Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Dunia hamna anaye ijua kila mtu hujaribu kutoa kile anacho elewa kuhusu Dunia..Hata wewe kuna vingi hujui kuhusu dunia... Only a fool knows everything.Hapana Mkuu.
Labda unahitaji kidogo kuijua vizuri DUNIA.
Hiyo tutajadili siku nyingine
Kaka kwanza Bible haiwezi kuipinga Qur'an Bible sio miongoni mwa vitabu vya M mungu . Wangeleta Injili na Qur'an sawa ila sio BibleJamaa nilikuwa nakuona smart Sana kumbe mweupe kichwani..unaanzaje kutenganisha uislamu na Quran!!! Halafu unalikataa neno dini ....Hakika dini mbele ya MwenyeziMungu Ni uislamu...
Three terminologies can not separated,... uislamu+Dyin +Quran.....
Case closed
Uthibitishe kutoka popote unapo weza wewe Kisha ujibu maswali haya :
Habari za Yesu kusulubiwa na kufa na kufufuka, zimeandikwa kwenye kitabu gani ? Kisha muandishi wa kitabu hicho alimuona Yesu au aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Yeye hizo habari amezipata wapi ?
Nitajie watu hao walio kuwepo na Yesu japo watu Kisha utuambie waliandika kitabu gani ?
Kingine Mtume hakumuona Yesu yeye alikuwa anafunuliwa hizo habari na yule aliye mtuma Yesu na wengine. Hii si hoja kijana.
Kwanza kabla hatujafika huko unapo taka, nionyeshe nani alikuwepo katika eneno la tukio na ututhibitishie huyo aliyekuwepo kwenye tukio aliandika wapi hizo habari na mpaka zinawafikia nyinyi zimetoka wapi ?
Nataka niwafundishe namna habari zinavyochukuliwa na kuhakikiwa.
Yaani Wakristo laiti kama m gekuwa mnahakiki habari kama tunavyozihakiki sisi Waislamu hakuna hata neno Moja lingesalia katika Biblia isipokuwa yale ambayo yanaenda sawa na Qur'aan.
Safi kabisa hapa ndipo napopataka. Nimecheka sana, tuwekee uthibitishe unao onyesha ya kuwa Matayo na Yohana walimshubudia Yesu na hizi Injili zao waliziandika lini ? Sababu Historian inaonyesha ya kuwa Wanafunzi wa Yesu walikuwa wanaishi kwa dhiki na kujificha na ilifikia kipindi wakawa hawawafundishi watu ufunuo kwa kuchelea kuuwawa. Sasa hizi habari walizipata wapi ?Mathayo, Yohana wote walioandika Injili walikuwa wanafunzi wa Yesu.
Walimshuhudia wakasimulia.
Hiyo mathayo alikuwa msomi WA mahesabu ya ushuru na tozo.
Safi kabisa, tunamuamini sababu yeye alikuwa Mtume, na walio mshuhudia walikubali hilo. Yaani alikuwa haongei kwa matamanio yake. Kama ilivyo kwa Yesu alivyokuwa anashushiwa Injili.Unaposema hakuna ushahidi wao ndio waliandika hiyo Injili lakini muda huohuo unamuamini Muhammad ambaye anasimulia Stori ambazo hazimuhusu Kwa namna yoyote Ile.
Sio myahudi lakini anasimulia habari za Wayahudi.
Mitume ndiyo jambo hilo, na halishangazi sababu walikuwa wanafunuliwa na Mola wao, hili kwa Allah ni jepesi sana.Hajawahi kuishi uyahudini lakini anaandika mambo ya nchi ambayo hajawahi kuiona.
Yaani Wewe ni hao Wakristo Nani mwenye matatizo ya kufikiri?
Sasa usilete stori nachotaka Mimi unipe ushahidi. Haya madai tu, hata wengine wanaweza kuandika hivi unavyoandika wewe. Marko alikuwa Mwanafunzi wa Yesu ? Luka alikuwa Mwanafunzi wa Yesu ?Kuanzia kitabu cha Mathayo mpaka kitabu ufunuo wa Yesu Kwa Yohana vitabu vyote vimeandikwa na wanafunzi wa Yesu.
Wanafunzi walio mshuhudia Yesu unaweza kututhibitishia walimpa habari za Yesu ?Huyo Paulo ambaye Waislam walimpinga Hakuwa mwanafunzi WA Kwanza wa Yesu(yaani wale 12 wa awali) lakini Paulo alifanya kazi na wanafunzi waliomshuhudia Yesu, hao kina Petro.
