Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Rudi post number moja soma ,alafu pangua hoja moja baada ya nyingine
Usinipangie kitu cha kuandika. Simu ni yangu, bando ni langu na muda pia ni wangu.
Naandika nikitakacho mimi sio utakacho wewe.
Una uhuru wa kufurahia au kutofurahia nilichoandika lakini huna uhuru wa kunipangia nini cha kuandika.
 
Usinipangie kitu cha kuandika. Simu ni yangu, bando ni langu na muda pia ni wangu.
Naandika nikitakacho mimi sio utakacho wewe.
Una uhuru wa kufurahia au kutofurahia nilichoandika lakini huna uhuru wa kunipangia nini cha kuandika.
Umesha panic baada ya kukosa majibu 😂😂
 
Ndiyo unayotumia kanisani kwenu ?
Wewe una ukichaa , umepewa uhuru hautaki , nimekupa moja utumie hautaki tena , Mimi kanisani natumia nyingi , nimekwambia tumia uliyonayo napo hutaki

Ni kwamba unakwepa maswali
 
Wewe una ukichaa , umepewa uhuru hautaki , nimekupa moja utumie hautaki tena , Mimi kanisani natumia nyingi , nimekwambia tumia uliyonayo napo hutaki

Ni kwamba unakwepa maswali
Mbona unaanza kurusha vichwa , ?
Kanisa lako ni lipi?
 
Mbona unaanza kurusha vichwa , ?
Kanisa lako ni lipi?
Ona sasa 😂😂😂 la biblia tena hukitaki , tumia biblia Kati 1000 ulizonazo chagua moja uje ujibu , niliyokuwekea umekataa
 
Ona sasa 😂😂😂 la biblia tena hukitaki , tumia biblia Kati 1000 ulizonazo chagua moja uje ujibu , niliyokuwekea umekataa
Ndiyo kanisa lako hilo linalotumia biblia ya BHN pamoja na biblia nyingi?
 
Ndiyo kanisa lako hilo linalotumia biblia ya BHN pamoja na biblia nyingi?
Ndio natumia biblia nyingi , sasa kwa sababu wewe unazo 1000 chagua moja au tumia zote ujibu huu uzi
 
Ndio natumia biblia nyingi , sasa kwa sababu wewe unazo 1000 chagua moja au tumia zote ujibu huu uzi
Kanisa lako linalotumia biblia ya BHN pamoja Na biblia nyingi ni kanisa gani hilo ?
 
Kanisa lako linalotumia biblia ya BHN pamoja Na biblia nyingi ni kanisa gani hilo ?
Natumia biblia nyingi na wewe pia izo nyingi umesema unazo , tumia jibu maswali , sio unauliza maswali tena ya kabisa na nimekupa uhuru utumie biblia unayotaka
 
Natumia biblia nyingi na wewe pia izo nyingi umesema unazo , tumia jibu maswali , sio unauliza maswali tena ya kabisa na nimekupa uhuru utumie biblia unayotaka
Ndilo kanisa lako hilo?
 
Quran 2:2
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,

3.
Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.

4.
Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini nayo.

5.
Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa.

6.
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

Kitabu chenyewe kinasema hakina shida yani wewe ndio mwenye shida sio Quran Yani wewe ndio punguani

Na ukikiuliza upunguani wako upo wapi kitakujibu hiyo Quran
 
Quran 2:2
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
Ata wewe unaweza ukaandika kitabu na ukasema hakina shaka

Embu jibuni basi mada mnarukaruka sana
 
Wewe uliye andika pia huna akili unacho kiandika hata hakieleweki kabisa nosense ulicho kiandika ni upuuuzi mtupukabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…