Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Furaha iliyoje unakisoma kitabu kitukufu chenye asili yake
Hivi Muhammadi anaye wafundisha watoto wadogo wa Kiislamu wawachukie Wayahudi na Wakristo kwani hao watoto wa Kiislamu walikosewa nini na Wayahudi na Wakristo ?

Surah Al-Maidat Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.*
 
QURAN MZIMA MANENO YOTE YAMETOKA KWA ALLAH KUPITIA KWA MALAIKA JIBRIL MPEKA UJUMBE KWA MANABII NDIO IKAMFIKIA NABII MUHAMMAD
Kwahi Mungu Allah anamwomba Mwenyezi Mungu awaangamize Wayahudi na Wakristo sio.
Kwahiyo Allah angekuwa ndiye Mwenyezi Mungu.
Wakristo na Wayahudi wangekuwepo hii leo ?

Ombi la Allah halijakubaliwa na Mwenyezi Mungu hadi hii leo.

Ndio maana Allah ameamua kutumia viumbe wake Waislamu na Majini wawe wanawalipua kwa mabomu Wakristo na Wayahudi hadi hii leo.

Wakristo wapo na Wayahudi wapo bila matakwa ya Allah.
 
Furaha iliyoje unakisoma kitabu kitukufu chenye asili yake
Dogo mimi nimezama sana. Na nusura nisilimu.
Nilishtuka mwishoni sana baada ya kuzama kwenye maandiko.

Na nimesoma Madrasut sana tu.
 
Nasubiri andiko la Fundisho jipya la Muhammadi.
Hadi kesho kama sijajibiwa nitaleta ushahidi kwanini Muhammadi alikuja bila fundisho jipya la maana.
 
Quran imeteremka pole pole na kwa matukio pia nabii Muhammadi anasimuliwa matukio ya manabii waliopita hii kutokana na majanga na taabu aliyokuwa akiipata pindi anasambaza ujumbe wa ALLAH Kwa watu wapotofu Kwahy kutokana na vitimbi vyao ndipo Allah anapomsimulia visa vya manabii waliopita aone kuwa sio yeye pekeyake hata waliopita wameyapitia hayo mamb ndipo unakutana na visa vya MUSA IBRAHIMU YUSUFU ZAKARIA SULEIMAN.kwahy huo ndio msingi wa QURAN
Hujajibu Kwanini alieandika Koran yupo surah ya 5 anasema amekamilisha Uislamu wakati Kuna sura 100 mbele?
 
HALAF MNASEMA UISLAMU KAJA NA NABII MUHAMMAD KAAAAH
4 Ataivaa ile kanzu takatifu ya kitani, atakuwa na zile suruali za kitani mwilini mwake, atafungwa ule mshipi wa kitani, naye atavaa ile kofia ya kitani; hayo ndiyo mavazi matakatifu, naye ataoga mwili wake majini, na kuyavaa.
Mambo ya Walawi 16:4
 
SIJAONA HOJA YA MSINGI ZAIDI YA MALALAMIKO TU PANGILIA HOJA NILICHOKIONA NA NGONJERA MNAZOAMBIWAGA KANISANI ILI MUUCHUKIE UISLAMU TENA WANAAMBIWA WATOTO WADOGO ILI WAUOGOPE UISLAMU SASA KAMA NAWW MKUBWA BADO UNAAMBIWA VITU AMBAVYO SIO SAHIHI NAKUSHANGAA

Je hivyo nilivyovisema havipo kwenye quran , hadith na sunnah?

Mafundisho ya wakristo yanaanzia wapi kufundisha watoto chuki dhidi ya uislamu.

Mtoto wa kikristo anaenda sunday school mara moja tu kwa wiki.. yaani jumapili wakati wazazi wake wanaingia kwenye ibada ya jumapili ndipo mtoto wa kikristo anaingia ibada na watoto wenzake inaitwa sunday school.

Mtoto wa kiislamu anaenda madrassa kila siku mara 6 ama mara 7 kwa wiki kama shule vile huku mtoto wa kikristo anaenda mafundisho mara moja tu kwa wiki.

Hapo nani analishwa sumu?

Mtoto mdogo kila siku madrassa kwa sababu gani kama sio kulishwa sumu.

Sikushangai unavyokwepa hoja zangu za kuhusu quran maana waislamu wengi madrassa mnakaririshwa quran bila kujua maana yake ni nini?

Hizo hoja zangu zaidi ya 10 nilizoweka kuhusu quran sema ipi ni ya uongo haipo kwenye quran, hadith na sunnah?
 
Shule muhimu sana.

