Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Hivi Muhammadi alileta fundisho gani Jipya ambalo haswa lilimfanya awe Mtume ?

Nasubiri Jibu.
Kwani Yesu Alileta Fundisho Gani Jipya liliomfanya Awe Mtume.Kiufup Haihitaji Ulete Fundisho Ndo Uwe Mtu Mtume,Mtume Huteuliwa Na Mungu Kisha Ndo Hufundishwa Na Yeye Hufundisha.

Kwan Yesu Hakuwa Mtume Kabla Ya Kuleta Mafundisho (cjui Mnamuita Mungu,Ila Mm Namuita Mtume).Jibu Alikuwa Mtume Pale Alipozaliwa tu Hata Kabla Ya Kuanza Mafundisho.

Pia Mtume Muhammad(S.A.W) Hakuja Na Kitu Kipya Isipokuwa Ni Yale Yale Ya Kutoka Kwa Nabii Adam.

Pia Kama Yesu Alikuja Na Kitu Kipya Nambie Ni Kipi.Na Kama Kwel Kipo Basi Nitazidi Kuamini Katika Qur'an.kwan Iweje Adam Awe Na Mafundisho Yake Na Yesu Awe Anafundisho Yake,Si Watu Watachanganyikiwa Sasa.Kipya Labda Ni Hadithi Na Mitume Na Hizo Ni Hadithi Lazima Ziongezeke Kutokana Na zama.Ila Mafundisho Ni Yale Yale.Au Adam Alikuja Na Amri Kumi Zake,Selemani Alikuja Na Zake,Daud Zake n.k.Nieleweshe Hapo Nijue Mafundisho Gani Mapya Unayozungumzia
 
Kwani Yesu Alileta Fundisho Gani Jipya liliomfanya Awe Mtume.Kiufup Haihitaji Ulete Fundisho Ndo Uwe Mtu Mtume,Mtume Huteuliwa Na Mungu Kisha Ndo Hufundishwa Na Yeye Hufundisha.

Kwan Yesu Hakuwa Mtume Kabla Ya Kuleta Mafundisho (cjui Mnamuita Mungu,Ila Mm Namuita Mtume).Jibu Alikuwa Mtume Pale Alipozaliwa tu Hata Kabla Ya Kuanza Mafundisho.

Pia Mtume Muhammad(S.A.W) Hakuja Na Kitu Kipya Isipokuwa Ni Yale Yale Ya Kutoka Kwa Nabii Adam.

Pia Kama Yesu Alikuja Na Kitu Kipya Nambie Ni Kipi.Na Kama Kwel Kipo Basi Nitazidi Kuamini Katika Qur'an.kwan Iweje Adam Awe Na Mafundisho Yake Na Yesu Awe Anafundisho Yake,Si Watu Watachanganyikiwa Sasa.Kipya Labda Ni Hadithi Na Mitume Na Hizo Ni Hadithi Lazima Ziongezeke Kutokana Na zama.Ila Mafundisho Ni Yale Yale.Au Adam Alikuja Na Amri Kumi Zake,Selemani Alikuja Na Zake,Daud Zake n.k.Nieleweshe Hapo Nijue Mafundisho Gani Mapya Unayozungumzia
Unataka kubisha Muhammad hakuja na jipya kusema mapepo ni waislamu na kitabu Chao ni Koran?
 
Kwani Yesu Alileta Fundisho Gani Jipya liliomfanya Awe Mtume.Kiufup Haihitaji Ulete Fundisho Ndo Uwe Mtu Mtume,Mtume Huteuliwa Na Mungu Kisha Ndo Hufundishwa Na Yeye Hufundisha.

Kwan Yesu Hakuwa Mtume Kabla Ya Kuleta Mafundisho (cjui Mnamuita Mungu,Ila Mm Namuita Mtume).Jibu Alikuwa Mtume Pale Alipozaliwa tu Hata Kabla Ya Kuanza Mafundisho.

Pia Mtume Muhammad(S.A.W) Hakuja Na Kitu Kipya Isipokuwa Ni Yale Yale Ya Kutoka Kwa Nabii Adam.

