Hakuna anayeijua after death ni hadithi za kufikirika.Inawezekana ww ukawa upo sahihi ila nature ya binadamu ni kifo tu after death ni habari nyengine
Wasipoelewa na hapa hasa mleta Uzi na wavaa rozari wenzake Basi tambua ..wanashida mahali.
Kwa maana hiyo mtu akifa atahukumiwa kulingana na imani yake?
Kwamba mbingu/pepo ni tofauti kulingana na imani ya mtu?
M mungu anavitambua ivi vitabu aliwapa mitume yake .Ndio maana nikakuambia Quran hauwezi kuwa kitabu cha Rejea, afadhali umeniongezea hoja ya Saba hapo.
Quran haiwezi kukua pande zote WA wahusika/mitume Kwa sababu muandishi wake hajawahi kuwaona wahusika wenyewe, na hajui eneo waliokuwa wanaishi kijiografia.
Kitendo cha kusema tuu mitume wa jitahidi walikuwa na upande mmoja wa wema tuu kinadhihirisha kuwa Quran haiwezi kuwa kitabu cha rejea.
Biblia ipo wazi inaelezea bila kuficha pande zote mbili za mtu. Kumbuka Binadamu sio Malaika hivyo lazima akosee.
Na makosa yake yanapimwa kwenye sheria.
Kuanzia Abrahamu mpaka mitume wote wanadhambi na Biblia imeweka hayana makosa Yao.
Sasa Quran Kwa vile anayesimulia anahadithia hadithi asizozijua ni rahisi kupuyanga
Kama ni hivyo basi sawa.Haswa!
Nature ndio itaamua uishi vipi life after death.
Dhambi sio mpaka ufundishwe, unajua tuu hili ni kosa.
Yaani Jambo lolote ambalo hutaki kufanyiwa alafu ukamfanyia mwenzako hiyo ni dhambi.
Wala haina haja ya kusoma maandiko yenye maelfu ya kurasa
MAANDIKO YOTE HAPO SIJAONA NENO "BIBLIA" NDANI YAKE...17 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
Soma pia Luka 4 yote.
2 Timotheo 3:16
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
Alafu kamalizie Joshua 1:1-12
Kuna zaidi ya hivyo,kujitambua tu na mtu kutumia akili yake japo kwa 30% kunamfanya ajue kipi sahihi kipi siyo sahihi (japo vyote ni kwa kuhisiwa)Kwa
Kwa sababu umezaliwa katika ukristo
Utakuwa umesoma vibaya Allah ni mmoja tu .Kuna zaidi ya hivyo,kujitambua tu na mtu kutumia akili yake japo kwa 30% kunamfanya ajue kipi sahihi kipi siyo sahihi (japo vyote ni kwa kuhisiwa)
Wewe mwenyewe nimekuuliza ”WINGI” kwa kinachosemwa ni "KIMOJA" umetokana na nini ukaishia kuniuliza nikuthibitishie nimeona wapi na wewe mwenyewe ndiye uliyeandika hapa.
Mnaweza kunithibitishia ya kuwa Yesu alisulubiwa au Yesu alikufa Kisha akafufuka ?
Umefungua mlango ambao kuufunga huwezi... Unashusha blaa blaa tu...17 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
Soma pia Luka 4 yote.
2 Timotheo 3:16
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
Alafu kamalizie Joshua 1:1-12
Hii inaitwa akili kubwa ambayo inafanya tafakuri, sijui umewazaje, hii mada itakuwa kipimo kizuri Cha akili, mkurupuko na mlipuko katika ufahamu na kufikiri.
Nipo hapa nayatizama.
Hayo maneno hayo yapo kwenye andiko gani? Iwe kwenye taurati ama injili au biblia yenyewe...?Kuna Torati + injili = Bibilia
Umefungua mlango ambao kuufunga huwezi... Unashusha blaa blaa tu...
Sijaingia kwenye maandiko ndani... Nimeanza na jina lenyewe tu BIBLIA ili kukiondoa katika listi ya vitabu vya Mungu... Kama ni kitabu cha Mungu kweli... Leta andiko lolote lile ndani ya BIBLIA likitaja jina la BIBLIA hata kwa bahati mbaya tu...
Tusigeuzane watoto wadogo post yako uliyoweka allah kwa wingi screenshot hii hapa,kama tunabishana tu alimradi ujione upo sahihi basi nikuache.Utakuwa umesoma vibaya Allah ni mmoja tu .
Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...Unajua Biblia sio Neno la Kiswahili wala sio Neno la kiebrania, wala sio Neno la kiyunani, wala kiaramu?
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu/maandiko matakatifu ya kiyahdi ambayo ni Torati, injili, na zaburi.
Biblia ni Neno lililotoholewa tuu.
Huwezi kulipata Kama lilivyokwenye lugha nilizozitaja hapo juu ambazo ndizo zilizotumika kuandika maandiko nataka matakatifu.
Unauelewa wowote wa Masuala ya lugha?
Robert umeleta chemsha bongo nzuri ya kipimo cha afya ya akili.
Kuna hoja yapo juu hujajibu na hutojibu... USIIPOTEZEE KWA KUJAZA COMMENTS MFU ILI IPOTEE... HUU MJADALA FUNGA... HUNA HOJA KAJIPANGE UPYA.Tatizo watu wanajadili Kwa mihemko.
Kwa hiyo biblia wewe unafuata yoyote bila kujali vitu vilivyowekwa wala vinavyokinzana?Biblia yoyote Kati ya hizo.
Yoyote unayotumia tunaweza kujadiliana hapa.
Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...
Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?
Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.
KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...
SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...
TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...
KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.
CASE CLOSED.
(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
Wewe jamaa muongo Sana...sisi waislamu tunaamini ktk Biblia lkn sio Martin Luther King ....
Wekeni agano la kale tujadili pamoja....Na kwann agano la kale limepigwa pin na kufungiwa ndani huko ancient Ugiriki???
Kuna hoja yapo juu hujajibu na hutojibu... USIIPOTEZEE KWA KUJAZA COMMENTS MFU ILI IPOTEE... HUU MJADALA FUNGA... HUNA HOJA KAJIPANGE UPYA.