Unaposema au kuandika Mungu kuanzia harufi kubwa ya M, unamaanisha Mungu muumba mbingu na nchi.

mungu kwa kuanzia herufi ndogo ya m, unamaanisha miungu ya kipagani.

Sasa unapo uliza
Mungu gani unamaanisha nini.

Mungu ni mmoja tu.

mungu ndio wako wengi.

Kumbukumbu la Torati 5:7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Sisi Waswahili hatuna huu ujinga. Hiyo ni lugha ya kuhabarisha na haimaanishi ya kuwa hao Miungu ni kweli miungu, ila watu wamefanya kuwa miungu sababu hata matamanio yako ya nafsi husemwa ni Mungu, kwa sababu ya Ile sifa juu ya Mola ni kupasa kuabudiwa.

Sasa Shule gani ambayo wewe unaiongelea hapa wakati ulicho kiandika hakionyeshi kwamba wewe umeenda Shule na kama ulienda basi hiyo Shule haijakufaa.
 
Unahitaji Elimu Sana. Soma vitabu vingi uko limited ndio maana akili yako haiwezi kuelewa mambo ambayo ni unlimited.

Kwa hiyo kwaajili yako mungu wa wamasai naye ni Allah? Au mungu wa wahindi naye ni Allah? Mungu wa Korea ni Allah?
Kijana akili yangu ni kubwa kiasi ambacho katika uelewa wa jambo hili hakuna anae nifikia katika Wakristo wote mpaka Mapadri na Mapapa popote walipo.

Haswaa, Mola ni mmoja ndiyo maana Mayahudi walijuaja Hilo ila kwa ujeuri wao waliwakadhibisha mitume na manabii wote.

Hao wanao itwa miungi kiuhalisia hawana sifa Bali watu kwa ujinga wao wamewafanya kuwa miungu ila hawawadhuru wala kuwanufaisha kwa chochote.

Wahindi siyo bindamu ? Wapo Wahindi Waislamu wana muabudu yule anastahiki kuabudiwa ambaye ni Allah, kwa ujinga wako utasema Mungu wa Wahindi ni yule aliyeongelewa na Budha ?

Unajua maana ya Allah kijana ? Au unaandika tu ilimradi uandike ?
 
Acha kudanganya kijana

Mnaposema maana ya Uislamu ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu mmoja, unapaswa kuthibitisha kwamba, Je! Mungu anaetajwa na Yesu Kristo, Je! ndiye Mungu wenu anaehusika na Uislamu???

Luka 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.

Yesu anatueleza kwamba, Mungu yeye ni Baba yake, Je! Mungu wenu ndani ya Quran yeye ni Baba wa Yesu hata awe muislamu??
Nimecheka sana, kwanza ili maandiko yako yawe ni hoja kwangu mimi lazima kwanza ututhibitishie yametoka kwa Yesu ?

Kwanza andiko lenu halina asili, sababu Mtume hawezi kumuita Mola wake baba. Kivipi ? Ndiyo maana huwa nataka mtuambie Luka haya maandiko aliyapata wapi wakati hakuwahi kumdiriki Yesu ? Wala hakuna sehemu hata Moja aliyosema ameyapata wapi ?

Kwahiyo ili maandiko yenu yawe ya kweli na tuyajenge hoja hapa, lazima mtuonyeshe ni kweli yametoka kwa Yesu yaani mtupe Chain.

Kingine kwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anamkusudia Allah, sababu Allah ndiye aliyemtuma.
 
UNAANZAJE KUSEMA UISLAMU KAJA NA NABII MUHAMMAD WAKATI WATU KABLA HAJAJA NABII MUHAMMAD WATU WALIKUWA WANAFUNGA SAUMU ?
19 Bwana wa majeshi asema hivi, Saumu ya mwezi wa nne, na saumu ya mwezi wa tano, na saumu ya mwezi wa saba, na saumu ya mwezi wa kumi, zitakuwa furaha na shangwe, na sikukuu za kuchangamkia, kwa nyumba ya Yuda; basi zipendeni kweli na amani.
Zekaria 8:19
 
Biblia haitufundishi kuwa Yesu alikuwa Mwislamu inatuambia Yesu ni mwana wa Mungu soma (Mathayo 3;16-17,Yohana 17;1,8;54,)aidha Tunafundishwa kuwa Bwana Yesu ndiye mwanzilishi wa kanisa katika Mathayo 16;18 anasema “Nitalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu haitalishinda”Yesu aliyasema hayo kabla Muhamad hajazaliwa wala uislamu haujaanza aidha ufunuo wa Yohana sura ya pili yoote Yesu anazungumza na kanisa na anatofautisha na sinagogi. Hivyo Kanisa limeanzishwa na Bwana.

