Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

YESU alizaliwa kwenye familia iliyokua inaabudu dini ya kiyahudi
Pia nafikiri umekubali kuwa Mungu wa Musa, Ibrahimu, Isaka na yakobo ni Yehoba na sio Allah.
YEHOVA NI LUGHA GANI SASA
PILI ukienda Kwa mchina muulize yehova ni Nan kama atakuelewa kwasabab Hilo ni jina la kilugha la kabila Fulani au taifa Fulani leta JINA LILILOKAANDIKWA KWENYE ASILI YA INJILI YAAN LUGHA YA KIEBRANIA
 
Alikutana wapi na Majini hadi akaongea nayo ?

Sasa kijana unasema Shule muhimu na hujengi hoja unalalama ?

Ng'ombe si watu wanamuita Mungu ? Je kwa maana ya Mungu ya Kiswahili Ng'ombe anaingia ?

Mtu siyo cheo kijana, mtu ni jinsi, cheo huja kwa masharti. Kijana mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki ?

Mimi nitakuuliza Mungu gani anayeumba ? Kijana akili huna.
 
Ibrahimu hakuwah kufika huko makka alizaliwa Urdu ya caldayo (Iraq) na akaamia kaanani ambayo Leo ndo nchi ya Israel na Palestina
Thibitisha ya kuwa Ibrahiim hakufika Makka.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Daaah!
Leo mahakamani mmeangukia pua
Ibrahimu hajawahi kujenga msikiti wala Hekalu.
Acha kupotosha

Kwa mujibu wa Quran unayoiamini Ibrahimu, Musa, daudi, Issa walishahadia Kwa namna ipi?
Maana kila kitu kwenye maandiko kinaenda Kwa historia iliyoandikwa.

Musa Alihiji?
Yesu alihiji?
Daudi alihiji?
yusufu alihiji?
Yakobo alihiji?
Nitajie hata mmoja wa Nabii au Mtume aliyehiji.

Eleza ni Kwa nini uislam kama ilikuwepo wakati WA Musa na mitume wengine Kwa nini ulibadilika na kuwa huu WA Muhammad?
Mabadiliko ya kumbadilisha Mungu kutoka yehova mpaka Allah
Mabadiliko ya kutoamini majini mpaka kuamini majini
Mabadiliko ya kutoka lugha ya Asili ya waisrael mpaka lugha ya kiarabu ya kabila la wakurdi.
Eleza
 
Nimefuatilia sana huu uzi,toka juu hapo
Nilichogundua ni kimoja tu ,wengi wetu tunasimamia kwa kile tulichokikuta tukiwa wadogo tukasomeshwa kwacho,basi tukasimamia hapo

Ila ipo hivi,amini au ukate Yote haya,Islam,Christ,Budha,Hinduism ,Jewish n.k ni mifumo tu ya jamii na jamii kulingana na mipaka ya mazingira waliopo na walichokikuta.
Dunia Hii imetembea miaka mingia sana sana sana ,hata kizazi hiki kilichopo baada ya 100yrs mbele hatutakuepo haijalishi kazaliwa leo au yupo tumboni kwa *****..Guess what ..wote tunakuwa tunasehemu tunayoamini,ila HAKUNA UHALISIA KABISA ni kushape tu wanadamu waishi kwa Amani na Upendo

Mwisho wa yote huwa tunazikwa wote ardhini na ukifa Aseeh habari yako ndio imefutika hapo haya mengine mtabishana ,mtatoa hoja na bla bla zingine
Bila kujua ni Biashara za watu wengine kabisa..Wake up Dude uruhusu Ubongo wako kuwaza zaidi,na siyo kuwaza ukichokikuta tu

Ukifa ndio mwisho haya mengine pigeni tu kelele muda Usonge..

OVER!
 

Nianze kukuingiza darasani kwanza taifa ni tofauti na umma
pili UMMA unaweza kujumuisha mataifa mengi.

Tatu Jua kuwa Mungu alikuwa anamtuma Mtume Kwa watu ambao wamepotea kuhusu kumjua Mungu lengo likiwa Huyo mtume awafundishe jinsi ya kumjua Mungu na ndio maana Musa alikuwa wa kwanza kuwa Muislamu katika kipind chake wakati wa Wana WA Israel na ukija kipindi Cha Nabii Muhammad unamkuta yey ni WA kwanza katika umma wake kuwa muislamu maana Watu wa Makka walikuwa waabudu Masanamu ndio maana akatumwa Nabii Muhammad aende akawafunze ndugu zake kuhusu kumjua ALLAH yaani wawe WAISLAMU
KWAHY MUSA NA MUHAMMAD WALIKUWA WA KWANZA KATIKA NYAKATI ZAO KWAKUWA WAO NDIO WALIKUWA WALIMU VILE VILE YESU
 
Thibitisha ya kuwa Ibrahiim hakufika Makka.

Ibrahimu hajawahi kukanyaga Saudia Arabia, Acha uongo.
Hakuna ushahidi wowote iwe kisayansi au kihistoria.

Uliza waalimu wako wakuambie Ukweli.

