Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Sasa hiyo population ndio kuijua Israel?

Tupe maana ya Israel ,hili neno Maana yake Ni nini

Acha bla blaa ,
Maana ya Israel itakusaidia nini ndugu. Hoja hapa ni kuwa koran ni kitabu kimeokoteza hadithi kwenye biblia na mwandishi ameomba wafuasi wake wasioelewa korani wajifunze kutoka kwenye biblia au wawaulize wasomaji wa biblia.
sasa kujua maana ya Israel itakusaidia nini mkuu
Tunasaidiana kile tunachokiona hakiko sawa
lete hoja sasa au kama hujui kaa kimya tu wenye ujuzi watoe majibu
 
Maana ya Israel itakusaidia nini ndugu. Hoja hapa ni kuwa koran ni kitabu kimeokoteza hadithi kwenye biblia na mwandishi ameomba wafuasi wake wasioelewa korani wajifunze kutoka kwenye biblia au wawaulize wasomaji wa biblia.
sasa kujua maana ya Israel itakusaidia nini mkuu
Tunasaidiana kile tunachokiona hakiko sawa
lete hoja sasa au kama hujui kaa kimya tu wenye ujuzi watoe majibu
Mnakurupukaga Sana

Biblia inatoa maana na asili Hadi kupatikana neno ISRAEL

Nimeomba Quran itueleze neno ISRAEL maana yake Nini , unanijia juu, Quran imeiba neno ISRAEL kwenye BIBLIA , Sasa ninaomba inisaidie ISRAEL ni Nini
 
Soma post number Moja , pangua hoja moja baada ya nyingine , mnarukaruka tu hamjibu


Katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, idadi kubwa ya mistari muhimu kutoka katika Toleo la King James Version ya Agano la Kale na Jipya, ambayo wasomi waliiona kuwa imeongezwa katika karne za baadaye, iliondoshwa kutoka katika matini na kuwekwa katika tanbihi.

Kwa mfano, kifungu maarufu sana katika Injili ya Yohana 8:7 kinachohusu mzinzi aliyetakiwa kupigwa mawe. Inasemakana Yesu amesema: "Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."

Tanbihi za Toleo la King James (1952) zinaeleza "Mamlaka za kale mno zinaondosha aya za 7:53 – 8:11"

Kwa kuwa mswada namba 1209 wa Vatikani na mswada wa Sinaitic ya tangu karne ya nne haina aya kumi na mbili hizo, wasomi wa Biblia wamefikia uamuzi wa kuwa maneno hayo hayatoki kwa Yesu.

Mfano mwingine ni kifungu kinachohusishwa na Yesu na kinachotumika kama ushahidi wa rejeo la Utatu katika Maandiko matakatifu.

Katika 1 Yohana 5:7, Inasemakana Yesu amesema: "Kuna watatu wanaoshuhudia huko mbinguni, Baba, Neno na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni mmoja"

Msomi maarufu sana wa Biblia, Benjamin Wilson, anaandika kuwa; maandiko haya yanayohusu "ushahidi wa mbinguni" hayamo katika mswada wowote wa Kigiriki ulioandikwa kabla ya karne ya kumi na tano! Kwa hiyo, katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, mstari huu umefutwa na kutolewa katika matini tena bila ya kuwekewa tanbihi.

Hata hivyo, ili kuwe na idadi ya mistari iliyosawa baina ya Toleo la Biblia la Revised Standard Version, na ile ya Toleo la Biblia la King James Version, warejeaji wameugawa mstari wa sita na kuwa mistari miwili.
 
Katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, idadi kubwa ya mistari muhimu kutoka katika Toleo la King James Version ya Agano la Kale na Jipya, ambayo wasomi waliiona kuwa imeongezwa katika karne za baadaye, iliondoshwa kutoka katika matini na kuwekwa katika tanbihi.

Kwa mfano, kifungu maarufu sana katika Injili ya Yohana 8:7 kinachohusu mzinzi aliyetakiwa kupigwa mawe. Inasemakana Yesu amesema: "Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."

Tanbihi za Toleo la King James (1952) zinaeleza "Mamlaka za kale mno zinaondosha aya za 7:53 – 8:11"

Kwa kuwa mswada namba 1209 wa Vatikani na mswada wa Sinaitic ya tangu karne ya nne haina aya kumi na mbili hizo, wasomi wa Biblia wamefikia uamuzi wa kuwa maneno hayo hayatoki kwa Yesu.

Mfano mwingine ni kifungu kinachohusishwa na Yesu na kinachotumika kama ushahidi wa rejeo la Utatu katika Maandiko matakatifu.

