Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Mungu wa Waislamu anaitwa Allah ndio Jina lake.
Allah ni mungu wa wapagani wa Waarabu kabla ya Muhamadi na watoto wake wakike watatu, Uzza, Lutta na Manata.
We unakuja kuongopea watu hapa.
Wewe!Usijifanye umenisahau?
Mimi huwa simuachi mtu achezecheze na akili za mwanaume mimi.

Leta neno jingine lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiingereza.

Na ukishindwa kuleta basi wewe jijue ni mjinga wa wajinga.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wewe!Usijifanye umenisahau?
Mimi huwa simuachi mtu achezecheze na akili za mwanaume mimi.

Leta neno jingine lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiingereza.

Na ukishindwa kuleta basi wewe jijue ni mjinga wa wajinga.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Acha kujificha kwenye lugha ya Kiingereza.

Mungu wa Waislamu anaitwa Allah ndio Jina lake halisi.
Yaani God wenu anaitwa Allah.
 
Acha kujificha kwenye lugha ya Kiingereza.

Mungu wa Waislamu anaitwa Allah ndio Jina lake halisi.
Yaani God wenu anaitwa Allah.
Leta neno jingine tofauti na God lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiingereza.

Na ukishindwa kuleta basi wewe jijue ni mjinga wa wajinga.

Kesi naifunga baina yangu mimi na wewe Jinga la wajinga.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Majini ni maislamu
Majini yenyewe yanakiri hivyo
Muhamadi anakiri hivyo
Allah anakiri hivyo
Waislamu wanakiri hivyo.

Bakini tu na Majini yenu maislamu yenzenu.

Hakuna tabu hapo.
 
Leta neno jingine tofauti na God lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiingereza.

Na ukishindwa kuleta basi wewe jijue ni mjinga wa wajinga.

Kesi naifunga baina yangu mimi na wewe Jinga la wajinga.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
God wa Waislamu anaitwa Allah
Maana nyingine ya God waulize Waingereza wenyewe watakuambia.

Mimi ni Mwarabu.
 
Sawa
Sasa Rudi kwenye mada jibu post number 1
UJIBIWE MARA 10000 , NDIYO MAFUNDISHO YA MSAGAJI HAYO


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi


Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
UJIBIWE MARA 10000 , NDIYO MAFUNDISHO YA MSAGAJI HAYO


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi


Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
Yesu Kristo aliye zaliwa katika Kijiji cha Nazaleti huko Israeli yuko hai hadi hii leo.
Toka Aje duniani sasa hivi ni miaka 2022 imepita.
Yaani kwa sasa ana miaka 2022.
Na atarudi duniani miaka mingi ijayo, inaweza kuwa hata miaka trillioni mia ijayo au zaidi.

Wewe mchukulie Yesu kama unavyo mjua.
Wala usipate tabu kumdadisi, mwenyewe atakuja kusema yeye ni nani.


Kwahiho wewe mjue tu kama unavyo mjua
 
Hayo maelezo nenda ukasome kwenye silabas ya chekechea ndiyo utayakuta hayo.Quran ni Chuo kikuu hakiwezi kurudia mambo ya shule za misingi huko.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Swali bado lipo
Unakuta anamtaja yakub mara ghafla anamtaja Israel bila kutuambia wasomaji ilikuwaje yakub akawa Israel
Je wewe kwa kutumia Koran unaweza kutuambia ilikuwaje yakub akawa Israel na Israel maana yake Nini?
 
Hivi jina la muhamed unaweza kulitumia kutoa mapepo kama jina la Yesu christo?

Alafu unamuaminije mtu aliyekufa kama babu yako ameshindwa kufufuka,ata kusaidiaje sasa wewe mfuasi wake?
 
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kiswahili

Mpaka hapo kesi imefungwa.
Hatakuwa ni hakimu popoma tu atakaye endelea na kesi.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kiswahili

Mpaka hapo kesi imefungwa.
Hatakuwa ni hakimu popoma tu atakaye endelea na kesi.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Waarabu walikuwa na miungu mingi huyo Allah ni moja ya miungu waliyokuwa wanaiabudu. Huwezi sema walikuwa wanaabudu Allah wengi. Niambie Kwa Neno mungu Kwa kiarabu linamaanisha nini maana ninaweza kukutajia Majina ya miungu ya kiarabu hata Mia moja.

Hata soma jina la mungu kulingana na Biblia;
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Mungu WA waingereza haitwa God,
Alafu hii hoja tumejadili huko juu. Ungepitia hoja za juu kabla haujakurupuka.
 
Umewahi kuisoma Quran ukailewa? Kama hujaelewa ukipata nafasi tafuta kitabu
The Qur'an and Modern Science
Book by Maurice Bucaille utapata uelewa walau kidogo then urudi uje uandike makala yako tena.