Pia Kama Yesu Alikuja Na Kitu Kipya Nambie Ni Kipi.Na Kama Kwel Kipo Basi Nitazidi Kuamini Katika Qur'an.kwan Iweje Adam Awe Na Mafundisho Yake Na Yesu Awe Anafundisho Yake,Si Watu Watachanganyikiwa Sasa.Kipya Labda Ni Hadithi Na Mitume Na Hizo Ni Hadithi Lazima Ziongezeke Kutokana Na zama.Ila Mafundisho Ni Yale Yale.Au Adam Alikuja Na Amri Kumi Zake,Selemani Alikuja Na Zake,Daud Zake n.k.Nieleweshe Hapo Nijue Mafundisho Gani Mapya Unayozungumzia
Yesu alileta fundisho jipya kabisa na ni hili hapa.

Mosi.
Mathayo 5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;

44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Pili.
Mathayo 22:37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.

38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.

39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

40 Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.

Nipo Nasubiri Fundisho Jipya la Muhammadi.
 
Mimi nachoamini ni kwamba Mungu hatawaadhibu waje wake kisa sio muislam au mkristo. Nachoamini ni matendo tu na kila upande kutokashifu upande mwingine basi.

Ifike wakati mada za hivi watu muachane nazo. Kuna mambo ya msingi ya kujadili kama 'taifa la jamiiforums'
The BEST comment in this thread so far
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo![emoji3][emoji3]

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Ke ulipigwa maswali nakumbuka mtu mmoja anaitwa @grandmillenial alikutwanga maswali heavy ukabaki unajinga'ta tu umeishiwa hoja kiujumla.

Nimemuita ngona aje
 
Ke ulipigwa maswali nakumbuka mtu mmoja anaitwa @grandmillenial alikutwanga maswali heavy ukabaki unajinga'ta tu umeishiwa hoja kiujumla.

Nimemuita ngona aje
Sheria ya Jamii Forum hakuna kutajana majina halisi.
Hata kama unamtambua anayetumia ID flani, usi mu expose.

Tutakufungia kwa kuvunja kanuni
 
Mtume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo Mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake. Maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira middle east tu ambayo Mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jirani zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Ukijiuliza swali hili

Why does the Quran not mention prophets in America, Australia, Asia, Northern Europe, China, Japan, or South Africa?

Jibu litakalokujia kichwani haraka haraka ni hili

Because the writers of the Qur'an would not have been aware if these lands. Islamic religion is invented in one small area of the world (arabs land) which is why quran, hadith, & sunnah text only mentions things happen in that area only
Hili la kusema Nyerere alikuwa anasema ameota tukio fulani sehemu fulani kumbe kaona kwenye TV ni uongo na sijui kwanini unalazimishwa kuwa kweli tena na watu werevu kabisa!

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Unasema Umesoma sana Quran Nn Ulichosoma.Hakuna Alosoma Vizur Kisha Aone Haieleweki.
Sasa Quran ina maajabu gani?

Unaweza kunipa hata unabii wowote wa kustaajabisha wa Quran?

Mimi Nakupa mfano huu hapa wa unabii wa Tawala za Ulimwengu ambao ulisemwa na Biblia ambao umedumu Hadi leo,

Kuinuka na kuanguka kwa falme nne zilizotawala dunia:
Babeli, Umedi na Uajemi, Uyunani na Rumi. (Danieli 2,7,8.)


QURAN inaweza kuelezea kitu Kama hiki?


download%20(1).jpg
 
Hii ndio biblia unayo hiamini ?

Isaya 23:17
[17]Hata itakuwa mwisho wa miaka sabini, BWANA ataizuru nchi ya Tiro, naye atarudi apate ujira wake, atafanya ukahaba pamoja na falme zote za ulimwengu juu ya uso wa dunia.

Tatizo Ni wewe kutokuelewa ,hii sio Quran

Mungu amekuwa akiliita Taifa teule mke /bikira Safi , wanapoasi waliitwa Kahaba

Kwenye Biblia Hasa vitabu vya unabii most ni codes
 
Aliyeandika Kitabu cha Genesis, kwenye Uumbaji, alikuwepo wakati wa Uumbaji?

Mbona Kama issue ni hearsay, Kwenye context ya Uumbaji, Bible ndio imejaa Hearsays za Kutosha.

Issue ya Adam na Eva, who was there? Hearsay

Note Mimi ni Mwenyekiti wa Usharika KKKT, Usije ukasema Mimi Mvaa Kobaz
Ila nimejaribu kuwa Objective
KKKT kuna cheo cha mwenyekiti wa usharika mkuu mbona sijawahi kukisikia??
 
QURAN 10: 37-44

37. "Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inathibitisha (vitabu) vilivyotangulia; na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutoka kwa Mola Mlezi wa viumbe vyote.

