Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kwani Biblia na Quran zinawakilisha imani/dini zipi? Unawezaje kuzungumzia vitabu vya kiimani (Biblia na Quran) bila kuhusisha imani zenyewe?

Vitabu haviwakilishi Imani au dini isipokuwa wewe unaweza tumia kitabu Fulani kuanzisha dini yako.

Ndio maana Muhammad alichukua baadhi ya maandiko ya kiyahudi akaanzisha dini yake
 
Bible

Hahahaha kumbe unazungumzia kama tumemuumba imetumika Kama uwingi daaa u
Hi
Hahahaha
Tumewaumba
Tumewaleteeni
Tumewashushieni
Akika mungu ni mjuzi
Apo ni unahisi Kuna miungu mingi ?
Achana na tumeeee

Allah anatuambia tuwaambieni nyinyi kwamba dini ya haki ni uislam .kaka Apo ni ufundi wa Allah na mchakato mpaka binadam anapatikana kasome history ya Adam mchakato wake kwani Allah angeshindwa kuleta udongo???
 
Bro
 

Ukisema imetiwa mikono unatakiwa useme imetiwa mikono na kina Nani, utaje na Majina Yao, walitia lini, walikuwa wapi, hivyo ndivyo mahakamani hoja zinavyowasilishwa.

Lakini Quran imeiba visa vya kiyahudi, na ushahidi upo wazi, na aliyefanya shughuli hiyo ni Muhammad, miaka ya 600AD.

Walioibiwa Stori zao ni kina Musa, Daudi, Suleiman, Issa, Yusufu, n.k. na Wayahudi Kwa ujumla.
Hiyo ndio hoja
 
Muhamad alitabiriwa kwenye vitabu vitukufu ata umo kwenye Bible na mtakuja kumkataa ndio nyie
 
Natumia nguvu nyingi sana kukuelewa maana unaandika vitu sijui hata kama wewe mwenyewe unavielewa ila ngoja niende na wewe kwa hekima tu!!!

Humo kwenye bold kwa utashi wako uliopewa unadhani alah angetumia ”UMIMI” asingeeleweka?akili yako haiwezi kuhoji kwamba ikiwa upande huu una wingi ambao toka mwanzo alah anaonyesha kuukataa kwamba siyo sahihi ila yeye asione kama ni tatizo anakuja tena vile vile kuweka uwalakini na shaka za ”tume,tuli" asiweke ”nime'nili" hapa huoni kama kuna hesabu zilikosewa ikawekwa ilivyo ili uambiwe ni ujuzi?

Logically,huwezi elewa kwa kitu kinachojinasibu kuwa bora kinaweza kufanya kosa la ajabu kama hilo.Tufunge mjadala jibu hoja post #1
 
Nilikua naamini Musa alishushiwa torati kule mlimani alikokwenda,kumbe tofauti!!?...

Hivi Kwa akili yako kweli Mungu anahuo muda wa kuandika maandiko yote hayo ilhali mwanadamu anaweza kuandika?

Musa hakushushiwa Torati Bali alipewa torati/maneno kisha akayaandika mwenyewe.

Zingatia, Musa ni msomi aliyekulia jumba la kifalme. Hivyo anaelimu na Uelewa mkubwa Kwa wakati ule
 
Tatizo la waafrika tuliacha imani zetu za asili na kufuata Imani za kigeni za waarabu na wamisionari ndio maana hadi leo Afrika ni Maskini choka mbaya... Ukristo na Uislamu zote ni dini za kigeni...Mungu hana DINI na Dini sio MUNGU..
 
wao wafuge majini tuπŸ˜‚πŸ˜‚.
Mwamposa mbona naona raia wanapona au ni maigizo? na kama nimaigizo mbona watu ni wengi
 

Mkuu sijasema Mungu anadini.
Tunachojadilia hapa ni uthabiti na ukweli wa vitabu hivyo viwili
 
Mkuu sijasema Mungu anadini.
Tunachojadilia hapa ni uthabiti na ukweli wa vitabu hivyo viwili
Vitabu vyote viwili (Biblia na Quran) ni Hadithi za kusadikika,hazina ukweli wala uthibitisho... they are just imagination and illusion
 

Allah Kwa Kiswahili ni mungu wa waarabu/waumini wa uislam ndio wanamuabudu.

Yahwe Kwa kiswahili ni mungu wa Wayahudi/waumini wajitahidi wanamuabudu.
 
kingine unataja Waislam wakati kinachojadiliwa ni kitabu cha Quran na sio dini au waumini wa kiislam.
Ndio maana nashangaa hata HAO Wakristo wanajua kuparangana hapa.
Jamaa nilikuwa nakuona smart Sana kumbe mweupe kichwani, unaanzaje kutenganisha uislamu na Quran!

Halafu unalikataa neno dini. Hakika dini mbele ya MwenyeziMungu Ni uislamu.


Three terminologies can not separated, uislamu+Dyin +Quran.....

Case closed
 
Uthibitishe kutoka popote unapo weza wewe Kisha ujibu maswali haya :

Habari za Yesu kusulubiwa na kufa na kufufuka, zimeandikwa kwenye kitabu gani ? Kisha muandishi wa kitabu hicho alimuona Yesu au aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Yeye hizo habari amezipata wapi ?

Nitajie watu hao walio kuwepo na Yesu japo watu Kisha utuambie waliandika kitabu gani ?

Kingine Mtume hakumuona Yesu yeye alikuwa anafunuliwa hizo habari na yule aliye mtuma Yesu na wengine. Hii si hoja kijana.
Sasa nakuuliza, tumsikilize aliyekuwa eneo la tukio na anayemjua Yesu, au tumsikilize ambaye hakuwepo na hapajui Jerusalem Kama Mimi na Wewe tuu?
KAZI kwako
Kwanza kabla hatujafika huko unapo taka, nionyeshe nani alikuwepo katika eneno la tukio na ututhibitishie huyo aliyekuwepo kwenye tukio aliandika wapi hizo habari na mpaka zinawafikia nyinyi zimetoka wapi ?

Nataka niwafundishe namna habari zinavyochukuliwa na kuhakikiwa.

Yaani Wakristo laiti kama m gekuwa mnahakiki habari kama tunavyozihakiki sisi Waislamu hakuna hata neno Moja lingesalia katika Biblia isipokuwa yale ambayo yanaenda sawa na Qur'aan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…