Hoja zilikuwepo kwenye Uzi zimeshajibiwa na wengine na haziwezi kuwa na nguvu mpaka tujue ukweli wa Biblia yaani sisi tunajadili msingi ili tuone jengo lenu ni imara au la ?Barua za Paulo zote zimebeba Majina ya wakati huo WA Maeneo ya Uturuki, ugiriki, n.k.
Haya embu jadili hoja zilizopo kwenye Uzi
Ndiyo maana nikasema hivi Wakristo Elimu ya uhakiki wa Habari hamna. Mmeshawahi kuthibitisha ya kuwa hizi habari ni za kweli ?Nakupa mfano;
Msikilize Danieli hapa anaandika yeye mwenyewe kitu kinachotokea katika maisha yake Kwa wakati sahihi, akwia. Huko Babeli, na Mtawala anamtaja, na wakati anataja.
Danieli 10:1
Katika mwaka wa tatu wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Danieli, ambaye jina lake aliitwa Belteshaza, alifunuliwa neno; na neno lile lilikuwa kweli; maana ni vita vikubwa; naye akalifahamu neno lile, akaelewa na maono hayo.
Danieli 10:2
Katika siku zile mimi, Danieli, nalikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu kamili.
Danieli 10:3
Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.
Danieli 10:4
Na siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa kando ya ule mto mkubwa, Hidekeli;
Danieli 10:5
naliinua macho yangu, nikatazama, na kumbe, mtu aliyevikwa nguo za kitani, viuno vyake vimefungwa dhahabu safi ya Ufazi;
Danieli 10:6
mwili wake pia ulikuwa kama zabarajadi safi, na uso wake mfano wa umeme, na macho yake kama taa za moto, na mikono yake na miguu yake rangi yake kama shaba iliyosuguliwa sana, na sauti ya maneno yake kama sauti ya umati wa watu.
Danieli 10:7
Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.
Danieli 10:8
Basi nikaachwa peke yangu, nikaona maono haya makubwa, wala hazikubaki nguvu ndani yangu; maana uzuri wangu uligeuzwa ndani yangu kuwa uharibifu, wala sikusaziwa nguvu.
😂😂😂😂Endelea kukariri kingereza ndo Miungu yakoAllah Kwa Kiswahili ni mungu wa waarabu/waumini wa uislam ndio wanamuabudu.
Yahwe Kwa kiswahili ni mungu wa Wayahudi/waumini wajitahidi wanamuabudu
Hii Mitume ipo mingi Sana mingine inakaanga korosho huku mtambaswala ha haahaa ...
Tumeshawaambia uislamu Ni mfumo kamili wa maisha uliotimia ndio maana Kuna nchi zinaongozwa kiislamu na maisha yako poa. Yaani Kuna mifumo yote ...
Benki za kiislamu
Uchumi wa kiislamu
Michezo ya kiislamu
Siasa za kiislamu
Na maisha ya kiislamu kiujumla...
Swali ..Tutajieni nchi inayoongozwa kwa mifumo ya kikristo yaan Biblia inatumika kwa kila nyanja?? Mkinitajia mnanibatiza hapahapa....Tuanzie kule kwa Martin Luther King (Genius Wenu) wa Biblia(UK)...mpk kule Italy kwa Papa francwa'a..
Yoda nimekaa hapa nakunywa uji...
Uthibitishe kutoka popote unapo weza wewe Kisha ujibu maswali haya :
Habari za Yesu kusulubiwa na kufa na kufufuka, zimeandikwa kwenye kitabu gani ? Kisha muandishi wa kitabu hicho alimuona Yesu au aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Yeye hizo habari amezipata wapi ?
Nitajie watu hao walio kuwepo na Yesu japo watu Kisha utuambie waliandika kitabu gani ?
Kingine Mtume hakumuona Yesu yeye alikuwa anafunuliwa hizo habari na yule aliye mtuma Yesu na wengine. Hii si hoja kijana.
Kwanza kabla hatujafika huko unapo taka, nionyeshe nani alikuwepo katika eneno la tukio na ututhibitishie huyo aliyekuwepo kwenye tukio aliandika wapi hizo habari na mpaka zinawafikia nyinyi zimetoka wapi ?
Nataka niwafundishe namna habari zinavyochukuliwa na kuhakikiwa.
Yaani Wakristo laiti kama m gekuwa mnahakiki habari kama tunavyozihakiki sisi Waislamu hakuna hata neno Moja lingesalia katika Biblia isipokuwa yale ambayo yanaenda sawa na Qur'aan.
Ninaanza kupata mashaka:Plagiarism unaweza kuifanya hata ndani ya siku Saba tuu kuandika kitabu Kama Biblia. Ni copy na paste.
