Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Na Nikuulize kwani waizraeli ndio akina Nani???12tribes of Israel ndio Nani???Kama Mwafrika Mweusi ndiye wa kwanza kwa dunia Basi sisi ndio watoto wake Abraham,watoto wa IsaacπŸ‘ŒReal JewsπŸ‘Œand Jesus is King of Jews,King of kings and Lord of lord's!!
Let the whole world bow before Him!!πŸ™Sina makosa
 
Kwani wewe unaelewa nini unaposikia kitabu cha imani? Mbona unataka tubishane pasina ulazima,

Hakuna kitabu cha Imani.
Ila vipo vitabu ambavyo watu wameamua kujenga Imani katika vitabu hivyo.
Kuna watu wanaimani lakini hawana vitabu.

Hata kina Ibrahimu, yakobo, Esau, Yusufu hawakuwa na vitabu lakini walikuwa na Imani.
Hata Sisi Waafrika tulikuwa tunaimani katika Dini zetu lakini hatukuwa na vitabu.

Ndio maana nikakuambia Wewe kuna mambo ya Msingi hauyajui hasa yanayohusu Falsafa/theolojia.

Ila ukiwa na Nia ya kujua Kwa mwendo huu utaelewa.
 
Kwani wewe unaelewa nini unaposikia kitabu cha imani? Mbona unataka tubishane pasina ulazima,

Ninyi ndio mnaweza kumchinja mtu kisa kachana Quran au Biblia Kwa kudhani amechana Kitabu cha ImaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ichokoze akili yako ifanye kazi.

Naona umetaka tutoke kwenye hoja kuu tujadili vitu vilivyonje ya Hoja
 
Hivi Mahakama ikiwaambia muthibitishe Pale ulipokuwa mti wa mtende ambapo mnasema Yesu Kristo alizaliwa, mtaweza kwenda kupaonesha ?

Mtaenda kupaonesha katika Nchi, Mkoa, Wilaya, Kata na Kijiji gani ?
Mtaa upi ?

Nani mtakaye mtegemea awaongoze hapo mahali mnapo dai kuzaliwa Yesu Kristo ?

Hivi mnafikiri sasa hivi Mahakama ikitaka kupaona mahali alipo zaliwa Yesu Kristo itawauliza akina nani ?

Kama huwezi kujibu hayo maswali tambua kuwa umetapeliwa.
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo
 
Yaani ukishajua sehemu au mti aliozaliwa Yesu chini yake utakusaidia nini??

Quran ni kitabu cha muongozo kwa wamchao Mungu...kinatoa maonyo na bishara njema. Sio kitabu cha kihistoria au kijiografia.
 


Nakuthibitishia hapa alipozaliwa yesu kama mnavyosema Wakristo na Biblia zenu zinavyowalisha matango pori


Born in a Stable?





Was Jesus born in a stable? Or a barn? Or a cave?


Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma ("inn" or guest room).


But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, "the lineage of David". So the place should have been chock-full with his own relatives. And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.


The reality is that the story of Jesus is enhanced by the "humble birth".


Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?


* Matthew, a tad more realistic, says, "And when they had come into the house ..." (2.11).
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo
Kajipiga mwenyewe kwenya mshono!! Mimi namchallenge aseme wapi tukutane tujadili kuhusu Quran na biblia Live, mjadala uwekwe Youtube na hapa Jamii forums. Nawahakikishia hataweza kusimama hata dakika 10 kutetea hoja zake.
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo


Mshono mwengine huu wa ki Bugaloo


The Cave






In the 4th century construction of the Christian dreamscape a church was built over a conveniently located cave in Bethlehem – over, that is, a cave previously consecrated to the worship of Adonis-Tammuz (Lord Tammuz).


A grander version of the church was built by emperor Justinian and much of it remains today, still featuring "the cave of the nativity".
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo


NA HUU NI MSHONO WA CHUPA



Church Father offers evidence of Cave plus Manger


"With respect to the birth of Jesus in Bethlehem, if any one desires, after the prophecy of Micah and after the history recorded in the Gospels by the disciples of Jesus, to have additional evidence from other sources, let him know that, in conformity with the narrative in the Gospel regarding his birth, there is shown at Bethlehem the cave where he was born, and the manger in the cave where he was wrapped in swaddling-clothes."


– Origen. Contra Celsus, I, 51.
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo

Na huu mshono mwengine wa kurarua rarua





** Orthodox tradition holds that Simeon was one of the original translators of the Septuagint (Alexandria 3rd century BC). He was 360-years-old when he beheld Jesus in the temple.


Kinda says it all.

 




The Birth of Jesus Christ – Competing mythologies
Bethlehem:Matthew

Mary/Joseph already live in Bethlehem
Luke

Mary/Joseph live in Nazareth

"Worldwide" Census (pretext for birthing in Bethlehem)
Angelic announcements: to Joseph in dreamsto Mary in visions
Birth:Birth in houseBirth in manger
Celestial sign:Star in the EastChorus of angels above a sheep pasture
Genealogy:"42" generations back to Abraham (actually 41 names) 42 generations back to David.
Then another 14 generations back to Abraham, and another 21 generations back to God himself.
Royal ancestry:Lineage accentuates JewishnessExtended ancestry now inclusive of Gentiles
Adoration:from Magi

Dream-inspired flight to Egypt

Herod's murder of the innocents

Move to (new home) Nazareth

from Shepherds

Presentation in the Temple; recognised as a "light to the Gentiles" by prophets; Prodigy in the temple at aged 12.

Return to (hometown) Nazareth
 
Kajipiga mwenyewe kwenya mshono!! Mimi namchallenge aseme wapi tukutane tujadili kuhusu Quran na biblia Live, mjadala uwekwe Youtube na hapa Jamii forums. Nawahakikishia hataweza kusimama hata dakika 10 kutetea hoja zake.
Umeshindwa kupangua hoja humu unataka live πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Nenda post number 1 , pangua hoja , tupo page ya 75 hakuna muislamu ameweza kupangua hoja ata moja
Wacha kujipakazia, hata Matthew , Mark , Luke , John hawajulikani, wamepachikwa tu kudanganya toto
 
daah we jamaa kumbe sio wa kispotispoti,,umepiga kwenye mshono watu wanaweweseka ovoovo

Ajabu ni kuwa mawakili WA maana WA upande wa Quran wamekimbia wamewaachia watu ordinary wasio na elimu ya Dini pamoja na elimu ya kidunia.
Ndio maana unaona wakiweweseka hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…