Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kwani Biblia na Quran zinawakilisha imani/dini zipi? Unawezaje kuzungumzia vitabu vya kiimani (Biblia na Quran) bila kuhusisha imani zenyewe?

Vitabu haviwakilishi Imani au dini isipokuwa wewe unaweza tumia kitabu Fulani kuanzisha dini yako.

Ndio maana Muhammad alichukua baadhi ya maandiko ya kiyahudi akaanzisha dini yake
 
Bible
Umefungua mlango ambao kuufunga huwezi... Unashusha blaa blaa tu...

Sijaingia kwenye maandiko ndani... Nimeanza na jina lenyewe tu BIBLIA ili kukiondoa katika listi ya vitabu vya Mungu... Kama ni kitabu cha Mungu kweli... Leta andiko lolote lile ndani ya BIBLIA likitaja jina la BIBLIA hata kwa bahati mbaya t

Tusigeuzane watoto wadogo post yako uliyoweka allah kwa wingi screenshot hii hapa,kama tunabishana tu alimradi ujione upo sahihi basi nikuache.View attachment 2403674

Anyway turudi kwenye hoja pale main post,kama una chochote cha kujibu nje ya itikadi kiweke hapa.
Hahahaha kumbe unazungumzia kama tumemuumba imetumika Kama uwingi daaa u
Tusigeuzane watoto wadogo post yako uliyoweka allah kwa wingi screenshot hii hapa,kama tunabishana tu alimradi ujione upo sahihi basi nikuache.View attachment 2403674

Anyway turudi kwenye hoja pale main post,kama una chochote cha kujibu nje ya itikadi kiweke hapa.
Hi
Tusigeuzane watoto wadogo post yako uliyoweka allah kwa wingi screenshot hii hapa,kama tunabishana tu alimradi ujione upo sahihi basi nikuache.View attachment 2403674

Anyway turudi kwenye hoja pale main post,kama una chochote cha kujibu nje ya itikadi kiweke hapa.
Hahahaha
Tumewaumba
Tumewaleteeni
Tumewashushieni
Akika mungu ni mjuzi
Apo ni unahisi Kuna miungu mingi ?
Achana na tumeeee

Allah anatuambia tuwaambieni nyinyi kwamba dini ya haki ni uislam .kaka Apo ni ufundi wa Allah na mchakato mpaka binadam anapatikana kasome history ya Adam mchakato wake kwani Allah angeshindwa kuleta udongo???
 
Bro
Vitabu haviwakilishi Imani au dini isipokuwa wewe unaweza tumia kitabu Fulani kuanzisha dini yako.

Ndio maana Muhammad alichukua baadhi ya maandiko ya kiyahudi akaanzisha dini ya
Vitabu haviwakilishi Imani au dini isipokuwa wewe unaweza tumia kitabu Fulani kuanzisha dini yako.

Ndio maana Muhammad alichukua baadhi ya maandiko ya kiyahudi akaanzisha dini yake
Vitabu ni Imani ndugu kitabu ni chakula cha moyo ,Ndio maana kwenye nguzoooo za IMANi lazima tuamini vitabu vyake ambavyo ni Taurat ,Zaburi , Injili na Quran ushawah sikia Muislam anatoa kasoro ivyo vitabu ? Uwezi soma Ilani ya ccm Kama sio mwana ccm
 
Kwenye biblia Kuna hiyo mifumo imeelezewa vizuri Kama kwenye Biblia ? Ndugu embu nipe hayo maandiko niweze fatilia
Mfumo wa uzazi
Mfumo wa sayari

Bible Imetiwa sana mkono kila mtu akijiskia anaweka lake Yeezy Bible kila kwenye jina la yesu ameweka jina lake .

Ukisema imetiwa mikono unatakiwa useme imetiwa mikono na kina Nani, utaje na Majina Yao, walitia lini, walikuwa wapi, hivyo ndivyo mahakamani hoja zinavyowasilishwa.

Lakini Quran imeiba visa vya kiyahudi, na ushahidi upo wazi, na aliyefanya shughuli hiyo ni Muhammad, miaka ya 600AD.

