Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Wakikuletea hiyo isiyotiwa mkono usiache kuni tag nije kuisoma
 
1. Kwanza hufahamu kanuni za Mahakama,ungezifahamu usingekuja na maswali hayo.
Maana mfumo wa hukumu Uzingatia mfanano wa mashauri ya kesi zilizowai kutokea miaka ya nyuma sehemu mbalimbali ulimwenguni.

2. Quran inataja kuwa,aliyeteremsha Quran ndiye aliteremsha pia Torat na Injili.

نَزَّلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ التَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ

(AL I'MRAN - 3)
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili.

Sasa huko kuwa tu Quran,Torati na Injili zote zimeletwa na chanzo kimoja ni sababu tosha kwa Mahakama kufanya rejea kwenye mkapu wa vitabu (Biblia).

3. Lakini pia akilini mwako tambua kuwa Quran ni sawa na masomo ya Chuo kikuu na hiyo biblia ni sawa na masomo ya kufundishia watoto shuleni.
Usitegemee ufike chuoni eti ukute somo linaelezwa sawa na masomo ya shule ya msingi huko.
 

Aliyeteremsha Torati, zaburi na Injili anaitwa Yehova/Yahwe/ Jehova Kwa Kiswahili "Niko ambaye Niko"

Alafu mungu wa Quran anaitwa Allah bado huoni kama kuna haja ya shauri kusikilizwa?

Sio kila kesi au shauri linalopelekwa mahakamani inatakiwa iwe na rejea au kesi zilizokwisha kutokea.

Embu pangua hoja kama Mwanasheria au wakili.
Pangua hizo shutuma
 
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kiswahili

Mpaka hapo kesi imefungwa.
Hatakuwa ni hakimu popoma tu atakaye endelea na kesi.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hayo maelezo nenda ukasome kwenye silabas ya chekechea ndiyo utayakuta hayo.Quran ni Chuo kikuu hakiwezi kurudia mambo ya shule za misingi huko.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YN 17

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe; 2kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele. 3Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. 4Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye. 5Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako. 6Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.7Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako. 8Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.

NI WENYE KUAMINI TU KATIKA UZIMA WA MILELE (YAANI MUNGU NI WAPEKEE NA YESU NI MTUMWA (MTUME)WA MUNGU NDIYE ATAKAYE KUWA PAMOJA NA YESU.

Yn 17:3 SUV

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.



Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mmeshikiwa akili eeee!.[emoji16][emoji16][emoji16]
Karibu ufundishwe Uislamu
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

(AL-FAATIH'A - 1)
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ

(AL-FAATIH'A - 2)
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

(AL-FAATIH'A - 3)
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ

(AL-FAATIH'A - 4)
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ

(AL-FAATIH'A - 5)
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ

(AL-FAATIH'A - 6)
Tuongoe njia iliyo nyooka,
صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ

(AL-FAATIH'A - 7)
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Allah sio God kwa Kiarabu wacha taqqiya zako.
God kwa Kiarabu ni illah.

Hebu soma shahada yako.

La illah = hakuna Mungu (God)

ilaa Allah = isipokuwa Allah

Mimi najua kiarabu mwanzo mwisho
Mungu wenu waislamu yaani illah anaitwa Allah.
Shame on You.
 
Jini ana umbile gani?
Hii hapa,

Ayubu < 2 >

2

1 Kulikuwa na siku wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za BWANA. Shetani pia alikwenda kati yao kujihudhulisha mbele za BWANA. 2 BWANA akamuuliza Shetani, “umetoka wapi wewe?” Kisha Shetani akamjibu BWANA na kusema, “Natoka kuzunguka zunguka duniani, kutembea huku na huko humo.”

Huyo Shetani baba wa majini umeliona umbo lake?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Usiwe unanikurupukia mimi wewe.

Kuna sehemu yoyote nimesema Allah = God ?.

Mimi nimeonesha kuwa kila lugha ina namna yake ya kumtamka Mungu.

Sasa wewe sema God katika kiingereza ina maana gani?.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Usiwe unanikurupukia mimi wewe.

Kuna sehemu yoyote nimesema Allah = God ?.

Mimi nimeonesha kuwa kila lugha ina namna yake ya kumtamka Mungu.

Sasa wewe sema God katika kiingereza ina maana gani?.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umesema hapa
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kisw

Shame on you
Mungu wa Waislamu yaani illah
Anaitwa Allah.
 
Umesema hapa
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kisw

Shame on you
Mungu wa Waislamu yaani illah
Anaitwa Allah.
God = Kiingereza na hakuna jina lingine mbadala wa neno God katika kiingereza.

Leta neno jingine lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiingereza.

Na ukishindwa kuleta basi wewe jijue ni mjinga wa wajinga.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa mama mdogo wanakera sana aisee tatizo la kumuabudu womanizer mtaalamu wa kuoa vitoto vya miaka 9 ndy hilo
Sio mtaalamu wa kuoa vitoto vya kike.
Bali mtaalamu wa kuharibu vitoto vya kike na wake za watu.

Alimtisha mke wa mtoto wake wa kufikia hadi akamwacha mke wake na akamwoa yeye baada ya kumwona kavaa kanga moja tu.

Aliuwa watu na kuchukua wake zao hadi akawekewa Sumu na mmoja wa hao wake na akafiria mbali.

Halafu ndio tunaambiwa ni m'bora wa mitume.
Kawaamrisha wasujudie Jiwe Jeusi la Maka na kuwakaribisha Majini kwenye Uislamu wenye Jiwe lao Jeusi linalo itwa Aswadi.

Muhammadi ni mharifu wa kimwili na kiroho.
Una kaharibuje katoto ka kike ka miaka 9 ukiwa Zee la miaka 60.
Halafu unajiita mtume wa Majini na bado uaminike na watu wenye hekima zao.
 
Umewahi kuisoma Quran ukailewa? Kama hujaelewa ukipata nafasi tafuta kitabu
The Qur'an and Modern Science
Book by Maurice Bucaille utapata uelewa walau kidogo then urudi uje uandike makala yako tena.
 
Mungu wa Waislamu anaitwa Allah ndio Jina lake.
Allah ni mungu wa wapagani wa Waarabu kabla ya Muhamadi na watoto wake wakike watatu, Uzza, Lutta na Manata.
We unakuja kuongopea watu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…