Maadui wakubwa wa waislamu ni mayahudi Surat al maida 5;82 na Yesu alikuwa myahudi leo Mujahidina wanasemaje Yesu alikuwa Mwislamu? Na Quran inasema maadui zao ni wayahudi na biblia inasema Yesu alikuwa Myahudi soma (Yohana 4;9).
Biblia lazima iwafundishe sababu hata Yesu kitabu hicho hakijui na hajaacha kitabu chenye mkusanyiko wa vitabu hivyo.

Hapa lazima mtuambie Matayo haya maneno aliyanukuu toka kwa nani ? Hizi ni kama stori za vijiweni tu.

Mimi ukinithibitishia ya kuwa Yesu aliyasema maneno haya nakuwa Mkristo.

Hivi mnaiujia Elimu ya kuhakiki habari ?
 
Nithibishe mim au uthibitishe wewe, waislamu huwaga mna vituko
biblia imekutajia chain ya familia ya ibrahimu mpaka YESU tuthibitishe Mara ngapi
Wewe si umesema ya kuwa hakufika Makka ? Maana yake unajua ya kuwa hakufika Makka.

Mimi nimekwambua amefika na ndiyo ambaye amejenga ule Msikiti. Sasa kati yangu Mimi na wewe nani anatakiwa athibitishe ya kuwa hakufika Makka ?
 
Nithibishe mim au uthibitishe wewe, waislamu huwaga mna vituko
biblia imekutajia chain ya familia ya ibrahimu mpaka YESU tuthibitishe Mara ngapi
Tutajie hapa hiyo Chain ya Ibrahiim mpaka kwa Yesu.

Kisha Kuna maswali nitakuuliza. Kisha nitakupa utajo wa Yesu ambao katika uzao ambao umetofautiana, Kisha uweke jibu ambalo sahihi. Shida wakristo si wasomaji.
 
13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.
Waefeso 1:13

14 Ndiye aliye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.
Waefeso 1:14

ENDELEENI KUMKANA NABII MUHAMMAD MAMBO HADHARANI SASA HUYOOO KUTOKA ARABUNI
 
Walikuwa wanamcheka , na mpaka ikifikiwa wakamfuata Aisha wakamwambia amwambie anapindisha historia ya Jews na anachanganya majina
Poa. Wewe nilishamalizana na wewe, nasubiri majibu ya maswali yangu mliyo kimbia, mtuletee Injili ya Yesu na mtuambie kwanini mnaamini kitabu ambacho hata lugha ya Yesu hamuijui na matini yake hamna. Siku ukiwa na akili walau ya kuliona hili nitafutie tujadili haya mambo.
 
MIMI NAULIZA HIVI KATIKA BIBLIA KUNA NABII YEYOTE KATOKA UARABUNI ? KAMA HAJATOKA JE HUYU NI NAN ALIYETABIRIWA HAPA ?

Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.

Isaya 21:13

Ukizungumzia kuhusu UFUNUO ni kwamba MUNGU anampa ampendae ujumbe au maono yanayotoka kwake.Kwahy tumeona ufunuo juu ya arabuni ni ishara kwamba Kuna mtu anapewa ujumbe kutoka Kwa MUNGU JE HUYO NI NAN?
 
Yaani mayahudi wakubali uongo wa Muhammad?
Embu kuwa serious kidogo.

Nitajie sehemu ambayo mayahudi walipindisha vitabu vyao?
Kijana Mayahudi wana akili kuwazidi nyinyi Wakristo ila ni wajinga kwa kubadili maneno na maandiko ya Mitume kwa maana na herufi.

Naam walimkubali Mtume na wapo walikuwa Waislamu.

Kwanza nitajie vitabu vyao ? Hili swali lako la uongo, uliza swai kulingana na nilichokiandika. Kwanini unauliza swali ambalo halipo na la uongo ? Nilikwambia vitabu vilivyo shushwa kwao, kitabu Cha Mayahudi kinajulikana miongoni mwao ni Talmud.

Uliza swali kuhusu Taurati hiki ndiyo kitabu kilicho shushwa kwao na si kitabu Chao. Kitabu Chao au vitabu vyao ni vile walivyo viandika wao sababu Hawa ni waasi na wamelaaniwa. Sasa uliza swali kwa usahihi.

Ukikusudia vitabu vyao vipi wabadilishe vitabu vyao ?
 
Back
Top Bottom