Walioibiwa Stori zao ni kina Musa, Daudi, Suleiman, Issa, Yusufu, n.k. na Wayahudi Kwa ujumla.
Hiyo ndio hoja
 
Ukisema imetiwa mikono unatakiwa useme imetiwa mikono na kina Nani, utaje na Majina Yao, walitia lini, walikuwa wapi, hivyo ndivyo mahakamani hoja zinavyowasilishwa.

Lakini Quran imeiba visa vya kiyahudi, na ushahidi upo wazi, na aliyefanya shughuli hiyo ni Muhammad, miaka ya 600AD.

Walioibiwa Stori zao ni kina Musa, Daudi, Suleiman, Issa, Yusufu, n.k. na Wayahudi Kwa ujumla.
Hiyo ndio hoja
Muhamad alitabiriwa kwenye vitabu vitukufu ata umo kwenye Bible na mtakuja kumkataa ndio nyie
 
Bible



Hahahaha kumbe unazungumzia kama tumemuumba imetumika Kama uwingi daaa u

Hi

Hahahaha
Tumewaumba

Tumewaleteeni

Tumewashushieni

Akika mungu ni mjuzi
Apo ni unahisi Kuna miungu mingi ?
Achana na tumeeee
Allah anatuambia tuwaambieni nyinyi kwamba dini ya haki ni uislam .kaka Apo ni ufundi wa Allah na mchakato mpaka binadam anapatikana kasome history ya Adam mchakato wake kwani Allah angeshindwa kuleta udongo???
Natumia nguvu nyingi sana kukuelewa maana unaandika vitu sijui hata kama wewe mwenyewe unavielewa ila ngoja niende na wewe kwa hekima tu!!!

Humo kwenye bold kwa utashi wako uliopewa unadhani alah angetumia ”UMIMI” asingeeleweka?akili yako haiwezi kuhoji kwamba ikiwa upande huu una wingi ambao toka mwanzo alah anaonyesha kuukataa kwamba siyo sahihi ila yeye asione kama ni tatizo anakuja tena vile vile kuweka uwalakini na shaka za ”tume,tuli" asiweke ”nime'nili" hapa huoni kama kuna hesabu zilikosewa ikawekwa ilivyo ili uambiwe ni ujuzi?

Logically,huwezi elewa kwa kitu kinachojinasibu kuwa bora kinaweza kufanya kosa la ajabu kama hilo.Tufunge mjadala jibu hoja post #1
 
Nilikua naamini Musa alishushiwa torati kule mlimani alikokwenda,kumbe tofauti!!?...

Hivi Kwa akili yako kweli Mungu anahuo muda wa kuandika maandiko yote hayo ilhali mwanadamu anaweza kuandika?

Musa hakushushiwa Torati Bali alipewa torati/maneno kisha akayaandika mwenyewe.

Zingatia, Musa ni msomi aliyekulia jumba la kifalme. Hivyo anaelimu na Uelewa mkubwa Kwa wakati ule
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo![emoji3][emoji3]

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Tatizo la waafrika tuliacha imani zetu za asili na kufuata Imani za kigeni za waarabu na wamisionari ndio maana hadi leo Afrika ni Maskini choka mbaya... Ukristo na Uislamu zote ni dini za kigeni...Mungu hana DINI na Dini sio MUNGU..
FB_IMG_1667197905365.jpg
 
Una hoja tena nzito

Halafu Biblia ni kitabu chenye historia hata ya Ulimwengu wote

Mtu Kama Sir Isack Newton alichambua kitabu Cha Daniel vizuri Sana

Kupitia Biblia unakutana na Unabii wa Tawala za Alexander mkuu, vitu Kama hivi huwezi kukuta kwenye Quran

Kitu kingine ambacho nakipenda kwenye Biblia ,mfano kitabu Cha ufunuo kimetabiri kabisa Super power atakuwa U.S.A,

Miaka ya 80-90 ,watu walikuwa hawaamini Biblia inapotabiri mnyama wa 2 ambaye Ni U.S.A kuwa atakuwa Super power ,wakiangalia USOVIET USSR ilivyokuwa na nguvu .

Lakini Leo Nani atabisha U.S.A Sio Super power?

USSR ilisambaratishwa

Biblia ni kitabu kitamu Sana , Nimesoma Quran Sana tu ni kitabu hakieleweki, kinajichanganya, hakina Tumain lolote kwa mwanadamu

Nina shuhuda Zaidi ya 10000 za Biblia Ni kitabu Cha Mungu wakweli.

