kila mtu anaandika anachojua yeye.
Bro unaijua bible vzr kwanza haijaandikwa na wayahudi imeandikwa na warumi soma vzr ndo uje na uelewa tunaweza kaa tukaongea
Mimi ni Muislam Ila nilijifanya mkristo kwenye kundi la wakristo linapotokea mibaishano Kama haya pia hivyo upande wa uislam nilijifanya mkristo kwenye kundi la waislam nikaja gundua DINI TUMEFATA AU TUMERITHISHWA NA WAZAZI NA BIBI ZETU.
Kwenye mada kama hizi ndo utaweza kuchuja na kuona ni member gani wapo sawa vichwani wepi ni empty set!!!
Content iliyopo mezani inajieleza,ilikuwa watu waseme hoja namba fulani tunaipangua hivi hoja namba fulani tunaipangua hivi ila uzi upo post #250 kila mtu anaandika anachojua yeye.
Nikweli kabisaHuijui Biblia kaa kimya.
Biblia imeanza kabla hata HAO Warumi hawajaikamata Dola la dunia/superpower
Quran haujaeleza hata historia za tawala na falme za dunia kuanzia falme la Nimrodi, Ashuru, Misri, Babeli, Medi, uajemi, Uyunani, Urumi, kisha zama za Giza, kisha ottoman empire, Kisha tawala za nchi za ulaya alafu marekani,
Muhammad kazaliwa Zama za Giza hapo kipindi Dola la kirumi linaenda kudondoka
Sasa na pale pangoni jibril alivyomshushia kibano cha haja mudy alipokuwa anamuambia muddy aandike kuraan mudi akabaki kung'aa macho nakujitetea hajui kusoma na kuandika ndipo jibril akamaind nakumzidishia doz.Kuna kitu ujui QURAN si maneno ya muhamad bal wahyi aloshushiwa na ALLAH azzah wa jallah kuhusu mambo mbali mbali na ikiwemo habar za mitume waliopita na sio maneno yake kama unavyosema
Weee mchamba mavi nyoko zako ndio maana huna akili kazi jitu zima kushika mavi tu ndio maana unautahira kwenye hilo liakili lako mshenzi sana tapeli ni hiyo dini yenu kazi kufirana wanaume kwa wanawake mnanuka mikundu tu **** nyoko nyie mavi yenu.
Kazi kulawiti watoto wadogo madrasaa nakuwaaribu akili .
Nyie dini yenu ni yashetani mapepo tu ndio yanawaongoza Mungu hayupo ndani yenu hanisi wewe choa mbaya mmoja tu mnao wake wengi na hamjitambui kazi mko inshalah mavi kabisa.
Ndio maana unautindi wa ubongo shenzi mmoja hivi kwanza wewe umelogwa shenzi
Katika suala la vitabu kila kitabu kimeandikwa kwa namna yake taurati ,Injili ,Zaburi pia Quran waislam wanaamini ivi vitabu vyote ndio vilivyo andikwa kwenye hiyo Quran Ila Bible naona mikono ni mingi Sana Bible ya walokole tofatuti na wasabato.Hapa hatubishanii Ukristo wala uislam tunaangazia vitabu hivyo viwili ambavyo navitumia vyote.
Hata waislam wakubwa mahiri wote wanatumia Biblia Kama rejea kuu.
Hatujadili dini Mkuu