Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kwa hiyo hivyo vibao viwili ndio Torati?
Unajua hivyo vibao vilivunjwa na Musa mwenyewe?
Wewe umerukwa akili,mwanzo ulisema mungu Hana muda wa kuandika, akiongea Musa akaandika, nimekupa andiko mungu kampa Musa torati(law) ambayo kaiandika mwenyewe mungu kwa kidole chake, unaanza kuleta ngonjera, kwanza Kiri mungu aliandika kwa kidole chake na anao huo muda, Kisha tuendelee na hoja zingine.
 
Kwamba Yesu alizaliwa nje si ndio maana yake.
Biblia ipo wazi kuwa Yesu kazaliwa kwenye Zizi la ng'ombe na imetoa sababu ya Kwa nini Jambo Hilo limetokea.

Lakini Quran haijatoa sababu kwanini huyo Issa anayenasibishwa na Yesu alizaliwa chini ya mtende
Haya ukasome hapa,
Biblia ni kitabu kikubwa Kama jina lake lilivyo.
Usiseme kitu hakipo kabla hujauliza,

Haya soma;
Mathayo 2:1
Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,

Mathayo 2:2
Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

Mathayo 2:3
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.

Mathayo 2:5
Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii,

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, <br>Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; <br>Kwa kuwa kwako atatoka mtawala <br>Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 2:7
Kisha Herode akawaita wale mamajusi faraghani, akapata kwao hakika ya muda tangu ilipoonekana ile nyota.

Mathayo 2:8
Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie.

Mathayo 2:9
Nao waliposikia maneno ya mfalme, walishika njia; na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, hata ikaenda ikasimama juu ya mahali alipokuwapo mtoto.

Mathayo 2:11
Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.

Umejua ni wapi Yesu amezaliwa?
Na alizaliwa katika utawala upi? Na Mfalme alikuwa Nani?
Msimuliaji hapo ni mathayo mwanafunzi WA Yesu MWENYEWE.

Haya Quran anayesimulia ni Nani? Anamahusiano na Yesu Kwa namna ipi?
Je aliwahi kuonana na Yesu au kuonana na watu walioishi na Yesu?
Je aliwahi kufika nchi na eneo alilozaliwa Yesu ili ahoji watu waeneo Hilo?
Jibu ni hakuna mahusiano yoyote baina ya Muhammad na Yesu.
Hivyo Stori yoyote atakayoitoa haiwezi kutiliwa maanani.
 

Ndio nikakuuliza swali hivyo vibao viwili ndio Torati?
 
Tutakutana jioni kabisa mida ya saa mbili.
Kwa sasa ngoja tuendelee na majukumu mengine ya kujenga Nchi.
 
Ndio nikakuuliza swali hivyo vibao viwili ndio Torati?
Taurati ni kiebrania ikiwa na maana ya lawa,jibu swali langu,kutoka 31:18 mungu kaandika kwa kidole chake,hivyo anao muda wa kuandika na wewe na dhana zako ni potofu?
 
Urudia kosa lile ukisoma maelezo ya Yohana hakuna popote alipoonyesha ya kuwa amemuona Yesu, labda unionyesha.

Kingine maswali yangu naona huyajibu mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu.
 
Hizi ni Imani tuu, sote tumeumbwa na Ngai.

Hivi "tuliza mshono" kiebrania wanasemaje?
 
Unachekesha!!!

Kwa hiyo hata mimi leo nikivumbua kitu kwenye intro nikasema nilikigundua peke yangu kisha kwenye uzinduzi nikasema ”tulikaa tukagundua,tukaunda” still utanielewa na kuniheshimu?kwa line hizo nitakuwa na akili kweli?

Au kwa sababu itakuwa mimi sikuandikwa au kusimuliwa kwenye hadithi basi siyo kweli!!!hizi ni blah blah blahs aliyeandika hiko kitabu kuna hesabu zilimchanganya akaficha ficha kwamba ni heshima ya kifalme.
 
Toka nijiunge JF sijawai kumtukana mtu lakini Leo wewe mwanangu utanisamehee wewe ni mpumbavu ,mjinga ,una akilli na umejaa sana na udini sasa unataka tujadili nini wakati wewe umeshaonyesha ni upande gani uliopo?
 
Ila tunaweza kuishtaki Kenya Kwa kutumia Majina ya watu wetu au kuiba Stori zetu na kuzifanya ni zao.

Waarabu wameiba Stori na Majina ya Wayahudi alafu wanajitia wao ndio wawe Reference wakati dunia nzima inajua walifanya plagiarism
Kwanza si mitume yote ni wayahudi, mitume wanatoka race mbalimbali na wameingiliana sana.

Pili uisilamu si uarabu.

Tatu nimekupa ushahidi, si tu Quran imeelezea story zile zile za Torah na Biblia bali imeongezea zaidi.

