YESU alizaliwa kwenye familia iliyokua inaabudu dini ya kiyahudi
YEHOVA NI LUGHA GANI SASAPia nafikiri umekubali kuwa Mungu wa Musa, Ibrahimu, Isaka na yakobo ni Yehoba na sio Allah.
Alikutana wapi na Majini hadi akaongea nayo ?
Sasa kijana unasema Shule muhimu na hujengi hoja unalalama ?Kweli shule muhimu.
Kama hukupelekwa shule haya ndio matokeo yake.
Kwa hiyo Kwa akili yako, mungu Yahwe na Allah au Buddha ni mmojaππ
Neno Mungu ni Cheo haimaanishi Mungu yupi,
Kamuulize mwalimu wako WA dini maana naona hapa unawadhalilisha wenzako.
Au fuatilia waarabu kabla ya Muhammad walikuwa wanaabudu miungu ipo uone Kama Allah Hakuwa miongoni mwa hiyo miungu.
Kumbuka Mungu ni umoja alafu Miungu ni wingi.
Ni Sawa useme mtu ni jina la pekee wakati ni Cheo.
Mungu aliumba mtu alafu akamuita jina lake Adamu. Huelewi hata mantiki ya hoja.
Sasa swali lazima liulizwe ni Mungu yupi aliyemuumba Adamu?
Yaani jina la huyo Mungu
Thibitisha ya kuwa Ibrahiim hakufika Makka.Ibrahimu hakuwah kufika huko makka alizaliwa Urdu ya caldayo (Iraq) na akaamia kaanani ambayo Leo ndo nchi ya Israel na Palestina
πππNimecheka sana, Uislaamu maana yake ni kujisalimisha kwa Allah kwa kumtii na kumpwekesha yeye peke yake pasi na kumshirikisha na yoyote na chochote.
Hika ilikuwepo na Ibrahim alihiji na ndiyo mjenzi wa Ile nule Msikiti wa Makka.
Tofauti iliyo kuwepo baina ya mitume Hawa ni Sheria ila Imani Yao ni Moja.
Uislamu umegawanyika sehemu juu mbili, Uislamu wa ujumla huu ni Ile Imani na Uislamu khasa ambao aliokuja nao Mtume kwa maana ya Sheria tofauti.
Hata Musa alikuwa ana Hiji na anafunga na alikuwa ana Sali kwa mujibu wa Sheria yake aliyo pewa na Allah.
Kuhusu suala la Shahada, Shahada yetu ya Leo haiwezi kuwa sawa na ya walio pita sababu kila umma ulipewa utaratibu wake na Sheria zake.
Kadhalika zaka walitoa.
Muhammad alipewa na nani quran?
Quran ilishushwa kwa kamba ama ilishushwa kwa ngazi?
Quran inajipinga yenyewe ndio maana tunaona ni janja janja tu.
Quran 6:14 inasema kuwa Muhammad alikuwa Muislamu wa kwanza.
Quran 28:46 inadai kuwa Muhammad ndiye mtume wa kwanza kufika kwa duniani. na akajenga Al-Kaaba. .
Quran 7:143 inasema kwamba Musa alikuwa Mwislamu wa kwanza.
Quran 10:47 inasema kwamba Mwenyezi Mungu alituma watume kwa kila umma.
Ila hiyo hiyo quran haijasema umma Wa Africa mtume wao walietumiwa ni nani?
Umma wa Wahindi mtume wao waliotumiwa ni nani? Umma Wa Australia mtume wao walietumiwa ni nani? Watu wa bara la America mtume wao waliotumiwa ni nani? Wachina , wakorea, wajapan mtume wao walioletewa ni nani?
Thibitisha ya kuwa Ibrahiim hakufika Makka.
Nianze kukuingiza darasani kwanza taifa ni tofauti na umma
pili UMMA unaweza kujumuisha mataifa mengi
Tatu Jua kuwa Mungu alikuwa anamtuma Mtume Kwa watu ambao wamepotea kuhusu kumjua Mungu lengo likiwa Huyo mtume awafundishe jinsi ya kumjua Mungu na ndio maana Musa alikuwa wa kwanza kuwa Muislamu katika kipind chake wakati wa Wana WA Israel na ukija kipindi Cha Nabii Muhammad unamkuta yey ni WA kwanza katika umma wake kuwa muislamu maana Watu wa Makka walikuwa waabudu Masanamu ndio maana akatumwa Nabii Muhammad aende akawafunze ndugu zake kuhusu kumjua ALLAH yaani wawe WAISLAMU
KWAHY MUSA NA MUHAMMAD WALIKUWA WA KWANZA KATIKA NYAKATI ZAO KWAKUWA WAO NDIO WALIKUWA WALIMU VILE VILE YESU
Shule muhimu sana.Sasa kijana unasema Shule muhimu na hujengi hoja unalalama ?
Ng'ombe si watu wanamuita Mungu ? Je kwa maana ya Mungu ya Kiswahili Ng'ombe anaingia ?
Mtu siyo cheo kijana, mtu ni jinsi, cheo huja kwa masharti. Kijana mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki ?
Mimi nitakuuliza Mungu gani anayeumba ? Kijana akili huna.
Sasa kijana unasema Shule muhimu na hujengi hoja unalalama ?
Ng'ombe si watu wanamuita Mungu ? Je kwa maana ya Mungu ya Kiswahili Ng'ombe anaingia ?
