ROBERT HERIEL km hutoelewa hii komenti aisee wewe lazima utakuwa na dosari kichwani...
Uislamu Ni mfumo kamili wa maisha...yaan uislamu haujaacha kitu...
Uchumi wa kiislamu
Mabenki ya kiislamu
Serikali za kiislamu
Hospital za kiislamu(sio hizi za kiswahili mke wa mtu anachezea mkuyenge wangu Bila staha mwisho wa siku analiwa kimasihara)😂😂
Michezo ya kiislamu
Sanaa za kiislamu
Ndoa za kiislamu
Maisha ya kiislamu..nk...
Haya njoo kwa Wakristo Sasa na Bibilia Yenu ....atakayenionesha benki ya Kikristo na uchumi wa kikristo ..NABATIZWA LEO..
Ndio maana tunawaambia usilamu ndio dini ya Kweli...