Katika 1 Yohana 5:7, Inasemakana Yesu amesema: "Kuna watatu wanaoshuhudia huko mbinguni, Baba, Neno na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni mmoja"

Msomi maarufu sana wa Biblia, Benjamin Wilson, anaandika kuwa; maandiko haya yanayohusu "ushahidi wa mbinguni" hayamo katika mswada wowote wa Kigiriki ulioandikwa kabla ya karne ya kumi na tano! Kwa hiyo, katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, mstari huu umefutwa na kutolewa katika matini tena bila ya kuwekewa tanbihi.

Hata hivyo, ili kuwe na idadi ya mistari iliyosawa baina ya Toleo la Biblia la Revised Standard Version, na ile ya Toleo la Biblia la King James Version, warejeaji wameugawa mstari wa sita na kuwa mistari miwili.
Sawa
Sasa Rudi post number 1, pangua hoja moja baada ya nyingine
 
Mnakurupukaga Sana

Biblia inatoa maana na asili Hadi kupatikana neno ISRAEL

Nimeomba Quran itueleze neno ISRAEL maana yake Nini , unanijia juu, Quran imeiba neno ISRAEL kwenye BIBLIA , Sasa ninaomba inisaidie ISRAEL ni Nini


Utunzi


Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.

Torati Vitabu vitano vya kwanza katika Biblia (Vitabu vya Musa) kimapokeo vinahusishwa na Mtume Musa, hata hivyo, kuna mistari mingi ndani ya vitabu hivi inayoashiria kuwa Mtume Musa hana uwezekano wa kuandika kila kitu kilichomo katika vitabu hivyo.

Kwa mfano, Kumbukumbu la Torati 34:5-8 inasema: "Basi Musa, mtumishi wa BWANA, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la BWANA. Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peroi; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.

Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake hazikupunguka. Wana wa Israeli wakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabu siku thelathini; basi siku za maombolezo ya matanga ya Musa zikaisha."

Ni wazi kuwa mtu mwingine ameandika mistari hii inayohusu kifo cha Musa.

Baadhi ya wasomi wa Kikristo wamezifafanua hitilafu hizi kwa kupendekeza kuwa Musa ndiye aliyeandika vitabu vyake, lakini mitume ya baadaye pamoja na waandishi waliofunuliwa, wameweka nyongeza iliyotajwa hapo mbele.

Kwa hiyo, kwa mujibu wa wasomi hao, matini,kwa ukamilifu wake, inabakia kuwa ni Maandiko ya ufunuo wa Mungu.

Hata hivyo, ufafanuzi huu hauwezi kukubalika katika uchunguzi makini, kwa sababu mtindo na fasihi ya wahusika wa mistari iliyotomewa ni sawa sawa na ule wa matini iliyobakia.

Katika karne ya kumi na tisa, wasomi wa Biblia wa Kikristo wameanza kujadili maana ya “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulikotokea katika Torati.

Hivi ni visa vilivyotokea mara mbili mbili, na kila mara kinakuwa na maelezo tofauti.

Miongoni mwa visa hivyo ni visa viwili vya agano la Mungu na Ibrahimu, linalohusu Mungu kubadilisha Jina la Yakobo na kuwa Israeli pia na kisa cha Musa kupata maji kutoka katika mwamba.

Watetezi wanaotetea utunzi wa Musa wamesema kuwa “kujirudiarudia mara mbili mbili” hakukuwa na kupingana, bali ni kuleta faida.

Dhamiara zao zilikuwa ni kutufundisha undani, na maana ndogo juu ya Torati.

Hata hivyo, madai haya yalifagiwa haraka haraka na wasomi walio na moyo wa uadilifu, walioona kuwa, sio tu baadhi ya vifungu vilikuwa vinapingana kwa uwazi kabisa, lakini pia wakati kule “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulipotenganishwa na kuwa vifungu viwili, kila kifungu kwa uthabiti kilitumia jina la Mungu lilotofauti.

Siku zote mtu anaweza kumchukulia Mungu kuwa ni Yahweh au Jehovah, andiko hili liliitwa “J”. Na lingine, siku zote, linamchukulia Mungu kuwa ni Elohim, na liliitwa “E”.

Kulikuwa na sifa za kifasihi zilizopatwa kuwa ni moja kwa waraka mmoja au mwingine
 
Yaani umepata upofu ????
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee
 
Utunzi


Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.