Kwenye Quran story ya Ibrahim inaelezea specific watu wake walikuwa na miungu watatu Mungu jua, Mungu mwezi na Mungu Venus

Mungu mwezi alijulikana kama Nanna, alikuwa symbolised na crescent

Mungu Jua alikuwa anaitwa Shamash na alikuwa symbolised na solar disc


Wa mwisho Mungu venus ambaye alijulikana kama Ishtar,


Quran inaelezea jinsi Ibrahim alivyo debate na watu wake


And thus did We show Abraham the realm of the heavens and the earth that he would be among the certain [in faith]

So when the night covered him [with darkness], he saw a star. He said, “This is my lord.” But when it set, he said, “I like not those that disappear.”

And when he saw the moon rising, he said, “This is my lord.” But when it set, he said, “Unless my Lord guides me, I will surely be among the people gone astray.”

And when he saw the sun rising, he said, “This is my lord; this is greater.” But when it set, he said, “O my people, indeed I am free from what you associate with Allah.

Indeed, I have turned my face toward He who created the heavens and the earth, inclining toward truth, and I am not of those who associate others with Allah.” [Chapter 6, verses 75-79]


Information hii haipo kwenye Torah wala Bibble ni hivi karibuni tu ma Archeologist huko Iraq waligukua mabaki ya Babylon na kugundua hili.

Kama Quran inacopy Bible why inajua vitu ambavyo Bible haijui?.
 
Usijiaibishe mkuu lugha zote kongwe "we" inaweza isimaanishe wingi bali utukufu

Na haipo exclusive kwa waarabu
 
Sasa hizo sendos mbona tuna vaa hadi tusio waislamu lakini when it comes to religion debate kubazi zinakuwa kama ni utambulisho wa waislamu pekee?
Wanataka tu kudhihaki watu, mtu akiishiwa hoja anatafuta dhihaka
 

Hakuna says yoyote kwenye QUR'AN smbayo MUHAMMAD Rehema na amani ziwe juu yake anasimulia au kuzungumza kama YEYE...

LAKINI TOFAUTI NA MASIMULIZI YA BIBILIA AMBAYO SEHEMU KUBWA WANAZUNGUMZA WATU WAHUSIKA MFANO PAULO.

Nukta ya pili: Naomba UFAFANUZI WA MITUME KAMA DAUDI, LUTI KUWA WAOVU KULINGANA NA BIBILIA. CONTRA TO HOW THEY ARE DESCRIBED IN THE HOLY QUR'AN...

Lot’s daughters are concerned about their solitude and the possibility of preserving humanity, so they decide to get their father drunk and have intercourse with him with the goal of getting pregnant (Gen 19:31–33)

2 SAMWEL 11:2-17 DAUD anazini na mke wa kamanda halafu anapanga njama na kumuua kamanda...

One evening David got up from his bed and walked around on the roof of the palace. From the roof he saw a woman bathing. The woman was very beautiful,3and David sent someone to find out about her. The man said, "Isn't this Bathsheba, the daughter of Eliam and the wife of Uriah the Hittite?"4Then David sent messengers to get her. She came to him, and he slept with her. (She had purified herself from her uncleanness.) Then [1] she went back home.5The woman conceived and sent word to David, saying, "I am pregnant."6So David sent this word to Joab: "Send me Uriah the Hittite." And Joab sent him to David.7When Uriah came to him, David asked him how Joab was, how the soldiers were and how the war was going.8Then David said to Uriah, "Go down to your house and wash your feet." So Uriah left the palace, and a gift from the king was sent after him.9But Uriah slept at the entrance to the palace with all his master's servants and did not go down to his house.10When David was told, "Uriah did not go home," he asked him, "Haven't you just come from a distance? Why didn't you go home?"11Uriah said to David, "The ark and Israel and Judah are staying in tents, and my master Joab and my lord's men are camped in the open fields. How could I go to my house to eat and drink and lie with my wife? As surely as you live, I will not do such a thing!"12Then David said to him, "Stay here one more day, and tomorrow I will send you back." So Uriah remained in Jerusalem that day and the next.13At David's invitation, he ate and drank with him, and David made him drunk. But in the evening Uriah went out to sleep on his mat among his master's servants; he did not go home.14In the morning David wrote a letter to Joab and sent it with Uriah.15In it he wrote, "Put Uriah in the front line where the fighting is fiercest. Then withdraw from him so he will be struck down and die."16So while Joab had the city under siege, he put Uriah at a place where he knew the strongest defenders were.17When the men of the city came out and fought against Joab, some of the men in David's army fell; moreover, Uriah the Hittite died.

Genesis 9:20-23
Nuhu analewa mpaka analala UCHI

20After the flood, Noah began to cultivate the ground, and he planted a vineyard. 21One day he drank some wine he had made, and he became drunk and lay naked inside his tent. 22Ham, the father of Canaan, saw that his father was naked and went outside and told his brothers. 23Then Shem and Japheth took a robe, held it over their shoulders, and backed into the tent to cover their father. As they did this, they looked the other way so they would not see him naked.

KAKA wa mimi; Qur'an haiwezi kukopi kwenye kitabu cha HIVI!!!
 
Mimi ni mmoja wa wafuatiliaje wa mabandiko yako humu jukwaani lakini leo ktk suala hili napata ukakasi kidogo. sikupingi sababu ni mtazamo wako na naamini kuna tafiti umefanya kabla hujaleta bandiko hilo hapa.

unapozungumzia mambo ya kufikirika inahitaji usitoe hitimisho sababu mambo unayozungumzia ni ya kufikorika.

