Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua



Yesu alisema:

1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:

A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).

B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).


2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).

Yesu alisema:

3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).

Lakini Paulo anasema:

Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).

4. Bwana Yesu alisema:

Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9 Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni AntiChrist.

5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40).

Hivyo Wakristo wale ambao wanaogombana ni Ant Christ.

6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20).

Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Ant Christ)

7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35, Luka 14:26, 12:51, 5:2)

Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Anti Christ
 
Yaani unataka KITABU CHA CHUO KIKUU kimtaje chui na picha yake ichorwe! Hupo sawa kweli wewe?.
Quran ni upambanuzi wa vitabu vya mwanzo vya Mungu yaani vitabu vya chekechea vya kufundishia watoto.
Vitabu ambavyo vilitaja majina,koo,sehemu n.k.

Quran ni kwa wasomi na wenye akili timamu tu.Wewe mtoto wa chekechea uwezi elewa chochote.
 
Mk 16:15-16 SUV

Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Je,Jini siyo kiumbe?
Hayo Majini mnakutanaga wapi nayo hadi munayahubiria Uislamu na kuyasilimisha yawe maislamu ?

Viumbe tulivyo ambiwa ni watu tunaoweza kuwaona kwa macho yetu ya kibinadamu na kuweza kuwahubiria kwakuwa wanafahamu lugha tunayo ongea na kisha kuwaongoza hadi kwanye maji na kuwabatiza.

Wenzetu Majini mnakutana nayo wapi ?
Mnaongea nao lugha za kijini au za kibinadamu. (Kiarabu) ?
Hebu mtupe uzoefu wenu.
 
Jini ana umbile gani?


majini ni nini?


Kwanza kabisa yatupasa kuelewa nini maana ya neno jini,

Neno jini linatokana na neno la kiarabu Jinn (djinn au Jinnee).

Na lina maana ya kitu kisichoonekana au kilichofichika. (Mapepo).


Genesis 6 :2&4

...that the sons of God saw the daughters of men that they were fair; and they took them wives of all that they chose...The Nephilim were in the earth in those days, and also after that, when the sons of God came unto the daughters of men, and they bare children to them: the same were the mighty men that were of old, the men of renown.American Standard Version that the sons of God, looking at the women, saw how beautiful they were and married as many of them as they chose....The Nephilim were on earth in those days (and even afterwards), when the sons of God resorted to the women, and had children by them. These were the heroes of the days gone by, men of renown

From Jerusalem Bible (catholic).



some of supernatural beings* saw that these girls were beauutiful, so they took the ones they liked... In those days and even later, there were giants on the earth who were descendants of human women and the supernatural beings. They were the great heroes and famous men of long ago.*supernatural beings; or son of gods; or sons of God

From the Good News Bible



the sons of God saw that the doughters of men were beautiful, and they married any of them they chose....The Nephilim were on earth in those days -and also afterward- when the sons of God went to the doughters of men, and had children by them. These were the heroes of the old, men of renown

From King James Version
 
Kwa hivyo wewe unaabudu lile kanisa la mashoga la Pentecoste kule Mbeya
Unadhani Kanisani na Msikitini hakuna mashoga wanaomwabudu Mungu? wapo wengi tu ila wewe usiwaangalie wao bali iponye nafsi yako.
 
Hao ni kama wewe ni wenye mioyo migumu na si waislamu , nimekuwekea hii documentary ya BBC na humo ni hao wanaokuandikia biblia ndio wanaokuelewesha,

kama unatafuta ubishi endelea lakini ukweli ndio huu



Karibu ufundishwe Uislamu
 


Ikiwa hawa WANAFUNZI WA YESU waliokaa naye walikuwa hivi , jee nyinyi mnaosoma habari zake mtakuwa vipi ??

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simon aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebadayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo; na Thadayo; Simon Mkananayo, na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti. (Marko 10:2-4).


Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44)

Basi tuone mti uliopandwa na Bwana Yesu Kristo, matunda yake ni ya ladha gani? Madaraja yaliyofundishwa na Bwana Yesu tuone wanafunzi wake walikuwa wa aina gani?

Yesu alipoleta imani, basi tuone kiwango cha imani ya waaminio wake.

Sina kawaida ya kuwafundisha watu kwa maneno yangu bali nawafundisha kulingana na maandiko yao matakatifu.

Sasa tuone hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu


1. Yesu alisema, hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili? (Mathayo15:16)

2. Alimwambia Petro kwamba; “Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka? (Mathayo 14:31).

3. Petro alikanusha kuwa mfuasi wa Yesu mara tatu bali alimlaani. (Mathayo 26:69-75).

4. Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu. (Mathayo 26:15).

5. Wakati Yesu alikuwa hatarini, wanafunzi waliendelea kulala). Mathayo 26:40-45; Marko 14:36:041).

6. Yuda alijinyonga. (Mathayo 27:5).

7. Imani ya wanafunzi: “Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu” (Mathayo 17:20).

8. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha wakakimbia. (Mathayo 26:50).

9. Wengi wataniambia siku ile; Bwana, Bwana hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri. Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. (Mathayo 7:22-23)

Hapo juu mmesoma na kuona hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu sawa na Biblia
 
Mwenye sikio na asikie,mwenye kuona na aone,na kaidi aendelee kuwa kaidi..Mungu amekuleta katika kizazi hiki kwa kusudi hili Robert..You did your part..

Hauwezi kufika mbinguni wala kumuona Mungu bila kupitia njia ya christ,Jesus is the way and the only one to Heaven.Kuna mamilioni ya watu wataenda Jehanam kwa kukubali hadidhi za masimulizi.
 
Unadhani Kanisani na Msikitini hakuna mashoga wanaomwabudu Mungu? wapo wengi tu ila wewe usiwaangalie wao bali iponye nafsi yako.

Si suala la kanisa kuwemo mashoga ni kanisa la LGBT rasmi
 


Yesu alisema:

1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:

A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).

B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).

2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).

Yesu alisema:

3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).

Lakini Paulo anasema:

Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).

4. Bwana Yesu alisema:

Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9 Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni AntiChrist.

5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40).

Hivyo Wakristo wale ambao wanaogombana ni Ant Christ.

6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20).
Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Ant Christ)

7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35, Luka 14:26, 12:51, 5:2)

Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Anti Christ
 
Nilitoa swali humu hakuna muislamu amethubutu kujibu
Yakub ni story Muhammad kaiba kutoka kwa wayahudi,ila yeye akaweka manjonjo yake
Unakuta anamtaja yakub mara ghafla anamtaja Israel bila kutuambia wasomaji ilikuwaje yakub akawa Israel
Je wewe kwa kutumia Koran unaweza kutuambia ilikuwaje yakub akawa Israel na Israel maana yake Nini?
 


Umetuletea habari za mungu wako aliyestarehe weekend labda kwa kunywa Safari au pilsner pamoja na nyama choma
 
Hakufanyi mapepo kuwa ni wakristo
Muhammad kaweka wazi mapepo mpaka Lucifer ni waislamu, embu bisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…