Hivyo hiyo miaka 23 ni mingi Sana ambayo Kwa kufanya plagiarism unaweza kuandika vitabu vyenye ukubwa wa Msahafu hata Mia Hivi.
Kama Angeleta habari mpya tungesema jamaa ni Genius lakini kusimulia mambo ambayo tayari yapo hata Wewe huwezi kushindwa.
Mbona kina Mwamposa wanasimulia habari za Yesu
Au kina mazinge wanasimulia habari za Muhammad au Kwa vile wao hawaandiki
Baki na ujinga wako na upuuzi wakoBaki na chuki yako juu yao.
Mimi ni wa Yesu Dini yenye uhai ,misimamo na inayoelewekaUzi ufungwe wavaa Rozari wameamua kuukimbia Uzi Unique Flower Karibu katka uislamu hautojutia mummy
Ona nawewe nani kakuambia uingilie visivyokuhusuOna Huyu naye ...umefundishwa na Nani kujibu matusi ??
Jamaa nilikuwa nakuona smart Sana kumbe mweupe kichwani..unaanzaje kutenganisha uislamu na Quran!!! Halafu unalikataa neno dini ....Hakika dini mbele ya MwenyeziMungu Ni uislamu...
Three terminologies can not separated,... uislamu+Dyin +Quran.....
Case closed
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tusigeuzane watoto wadogo post yako uliyoweka allah kwa wingi screenshot hii hapa,kama tunabishana tu alimradi ujione upo sahihi basi nikuache.View attachment 2403674
Anyway turudi kwenye hoja pale main post,kama una chochote cha kujibu nje ya itikadi kiweke hapa maana tunatembea nje ya mstari na hatuelewani.
Nakupa mfano;
Msikilize Danieli hapa anaandika yeye mwenyewe kitu kinachotokea katika maisha yake Kwa wakati sahihi, akwia. Huko Babeli, na Mtawala anamtaja, na wakati anataja.
Danieli 10:1
Katika mwaka wa tatu wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Danieli, ambaye jina lake aliitwa Belteshaza, alifunuliwa neno; na neno lile lilikuwa kweli; maana ni vita vikubwa; naye akalifahamu neno lile, akaelewa na maono hayo.
Danieli 10:2
Katika siku zile mimi, Danieli, nalikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu kamili.
Danieli 10:3
Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.
Danieli 10:4
Na siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa kando ya ule mto mkubwa, Hidekeli;
Danieli 10:5
naliinua macho yangu, nikatazama, na kumbe, mtu aliyevikwa nguo za kitani, viuno vyake vimefungwa dhahabu safi ya Ufazi;
Danieli 10:6
mwili wake pia ulikuwa kama zabarajadi safi, na uso wake mfano wa umeme, na macho yake kama taa za moto, na mikono yake na miguu yake rangi yake kama shaba iliyosuguliwa sana, na sauti ya maneno yake kama sauti ya umati wa watu.
Danieli 10:7
Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.
Danieli 10:8
Basi nikaachwa peke yangu, nikaona maono haya makubwa, wala hazikubaki nguvu ndani yangu; maana uzuri wangu uligeuzwa ndani yangu kuwa uharibifu, wala sikusaziwa nguvu.
Uthibitishe kutoka popote unapo weza wewe Kisha ujibu maswali haya :
Habari za Yesu kusulubiwa na kufa na kufufuka, zimeandikwa kwenye kitabu gani ? Kisha muandishi wa kitabu hicho alimuona Yesu au aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Yeye hizo habari amezipata wapi ?
Nitajie watu hao walio kuwepo na Yesu japo watu Kisha utuambie waliandika kitabu gani ?
Kingine Mtume hakumuona Yesu yeye alikuwa anafunuliwa hizo habari na yule aliye mtuma Yesu na wengine. Hii si hoja kijana.
Kwanza kabla hatujafika huko unapo taka, nionyeshe nani alikuwepo katika eneno la tukio na ututhibitishie huyo aliyekuwepo kwenye tukio aliandika wapi hizo habari na mpaka zinawafikia nyinyi zimetoka wapi ?
Nataka niwafundishe namna habari zinavyochukuliwa na kuhakikiwa.
Yaani Wakristo laiti kama m gekuwa mnahakiki habari kama tunavyozihakiki sisi Waislamu hakuna hata neno Moja lingesalia katika Biblia isipokuwa yale ambayo yanaenda sawa na Qur'aan.
Tatizo la waafrika tuliacha imani zetu za asili na kufuata Imani za kigeni za waarabu na wamisionari ndio maana hadi leo Afrika ni Maskini choka mbaya... Ukristo na Uislamu zote ni dini za kigeni...Mungu hana DINI na Dini sio MUNGU..View attachment 2403750