Ndio maana nikakuambia mahakamani Quran haitoboi.
Unasema Ibrahimu ati alijenga sijui msikitiπŸ˜€πŸ˜€ Daah!
Ukiambiwa utoe ushahidi utatoa?

Mkuu najua unaipenda Dini yako na unatamani kila mtu aelewe kama unavyoelewa.
Ila unachoelewa kuhusu hata mambo ni Kama mtoto wa chekechekea ingawaje watu wa dini wengi yaani ninyi Wakristo na waislam mnaniona Kama mpo sahihi lakini kimsingi kielimu mpo chini Sana.

Hivi unaijua ramani ya wakati huo, wakati Ibrahimu akitoka Uhuru wa ukaldayo kwenda Kanaani, kisha kutokana Kanaani Kurudi Misri Kwa Sababu ya njaa, kisha Kurudi tena Kanaani.
Je hiyo ramani inapitia Saudia Arabia mpaka ajenge huo msikiti.
Huko Saudia Arabia alienda Kwa sababu ipi?
 

Unaweza kututajia Mtume au Nabii yoyote nje ya manabii wa Kiyahudi?
 
Shule muhimu sana.

Unaposema au kuandika Mungu kuanzia harufi kubwa ya M, unamaanisha Mungu muumba mbingu na nchi.

mungu kwa kuanzia herufi ndogo ya m, unamaanisha miungu ya kipagani.

Sasa unapo uliza
Mungu gani unamaanisha nini.

Mungu ni mmoja tu.

mungu ndio wako wengi.

Kumbukumbu la Torati 5:7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
 

Unahitaji Elimu Sana. Soma vitabu vingi uko limited ndio maana akili yako haiwezi kuelewa mambo ambayo ni unlimited.

Kwa hiyo kwaajili yako mungu wa wamasai naye ni Allah? Au mungu wa wahindi naye ni Allah? Mungu wa Korea ni Allah?
 
Haya kipindi Cha Musa Sasa waliambiwa hivi waelekee huko nyuso zao huko na waende huko Je SEHEMU HII NI WAPI KATIKA UKRISTO
maana sisi tunaelekea KIBRA YAANI ULIKKO MSIKITI MTAKATIFU WA MAKKA NA PIA TUNAENDA KWA IBADA YA HIJA VIPI NYIE WAKRISTO WAP MNAENDA KWA MUJIBU WA HILI ANDIKO?
Lakini mahali atakapochagua Bwana, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

Kumbukumbu la Torati 12:5
 

Anayesema Mungu ni mmoja ni Nani sasa?

Maana Biblia inasema usiabudu miungu mingine isipokuwa Mungu/Yahweh.

Huyo anayesema ni Yahwe akiwaambia watu wake waisrael.
Kwa mujibu wa huyo Yehova yeye ndiye anasema aliumba mbingu na Nchi hapo anawaambia Waisrael
Watu wake.

Lakini ukienda Kwa Wachina nao wanamungu wao, na hawamtambui Adamu kama mtu wa Kwanza, na wala hawatambui hao miungu wengine yaani Yehova na Allah.

Tatizo Lenu mnajadili kana kwamba mnafikiri Kwa namna ya ushabiki
 
UKIENDA CHINA UKISIKIA ADHANA HUULIZI NI KWENDA MSIKITINI TU MAANA LUGHA YA IBADA NI MOJA TU DUNIAN NI KIARABU
SASA WEWE MKRISTO HATA SIO MBALI NENDA SOMALIA TU HAPA KANISANI KAMA UTAAMBULIA KITU

KWAHY HUO NI MUUJIZA WA ALLAH KWA VIUMBE WANAO SILIMU NI WENYE AKILI TU
 
Hapa nikurekebishe kidogo,kuhusu kuandika ni mazoea tu na kwendana Sarungi,au Nomino na kanuni za lugha yako unayoitumia wala haijamuriwa mahala kuwa uiandike kwa herufi kubwa... Wake up !akili ifikirie kwa mapana sana Ndugu...

Hizi Lugha zisiwachanganye watu tu.
 
MUNGU NI MMOJA TU ALLAH NDIO JINA PEKEE LINALOJULIKANA ULIMWENGUNI NENDA CHINA ULIZA YEHOVA NI NAN HUJIBIWI KAKA
 
Mungu ni aliye umba mbingu na nchi ndio maana Torati imeandika.

Kumbukumbu la Torati 5:7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.

Hapo hapaja andikwa
Miungu wengine bali
miungu wengine

Hakuna jina la Miungu, bali
miungu
 
Wewe mwenyewe unayemuabudu humjui
 
MUNGU NI MMOJA TU ALLAH NDIO JINA PEKEE LINALOJULIKANA ULIMWENGUNI NENDA CHINA ULIZA YEHOVA NI NAN HUJIBIWI KAKA

Zaidi ya Tanzania uliwahi enda wapi Mkuu?

Nimekupa Aya inayosema Mungu wa Ibrahim, Isaka na yakobo aliitwa Yehova, mpaka sasa nenda Kwa Wayahudi wenye dini ya kiyahudi waulize Mungu wao anaitwa Nani watakujibu.

Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kumbuka Nabii mkubwa kwenye dini ya Uyahudi ni Ibrahim na Musa.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakiambiwa waende shule hawataki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…