Historia ya Yesu ina hitaji akili za ziada kuliko hisia. sababu historia ya Yesu ni jambo ambalo lonaweza husishwa moja kwa moja na JUA nikiwa na maana ya kwamba Yesu ( mwili) hajawahi kuwepo zaidi ya Yesu jina ambaye kila Jamii aliwahi kuwepo Yesu kabla ya Yesu. sijui kama nimeeleweka, mfano wagiriki walikuwa na Zeus ambaye story zake zinalingana na Buddha, na yule mwingine wa Misri jina limenitoka ila nachokumbuka kuna Watu 40 walipita duniani wakiwa wameacha legacy hiyo hiyo moja mpaka pale Yesu huyu wa mwisho.

Yesu ni JUA. kuhusu Muhammad pia kuna mambo kibao ambayo naweza sema mtu yoyote akiwa na uelewa wa mambo anaweza kuwa ni MUHAMMAD
 
Mtume Muhammad anafunuliwa mambo ambayo Padri walaga jirani yake anayo?
Safi kabisa, kwanza naomba uthibitishe ya kuwa Waraqah alikuwa Padri ?! Kisha uniambie mambo ya Upadri yalianza lini ?

Waraqah Bin Nawfal bin Abdil Uzza, alikuwa mjuzi wa vitabu vya kale na alikuwa aikijua lugha husika kadhalika. Ndiyo maana akawa mtu wa kwanza katika watu wazima kuukubali utume wa Mtume sababu alikuwa na Elimu juu ya jambo hilo.
Yaani ni Sawa atokee mtu sasa hivi ajifanye anafunuliwa habari za Quran ilhali Waislam mpo na mnajua habari zote za Quran.
Mtu huyo mtamchukuliaje?
Hapa sijaelewa hoja yako Iko wapi ? Sababu Mtume alitumwa kwa Makufari wa Kiarabu na watu baadhi kama vile kina Waraqah ambao walikuwa na ujuzi wa vitabu vya kale.

Sasa jaribu kuweka mfano hai.
Yaani Muhammad anafunuliwa Stori za kina Musa, sijui Ibrahimu, sijui Yusufu ilhali tayari wapo Wakristo kina Padri Walaga wanazo alafu mnaita ufunuo😀😀.
Safi kabisa, ufunuo ni nini ? Waraqah una uhakika alikuwa anayajua yote ya vitabu vya kale ? Jibu si sahihi sababu hawakuwa na matini ya vitabu hivyo vya Bali ni kumbukumbu za hizo habari tu.

Bado sijaiona hoja yako hapo.
Yaani majaji/wasomaji ambao hawana ushabiki wataelewa na kuamua wenyewe Kwa hoja unazozitoa.
Naendelea kusubiri majibu majibu ya maswali yangu.
Muhammad anafunuliwa ati Suleiman alikuwa anafuga majini.
Hajui hata Utamaduni wa Suleiman ukoje, hajui Mungu WA Suleiman/Wayahudi aitwaye Yahwe anakataza kutumia maruhani/majini,
Muhammad hajui kuwa Suleiman hajawahi kumjua Allah mungu wa waarabu.
Wapi katika Qur'aan au Hadithi Mtume amesema nabii Suleyman alikuwa anafuga Majini ? Wakristo kwanini mnakuwa wajinga kiasi hiki hata kufanya utafiti mnashindwa ?

Kwani unavyofahamu wewe Allah ni nani ?

Mtu akisema Mungu au God anakuwa na yeye Mungu wake si Mungu wa Mayahudi ? Mungu wa Mayahudi alikuwa nani ?
Hivi kweli bado unaona Quran iko makini?
Ni akheri wakati ina-copy wahusika wakiyahudi inge-copy na Mungu WA kiyahudi ingekuwa angalau kuna Ukweli.
Shida hujengi hoja na huna hoja Bali unalalama. Jaribu kutulia ujenge hoja kama navyo Jenga Mimi.

Mungu wa Kiyahudi alikuwa anasifa gani na alijielezea vipi ?

Mayahudi ni kina nani ?
 
Yani kweny arguments za dini unaleta clip ya watu wanaotukana matusi kuzungumzia dini hapo kuna shida. Wakristo hawawezi shiriki mjadala kama huo maan Bible inakataza.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hapana sijakusudia kudhihaki dini yoyote, niliamini kuna point tunaweza kujifunza. Kama umeielewa vinginevyo NAOMBA RADHI. Muungwana akiombwa radhi HUSAMEHE
 
Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo..Ni sawa na mchezo wa kuvuta kamba kila mtu ana jaribu kuvutia upande wake...Dini ni utumwa wa kifikra mbaya sana kwa waafrika..kila kukicha ni kubishana huu ujinga wa UDINI.poor Mindsets!
 
kaka ni chaguo lako tu UIPENDE DUNIA UIACHE AKHERA AU UIPENDE AKHERA UIACHE DUNIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…