Mtu siyo cheo kijana, mtu ni jinsi, cheo huja kwa masharti. Kijana mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki ?
Mimi nitakuuliza Mungu gani anayeumba ? Kijana akili huna.
Haya kipindi Cha Musa Sasa waliambiwa hivi waelekee huko nyuso zao huko na waende huko Je SEHEMU HII NI WAPI KATIKA UKRISTOπππ
Daaah!
Leo mahakamani mmeangukia pua
Ibrahimu hajawahi kujenga msikiti wala Hekalu.
Acha kupotosha
Kwa mujibu wa Quran unayoiamini Ibrahimu, Musa, daudi, Issa walishahadia Kwa namna ipi?
Maana kila kitu kwenye maandiko kinaenda Kwa historia iliyoandikwa.
Musa Alihiji?
Yesu alihiji?
Daudi alihiji?
yusufu alihiji?
Yakobo alihiji?
Nitajie hata mmoja wa Nabii au Mtume aliyehiji.
Eleza ni Kwa nini uislam kama ilikuwepo wakati WA Musa na mitume wengine Kwa nini ulibadilika na kuwa huu WA Muhammad?
Mabadiliko ya kumbadilisha Mungu kutoka yehova mpaka Allah
Mabadiliko ya kutoamini majini mpaka kuamini majini
Mabadiliko ya kutoka lugha ya Asili ya waisrael mpaka lugha ya kiarabu ya kabila la wakurdi.
Eleza
Shule muhimu sana.
Unaposema au kuandika Mungu kuanzia harufi kubwa ya M, unamaanisha Mungu muumba mbingu na nchi.
mungu kwa kuanzia herufi ndogo ya m, unamaanisha miungu ya kipagani.
Sasa unapo uliza
Mungu gani unamaanisha nini.
Mungu ni mmoja tu.
mungu ndio wako wengi.
Hapa nikurekebishe kidogo,kuhusu kuandika ni mazoea tu na kwendana Sarungi,au Nomino na kanuni za lugha yako unayoitumia wala haijamuriwa mahala kuwa uiandike kwa herufi kubwa... Wake up !akili ifikirie kwa mapana sana Ndugu...Shule muhimu sana.
Unaposema au kuandika Mungu kuanzia harufi kubwa ya M, unamaanisha Mungu muumba mbingu na nchi.
mungu kwa kuanzia herufi ndogo ya m, unamaanisha miungu ya kipagani.
Sasa unapo uliza
Mungu gani unamaanisha nini.
Mungu ni mmoja tu.
mungu ndio wako wengi.
Kumbukumbu la Torati 5:7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
MUNGU NI MMOJA TU ALLAH NDIO JINA PEKEE LINALOJULIKANA ULIMWENGUNI NENDA CHINA ULIZA YEHOVA NI NAN HUJIBIWI KAKAAnayesema Mungu ni mmoja ni Nani sasa?
Maana Biblia inasema usiabudu miungu mingine isipokuwa Mungu/Yahweh
Huyo anayesema ni Yahwe akiwaambia watu wake waisrael.
Kwa mujibu wa huyo Yehova yeye ndiye anasema aliumba mbingu na Nchi hapo anawaambia Waisrael
Watu wake.
Lakini ukienda Kwa Wachina nao wanamungu wao, na hawamtambui Adamu kama mtu wa Kwanza, na wala hawatambui hao miungu wengine yaani Yehova na Allah.
Tatizo Lenu mnajadili kana kwamba mnafikiri Kwa namna ya ushabiki
Mungu ni aliye umba mbingu na nchi ndio maana Torati imeandika.Hapa nikurekebishe kidogo,kuhusu kuandika ni mazoea tu na kwendana Sarungi,au Nomino na kanuni za lugha yako unayoitumia wala haijamuriwa mahala kuwa uiandike kwa herufi kubwa... Wake up !akili ifikirie kwa mapana sana Ndugu...
Hizi Lugha zisiwachanganye watu tu.
Wewe mwenyewe unayemuabudu humjuiAnayesema Mungu ni mmoja ni Nani sasa?
Maana Biblia inasema usiabudu miungu mingine isipokuwa Mungu/Yahweh
Huyo anayesema ni Yahwe akiwaambia watu wake waisrael.
Kwa mujibu wa huyo Yehova yeye ndiye anasema aliumba mbingu na Nchi hapo anawaambia Waisrael
Watu wake.
Lakini ukienda Kwa Wachina nao wanamungu wao, na hawamtambui Adamu kama mtu wa Kwanza, na wala hawatambui hao miungu wengine yaani Yehova na Allah.
Tatizo Lenu mnajadili kana kwamba mnafikiri Kwa namna ya ushabiki
MUNGU NI MMOJA TU ALLAH NDIO JINA PEKEE LINALOJULIKANA ULIMWENGUNI NENDA CHINA ULIZA YEHOVA NI NAN HUJIBIWI KAKA
Hapa nikurekebishe kidogo,kuhusu kuandika ni mazoea tu na kwendana Sarungi,au Nomino na kanuni za lugha yako unayoitumia wala haijamuriwa mahala kuwa uiandike kwa herufi kubwa... Wake up !akili ifikirie kwa mapana sana Ndugu...
Hizi Lugha zisiwachanganye watu tu.