Ipo hivi ni kwamba hivyo vitabu havipo tena kwa sababu maandiko yake yalitiwa tiwa tiwa mikono hivyo hakuna tena hivyo vitabu, kwenye biblia kuna hayo maandiko ambayo yametiwa mkono ndani yake.Ungekuwa unakuwa kwenye mstari
Havipo au vimetiwa mikono
Kwenye biblia maandiko uliyonayo original tuwekee ili tulinganishe na yaliyotiwa mikono
Kwako wewe kukataa hivyo vitabu kuwa vya kiimani unaona ni jambo la nje ya mada ndio maana unakuja na hoja za kusema Muhammad kaiba maandiko ya kwenye Torat na kufanya Qur'an ndio chanzo. Maana yake ni kwamba umekataa kuamini kwamba Qur'an si maneno ya Muhammad na kwamba ni ya Mungu(Allah) kupitia kwa Muhammad. Kwa mazingira kama hayo tunajadili vp hoja zako?Ninyi ndio mnaweza kumchinja mtu kisa kachana Quran au Biblia Kwa kudhani amechana Kitabu cha Imaniπππ
Ichokoze akili yako ifanye kazi.
Naona umetaka tutoke kwenye hoja kuu tujadili vitu vilivyonje ya Hoja
Maisha ndivyo yalivyo kwa waafrika kubishana DINI. Na ndivyo yalivyo kwa wenzetu kuzidi kututawala kifikra kwa hizo hizo Dini..watu kazi hawafanyi ni kukesha makanisani na misikitini kuomba miujiza itokee waki ukemea Umaskini "Umaskini tokaaa".Ila maisha ndio yalivyo kwamba unaweza kuonekana masikini kwa sababu hujitumi hufanyi kazi kwa bidii pamoja na kwamba wapo wenye kufanya kazi kwa bidii ila bado ni masikini vile vile.
WWE ni bure kabisaππWewe unaamini huyu Yesu wa uongo aliyetengenezwa na Paulo ili kuwadanya watu na yeye ajipe utume
Tito 2:13 (KJV)
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Huyu Yesu wa ukweli ambaye alitumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel wewe haumfati Wala hauamini maneno yeke na ndio maana umepatwa na kigugumizi kijibu swali
Yesu huyu wa kweli ni Muislam na hapa katika Yohana 17 anatoa shahada Yani anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na wewe siku utakayo liamini hili andiko itakuwa umeshakua Muislam kama Yesu uje tu msikitini tusali kama alivyo sali Yesu
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
WWE unaamini Allah mwenye mikono mitatu na magoti moja Kama. Ambavyo imeandikwa kwenye QuranWewe unaamini huyu Yesu wa uongo aliyetengenezwa na Paulo ili kuwadanya watu na yeye ajipe utume
Tito 2:13 (KJV)
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Huyu Yesu wa ukweli ambaye alitumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel wewe haumfati Wala hauamini maneno yeke na ndio maana umepatwa na kigugumizi kijibu swali
Yesu huyu wa kweli ni Muislam na hapa katika Yohana 17 anatoa shahada Yani anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na wewe siku utakayo liamini hili andiko itakuwa umeshakua Muislam kama Yesu uje tu msikitini tusali kama alivyo sali Yesu
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Jibu hiiWWE unaamini Allah mwenye mikono mitatu na magoti moja Kama. Ambavyo imeandikwa kwenye Quran
Kweli kabisa WWE unafuataπ
Alafu ndio maana muhamad mwenyewe kaandika utopolo mtupu ebu cheki
Quran;
Sahih Muslim 1405d~Fanya tendo la ndoa la kulazimisha(rape) kwa mateka wanawake kabla hamjawaachilia kurudi makwaoπshetani ashindwe!!!!
ndio ni nguvu zake Mungu!!!Mungu mwenyewe Kama binadamu!!!πJibu hii
Hivi huyu aliyemlilia Mungu wa kweli ni Yesu?
Elloi Eloi lamms sabbakhtani
Mungu wangu mbona umeniwacha??
Mpaka Sasa umeshindwa kuthibitishaIpo hivi ni kwamba hivyo vitabu havipo tena kwa sababu maandiko yake yalitiwa tiwa tiwa mikono hivyo hakuna tena hivyo vitabu, kwenye biblia kuna hayo maandiko ambayo yametiwa mkono ndani yake.
Unaandika meengii halafu ni uharo tu, hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako, sababu kwenye bible haionekani hivyo). Yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?
Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na Yesu alipokua hai!?
Hujui chochote kuhusu Qur'an. Unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?
Ibrahim alikua dini gani!? Maana najua alikua muhamiaji pale Yerusalem, alikua mwarabu wa Iraq!?
Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya Yesu ni ilahi ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy
Hadith za vitabu vipi unaviaminiUnazungumzia hadithi gani?
Kwa sababu lengo lao ni matusi na dhihaka kwa dini yangu na Mimi mwenyeweEmbu twambie kwann unashindwa kutumia kauli nyepesi na kwa hoja nzuri unatumika Lugha chafu na Kali kwa Dini ya wenzio?
Hadith ni Quran tu,hizo zingine porojoHadith za vitabu vipi unaviamini
Kati ya vitabu vya Hadith mlivyo navyo
Wewe ni suni au shia?
Hapana wewe dada umekuwa kila post lazima utukane bila sababu ya msingiKwa sababu lengo lao ni matusi na dhihaka kwa dini yangu na Mimi mwenyewe
Ngoja ajibu mwenyeweHadith ni Quran tu,hizo zingine porojo
We mkenya Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika,atanakili vipi!?Ebu mtu anifahamishe/anisomeshe mbona niwache Bibilia yangu niichukue Quran???
Ikiwa Muhammad mwenyewe katambua Bibilia,kasema unapokitafuta kitu kwenye Quran ukikose ukitafute kwenye Bibilia!!π
Quran yenyewe kaandikwa eti Muhammad kaandika uongo ambayo Allah wake hakumwambia???
Muhammad mwenyewe kaharibu viungo vya mtoto Aisha,kalala naye akiwa 6yrs!!!!!kaoa pia Bibi ya mtoto yake!!
Muhammad alinakili stori za maana kutoka kwenye Bibilia nakuongeza yake ili aandike Quran,ndio maana kwenye Quran utapata vitu zengine za kweli na zengine utopolo wa uongo na ambayo ni ya aibu!!!
Hebu nijue naweza aje kumwamini Muhammad na Quran yake Mimi mtu mzima????π
Mwenyewe mwenye nini?Ngoja ajibu mwenyewe
Thibitisha alikuwa kiziwiWe mkenya Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika,atanakili vipi!?
Kila post wewe hutukana Allah, Muhammad na waislamHapana wewe dada umekuwa kila post lazima utukane bila sababu ya msingi