Aisee iacheni Biblia tu, Ni vile matapeli Kama mwamposa ,n.k wanaitumia vibaya kutapelia,

Lakini Biblia ina maajabu mengi sana
wao wafuge majini tu😂😂.
Mwamposa mbona naona raia wanapona au ni maigizo? na kama nimaigizo mbona watu ni wengi
 
Tatizo la waafrika tuliacha imani zetu za asili na kufuata Imani za kigeni za waarabu na wamisionari ndio maana hadi leo Afrika ni Maskini choka mbaya... Ukristo na Uislamu zote ni dini za kigeni...Mungu hana DINI na Dini sio MUNGU..View attachment 2403750

Mkuu sijasema Mungu anadini.
Tunachojadilia hapa ni uthabiti na ukweli wa vitabu hivyo viwili
 
Mkuu sijasema Mungu anadini.
Tunachojadilia hapa ni uthabiti na ukweli wa vitabu hivyo viwili
Vitabu vyote viwili (Biblia na Quran) ni Hadithi za kusadikika,hazina ukweli wala uthibitisho... they are just imagination and illusion
JamiiForums-2019125560.jpg
 
😂😂😂😂Allah kiswahili ni nn? Biblia haipo usibishe biblia imeandikwa Italy haipo kabisa hata wakina martin Luther walibadilia maandisha watu wa juzi hap

Mwamposa ni mtume pia ni myahudi😂😂😂

Jiulize mbona hawao wayahudi hawaujui ukristo uje kuujua wewe na watu wa Europe ?

So qur an inasadifu yaliyopita tangu enzi za adamu je bible inasadifu yapi 😂😂😂

Allah Kwa Kiswahili ni mungu wa waarabu/waumini wa uislam ndio wanamuabudu.

Yahwe Kwa kiswahili ni mungu wa Wayahudi/waumini wajitahidi wanamuabudu.
 
kingine unataja Waislam wakati kinachojadiliwa ni kitabu cha Quran na sio dini au waumini wa kiislam.
Ndio maana nashangaa hata HAO Wakristo wanajua kuparangana hapa.
Jamaa nilikuwa nakuona smart Sana kumbe mweupe kichwani, unaanzaje kutenganisha uislamu na Quran!

Halafu unalikataa neno dini. Hakika dini mbele ya MwenyeziMungu Ni uislamu.


Three terminologies can not separated, uislamu+Dyin +Quran.....

Case closed
 
Uthibitisho kutoka kitabu gani?

Waliokuwepo na Yesu walisema amefufuka, wakaandika vitabu.
Alafu ambaye hajawahi kumuona Yesu, hajawahi kuishi nyakati za Yesu, hajawahi kufika Bethlehem wala Jerusalem anadai ati Yesu Kama alivyomuita Issa ati hakusulubishwa.
Uthibitishe kutoka popote unapo weza wewe Kisha ujibu maswali haya :

Habari za Yesu kusulubiwa na kufa na kufufuka, zimeandikwa kwenye kitabu gani ? Kisha muandishi wa kitabu hicho alimuona Yesu au aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Yeye hizo habari amezipata wapi ?

Nitajie watu hao walio kuwepo na Yesu japo watu Kisha utuambie waliandika kitabu gani ?

Kingine Mtume hakumuona Yesu yeye alikuwa anafunuliwa hizo habari na yule aliye mtuma Yesu na wengine. Hii si hoja kijana.
Sasa nakuuliza, tumsikilize aliyekuwa eneo la tukio na anayemjua Yesu, au tumsikilize ambaye hakuwepo na hapajui Jerusalem Kama Mimi na Wewe tuu?
KAZI kwako
Kwanza kabla hatujafika huko unapo taka, nionyeshe nani alikuwepo katika eneno la tukio na ututhibitishie huyo aliyekuwepo kwenye tukio aliandika wapi hizo habari na mpaka zinawafikia nyinyi zimetoka wapi ?

Nataka niwafundishe namna habari zinavyochukuliwa na kuhakikiwa.

Yaani Wakristo laiti kama m gekuwa mnahakiki habari kama tunavyozihakiki sisi Waislamu hakuna hata neno Moja lingesalia katika Biblia isipokuwa yale ambayo yanaenda sawa na Qur'aan.
 
Back
Top Bottom