Torati Vitabu vitano vya kwanza katika Biblia (Vitabu vya Musa) kimapokeo vinahusishwa na Mtume Musa, hata hivyo, kuna mistari mingi ndani ya vitabu hivi inayoashiria kuwa Mtume Musa hana uwezekano wa kuandika kila kitu kilichomo katika vitabu hivyo.

Kwa mfano, Kumbukumbu la Torati 34:5-8 inasema: "Basi Musa, mtumishi wa BWANA, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la BWANA. Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peroi; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.

Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake hazikupunguka. Wana wa Israeli wakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabu siku thelathini; basi siku za maombolezo ya matanga ya Musa zikaisha."

Ni wazi kuwa mtu mwingine ameandika mistari hii inayohusu kifo cha Musa.

Baadhi ya wasomi wa Kikristo wamezifafanua hitilafu hizi kwa kupendekeza kuwa Musa ndiye aliyeandika vitabu vyake, lakini mitume ya baadaye pamoja na waandishi waliofunuliwa, wameweka nyongeza iliyotajwa hapo mbele.

Kwa hiyo, kwa mujibu wa wasomi hao, matini,kwa ukamilifu wake, inabakia kuwa ni Maandiko ya ufunuo wa Mungu.

Hata hivyo, ufafanuzi huu hauwezi kukubalika katika uchunguzi makini, kwa sababu mtindo na fasihi ya wahusika wa mistari iliyotomewa ni sawa sawa na ule wa matini iliyobakia.

Katika karne ya kumi na tisa, wasomi wa Biblia wa Kikristo wameanza kujadili maana ya “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulikotokea katika Torati.

Hivi ni visa vilivyotokea mara mbili mbili, na kila mara kinakuwa na maelezo tofauti.

Miongoni mwa visa hivyo ni visa viwili vya agano la Mungu na Ibrahimu, linalohusu Mungu kubadilisha Jina la Yakobo na kuwa Israeli pia na kisa cha Musa kupata maji kutoka katika mwamba.

Watetezi wanaotetea utunzi wa Musa wamesema kuwa “kujirudiarudia mara mbili mbili” hakukuwa na kupingana, bali ni kuleta faida.

Dhamiara zao zilikuwa ni kutufundisha undani, na maana ndogo juu ya Torati.

Hata hivyo, madai haya yalifagiwa haraka haraka na wasomi walio na moyo wa uadilifu, walioona kuwa, sio tu baadhi ya vifungu vilikuwa vinapingana kwa uwazi kabisa, lakini pia wakati kule “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulipotenganishwa na kuwa vifungu viwili, kila kifungu kwa uthabiti kilitumia jina la Mungu lilotofauti.

Siku zote mtu anaweza kumchukulia Mungu kuwa ni Yahweh au Jehovah, andiko hili liliitwa “J”. Na lingine, siku zote, linamchukulia Mungu kuwa ni Elohim, na liliitwa “E”.

Kulikuwa na sifa za kifasihi zilizopatwa kuwa ni moja kwa waraka mmoja au mwingine
Sawa
Sasa Rudi kwenye mada ujibu
 
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee

Msomi wa Biblia, R.T. France, anaandika, "Hakuna andiko lolote la karne ya kwanza linalomtaja Yesu na hakuna kitu chochote au jengo lolote lililobakia na ambalo lina uhusiano naye.

Ukweli huu umewafanya baadhi ya wanahistoria wa Kimagharibi kukosea na kudai eti Yesu Kristo wa hakika hajapatapo kuwepo.

Kwa hiyo, kimsingi, utafiti lazima uegemee maandiko matakatifu yanayoeleza haiba na kazi za Yesu Kristo.

Maandiko matakatifu yatakayoulizwa ni yale yanayotambulikana kirasmi na dini zote mbili Ukristo na Uislamu.

Hata hivyo, kuchambua barabara, maelezo yaliyomo katika maandiko ya kidini, ni jambo la msingi kuanzia na kupima usahihi wa maandiko hayo.

Je, vitabu vya dini ni vyanzo vya kuaminika kuwa nyaraka za ushahidi, au ni ubunifu wa simulizi za kibinadamu na visaasili, au ni mchanganyiko wa yote mawili?

Je, Biblia, Agano la kale na Jipya ni maandiko ya ufunuo wa Mungu?
 
Msomi wa Biblia, R.T. France, anaandika, "Hakuna andiko lolote la karne ya kwanza linalomtaja Yesu na hakuna kitu chochote au jengo lolote lililobakia na ambalo lina uhusiano naye.

Ukweli huu umewafanya baadhi ya wanahistoria wa Kimagharibi kukosea na kudai eti Yesu Kristo wa hakika hajapatapo kuwepo.