38. Je! Ndiyo wanasema ameizua? Sema: Hebu leteni na nyie japo sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli(kwamba Muhammad kaizua hii Quran).

39. Bali wameyakanusha wasio yaelewa elimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhalika walio kabla yao walikanusha vile vile. Basi angalia jinsi ulivyo kuwa mwisho wa madhaalimu hao.

40. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako Mlezi anawajua vyema mafisadi.

41. Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina matendo yangu, na nyinyi mna matendo yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo, wala mimi sina jukumu kwa myatendayo.

42. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?

43. Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je, wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni?

44. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.”
Hakina shaka huku wanaokiamini wakikitetea kwa njia ya umwagaji damu?!yule Salmon Rushidie mmemuwinda wee kama vile jambazi aliyevujisha siri za majambazi wenzie na mwishowe baada ya dua kushindwa mmemwendea na bisu naweza kukubaliana na wewe kwamba ni mfumo wa maisha ila si wa kimungu.Hata panya road wana mfumo wao na ukienda tofauti nao you will be in hectic.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Ungejibu tu Kwanini yupo surah ya Tano anasema amekamilisha dini , surah zaidi ya 100 mbele ni za nini, alieandika alikuwa mjinga au waliochakachua na kupanga surah walikuwa wajinga
Quran imeteremka pole pole na kwa matukio pia nabii Muhammadi anasimuliwa matukio ya manabii waliopita hii kutokana na majanga na taabu aliyokuwa akiipata pindi anasambaza ujumbe wa ALLAH Kwa watu wapotofu Kwahy kutokana na vitimbi vyao ndipo Allah anapomsimulia visa vya manabii waliopita aone kuwa sio yeye pekeyake hata waliopita wameyapitia hayo mamb ndipo unakutana na visa vya MUSA IBRAHIMU YUSUFU ZAKARIA SULEIMAN.kwahy huo ndio msingi wa QURAN
 
Maneno yote katika QURAN ni maneno ya ALLAH

ALLAH alikuwa anamwambia Malaika JIBRIL then JIBRIL anamwambia nabii MUHAMMAD full stop
 
Maneno yote katika QURAN ni maneno ya ALLAH

ALLAH alikuwa anamwambia Malaika JIBRIL then JIBRIL anamwambia nabii MUHAMMAD full stop
Hii Aya anaongea nani.

Surah At-Tawubat Ayah 30

وَقَالَتِ ٱلۡيَهُودُ عُزَيۡرٌ ٱبۡنُ ٱللَّهِ وَقَالَتِ ٱلنَّصَٰرَى ٱلۡمَسِيحُ ٱبۡنُ ٱللَّهِۖ ذَٰلِكَ قَوۡلُهُم بِأَفۡوَٰهِهِمۡۖ يُضَٰهِ‍ُٔونَ قَوۡلَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن قَبۡلُۚ قَٰتَلَهُمُ ٱللَّهُۖ أَنَّىٰ يُؤۡفَكُونَ
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa..!
 
Bado nasubiri swali langu.

Muhammadi mnasema ni Nabii, ameleta fundisho gani Jipya ?
Hadi ajiite Nabii ?
 
Hii Aya anaongea nani.

Surah At-Tawubat Ayah 30

وَقَالَتِ ٱلۡيَهُودُ عُزَيۡرٌ ٱبۡنُ ٱللَّهِ وَقَالَتِ ٱلنَّصَٰرَى ٱلۡمَسِيحُ ٱبۡنُ ٱللَّهِۖ ذَٰلِكَ قَوۡلُهُم بِأَفۡوَٰهِهِمۡۖ يُضَٰهِ‍ُٔونَ قَوۡلَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن قَبۡلُۚ قَٰتَلَهُمُ ٱللَّهُۖ أَنَّىٰ يُؤۡفَكُونَ
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa..!
QURAN MZIMA MANENO YOTE YAMETOKA KWA ALLAH KUPITIA KWA MALAIKA JIBRIL MPEKA UJUMBE KWA MANABII NDIO IKAMFIKIA NABII MUHAMMAD
 
Hivi Muhammadi anaye wafundisha watoto wadogo wa Kiislamu wawachukie Wayahudi na Wakristo kwani hao watoto wa Kiislamu walikosewa nini na Wayahudi na Wakristo ?

Surah Al-Maidat Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.*
 
Back
Top Bottom