Kwa hiyo, kimsingi, utafiti lazima uegemee maandiko matakatifu yanayoeleza haiba na kazi za Yesu Kristo.

Maandiko matakatifu yatakayoulizwa ni yale yanayotambulikana kirasmi na dini zote mbili Ukristo na Uislamu.

Hata hivyo, kuchambua barabara, maelezo yaliyomo katika maandiko ya kidini, ni jambo la msingi kuanzia na kupima usahihi wa maandiko hayo.

Je, vitabu vya dini ni vyanzo vya kuaminika kuwa nyaraka za ushahidi, au ni ubunifu wa simulizi za kibinadamu na visaasili, au ni mchanganyiko wa yote mawili?

Je, Biblia, Agano la kale na Jipya ni maandiko ya ufunuo wa Mungu?
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee
 
Sawa
Sasa Rudi kwenye mada ujibu


Dr. J.K. Elliott, wa kitengo cha Thiolojia na Tafiti za Kidini wa Chuo Kikuu cha Leeds, ameandika makala iliyochapishwa katika jarida la The Times, London (10 Septemba, 1987) yenye kichwa "Kutazama mizizi ya Biblia".

Ndani ya makala yake, ameeleza kuwa: "Zaidi ya miswada 5,000 inayojumuisha Agano Jipya lote au sehemu yake iliyo katika lugha ya asili.

Miswada hii imepangika katika madaraja ya kuanzia karne ya pili hadi kuvumbuliwa kwa uchapaji.

Imekisiwa kuwa hakuna hata watu wawili wanaoafikiana kwa kila kitu.

Bila shaka, maandishi yote ya mkono yanastahili kuwa na makosa ya bahati mbaya wakati wa kunukuu.

Hata hivyo, katika kazi za kitiolojia si jambo la kushangaza kuwa mabadiliko ya kufikirika sana yaliingizwa ili kuondosha au kubadili maelezo ambayo waandishi wanayaona kuwa hayapendezi.

Pia kulikuwa na mwelekeo wa wanukuzi wa kuongeza ufafanuzi au fasiri.

Mabadiliko ya hadhari yanadhaniwa kuwa yameingizwa katika zama za mwanzo kabla ya kuanzishwa hali ya kanisa ya Agano Jipya.

Mwandishi aliendelea kufafanua kuwa "hakuna hata mswada mmoja wenye matini isiyobadilishwa kutoka katika uasilia wa ukamilifu wake, na kwa hiyo, "hakuna awezae kuchagua mswada wowote miongoni mwa miswada hiyo na kuuamini kwa imani ya pekee eti mswada huo ndio wenye ukiritimba wa kuwa ndio maneno asilia ya watunzi.
 
Huwezi fananisha bible na qur an, hata hoja alizoleta mtoa mda ni uongo.

Sikia, qur an inasadifu yaliyopita, bible imetungwa kwa kuongeza na kupunguza maneno ya torati, zaburi na injili.

Sasa utasema kwamba aliyeandika bible kaona kaishi vipind vyote wakati qur an ishadifu vipind vyote vya nyuma.
Inasadifuje wakati aliyeileta alikuwa ni illiterate?
 
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee


Aliendelea kusema zaidi:

"Kama mtu ataendelea kupinga na kudai kuwa maandiko asilia yamenusurika pahala fulani kwenye maelfu ya miswada iliyopo, basi mtu huyo atalazimika asome miswada yote hiyo, hatua kwa hatua, ili kukusanya tofauti miongoni mwa miswada hiyo, kisha atathimini, lahaja kwa lahaja, ili ajue ni mswada upi wenye [matini] asilia na upi ndio wa matini ya nafasi ya pili.

Matarajio kama hayo yaliwakatisha tamaa wasomi wengi wa Biblia walioaminia yaliyomo katika matini zilizochapwa za zama za mwanzo, wasomi hao walichukua ushahidi wa miswada waliyoiona kuwa ni bora.

Hata matoleo ya Agano Jipya kwa Kigiriki yaliyochapwa kisasa, vilevile mafafanuzi ya kisasa yametegemea chapa hizo za zama za mwanzo; kwa kawaida hufuata utaratibu huu wa kujenga matini zao kwa kutumia msingi finyu ambao hauonekani kuwa ni wa asili kikamilifu."
 
Huwezi fananisha bible na qur an, hata hoja alizoleta mtoa mda ni uongo.

Sikia, qur an inasadifu yaliyopita, bible imetungwa kwa kuongeza na kupunguza maneno ya torati, zaburi na injili.

Sasa utasema kwamba aliyeandika bible kaona kaishi vipind vyote wakati qur an ishadifu vipind vyote vya nyuma.
Mpaka sasa hamjajibu hoja ,
Na Kwa Nini muhammad aliiba kazi za wayahudi akafanya zake , Plagiarism
 
SWALI-Mtume Muhammad aliandikaje Quran wakati alikuwa hajui kusoma wala kuandika?
 
Mpaka sasa hamjajibu hoja ,
Na Kwa Nini muhammad aliiba kazi za wayahudi akafanya zake , Plagiarism
😂😂😂Jibu lip? Unataka na qur an imekuja kusadifu yalikuja na kuleta mapya katika ile series ya vitabu vya mungu ..vyote ni vitabu vya mungu

Haya uyahudi ,he nyie kwa nn dini makao makuu ni uingereza na Italy na sio Israel?

Nakusubiria Masai fanya kujibu!!
 
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee



Utafiti zaidi juu ya vitabu vitano vya Musa umepelekea kugunduliwa kuwa vitabu hivyo havikuundwa kwa vyanzo viwili vikuu bali ni vine.

Imegunduliwa kuwa baadhi ya visa sio tu ni vya kujirudiarudia mara mbili mbili lakini pia ni mara tatu tatu.

Sifa za ziada za kuongezea zimetambuliwa katika nyaraka hizi.

Chanzo cha tatu kiliitwa “P” (cha kuhani), na cha nne kinaitwa “D” (cha Kumbukumbu la Torati).

Upeo wa kujua ni kiasi gani kilichoongezwa waziwazi katika matini asilia ni vigumu sana kuamua.

Kwa hiyo, kivuli kikuu cha mashaka kimegubika utunzi wa vitabu vyote kiujumla.

Katika kiambatisho cha toleo la Rivised Standard Version chenye anuani “Vitabu vya Biblia,” yafuatayo ndiyo yaliyoandikwa kuhusiana na mtunzi wa zaidi ya theluthi moja ya vitabu vilivyobakia katika Agano la Kale

Walioandika hivi vitabu hapa chini

Waamuzi Huenda ni Samweli

Ruthu Huenda ni Samweli

Samweli wa Kwanza Hajulikani

Samweli wa Pili Hajulikani

Wafalme wa Kwanza Hajulikani

Wafalme wa Pili Hajulikani

Mambo ya Nyakati wa Kwanza Hajulikani

Esta Hajulikani

Ayubu Hajulikani

Mhubiri Kuna mashaka

Yona Hajulikani

Malaki Hakuna kinachojulikana
 
😂😂😂Jibu lip? Unataka na qur an imekuja kusadifu yalikuja na kuleta mapya katika ile series ya vitabu vya mungu ..vyote ni vitabu vya mungu

Haya uyahudi ,he nyie kwa nn dini makao makuu ni uingereza na Italy na sio Israel?

Nakusubiria Masai fanya kujibu!!
Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
 
Utafiti zaidi juu ya vitabu vitano vya Musa umepelekea kugunduliwa kuwa vitabu hivyo havikuundwa kwa vyanzo viwili vikuu bali ni vine.

Imegunduliwa kuwa baadhi ya visa sio tu ni vya kujirudiarudia mara mbili mbili lakini pia ni mara tatu tatu.

Sifa za ziada za kuongezea zimetambuliwa katika nyaraka hizi.

Chanzo cha tatu kiliitwa “P” (cha kuhani), na cha nne kinaitwa “D” (cha Kumbukumbu la Torati).

Upeo wa kujua ni kiasi gani kilichoongezwa waziwazi katika matini asilia ni vigumu sana kuamua.

Kwa hiyo, kivuli kikuu cha mashaka kimegubika utunzi wa vitabu vyote kiujumla.

Katika kiambatisho cha toleo la Rivised Standard Version chenye anuani “Vitabu vya Biblia,” yafuatayo ndiyo yaliyoandikwa kuhusiana na mtunzi wa zaidi ya theruthi moja ya vitabu vilivyobakia katika Agano la Kale

Walioandika hivi vitabu hapa chini

Waamuzi Huenda ni Samweli

Ruthu Huenda ni Samweli

Samweli wa Kwanza Hajulikani

Samweli wa Pili Hajulikani

Wafalme wa Kwanza Hajulikani

Wafalme wa Pili Hajulikani

Mambo ya Nyakati wa Kwanza Hajulikani

Esta Hajulikani

Ayubu Hajulikani

Mhubiri Kuna mashaka

Yona Hajulikani

Malaki Hakuna kinachojulikana
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee
 
Back
Top Bottom