Quran nimeisoma ndio maana nikaandika hoja hizi.
Sio ajabu mpaka sasa hakuna aliyeweza kupangua hoja hata Moja.
Kama ningekuwa sijaisoma hiyo Quran nisingeweza kujenga hoja hizo hapo juu kwenye post no 1.
 
Hivi jina la muhamed unaweza kulitumia kutoa mapepo kama jina la Yesu christo?

Alafu unamuaminije mtu aliyekufa kama babu yako ameshindwa kufufuka,ata kusaidiaje sasa wewe mfuasi wake?
Kwanini mapepo hayatoki kwa jina "Mungu" ila yatoke kwa jina la Yesu au Jesus?

Waafrika pia huiomba mizimu mababu zao waliyokufa ili kuwasaidia, ila wengine tunamuamini na kumuomba Mungu ambaye hafikwi na umauti yupo hai mile na mile.
 
Quran nimeisoma ndio maana nikaandika hoja hizi.
Sio ajabu mpaka sasa hakuna aliyeweza kupangua hoja hata Moja.
Kama ningekuwa sijaisoma hiyo Quran nisingeweza kujenga hoja hizo hapo juu kwenye post no 1.
Ukisema haujajibiwa hata hoja moja si kweli, nimekujibu kuwa Muhammad haijakopy biblia bali Qur'an ni maneno ya kutoka kwa Mungu(Allah) kupitia kwa Muhammad hivyo si maneno ya Muhammad hivyo huwezi kusema Qur'an imeiba visa vya kwenye Biblia lakini pia Allah kwenye Qur'an amevitaja vitabu vya Torat,Zaburi na Injili kuwa ni vitabu vyake.

Ni katika majibu niliyokujibu sasa ukisema hujajibiwa sijui unakuwa na maana gani?
 
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kiswahili

Mpaka hapo kesi imefungwa.
Hatakuwa ni hakimu popoma tu atakaye endelea na kesi.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Kwa Uelewa wako hao miungu uliowataja wote walimuumba Adamu na Hawa?
Mkiambiwa msome hamtaki. Haya ndio matokeo yake Sasa.

Na Kwa Uelewa wako nafikiri ninyi ndio mnaofikiri mungu wa waarabu ndio huyohuyo mungu wa wayahudi.
Yaani Yehova na Allah ni yuleyule
Allah na Buddha ni Yule Yule.

Na sio ajabu ukarikiri Rais Ruto na Kagame ni mtu mmoja.
Hapo ndio utajua kuwa elimu na utambuzi ni kitu muhimu
 
Ukisema haujajibiwa hata hoja moja si kweli, nimekujibu kuwa Muhammad haijakopy biblia bali Qur'an ni maneno ya kutoka kwa Mungu(Allah) kupitia kwa Muhammad hivyo si maneno ya Muhammad hivyo huwezi kusema Qur'an imeiba visa vya kwenye Biblia lakini pia Allah kwenye Qur'an amevitaja vitabu vya Torat,Zaburi na Injili kuwa ni vitabu vyake.

Ni katika majibu niliyokujibu sasa ukisema hujajibiwa sijui unakuwa na maana gani?

Allah kutaja vitabu ambavyo sio vyake bila kumtaja mwenye hivyo vitabu yaani Yehova huoni kama huo ni wizi/plagiarism?
Ni Sawa na hamornize atoe Remix ya wimbo wa Diamond bila kumhusisha Diamond huo ni wizi.

Alafu hoja inayozungumziwa ni kuwa Quran haiwezi kutumika Kama rejea kuu kwani licha ya kufanya Plagiarism na forgery lakini pia haijitoshelezi kutoa taarifa sahihi na zilizojitosheleza.

Mfano ninaweza kukuuliza,
Yakobo alifia wapi, akiwa na umri upi, na wake zake walikuwa wangapi na kina nani, utajibuje na kupata majibu wapi bila kutumia Biblia?

Embu jibu hiyo hoja mbele ya mahakama
 
Waarabu walikuwa na miungu mingi huyo Allah ni moja ya miungu waliyokuwa wanaiabudu. Huwezi sema walikuwa wanaabudu Allah wengi. Niambie Kwa Neno mungu Kwa kiarabu linamaanisha nini maana ninaweza kukutajia Majina ya miungu ya kiarabu hata Mia moja.

Hata soma jina la mungu kulingana na Biblia;
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Mungu WA waingereza haitwa God,
Alafu hii hoja tumejadili huko juu. Ungepitia hoja za juu kabla haujakurupuka.
Kwa mujibu wa biblia ni kwamba Mungu alikuwa akijitambulisha kwa majina tofauti tofauti, hilo jina Yehova kajitambulisha nalo kipindi cha Musa hivyo hakujitambulisha nalo kabla ya Musa.

Kwa hiyo kumbuka hilo unaposema Mungu wa biblia ni Yehova.
 
Kwa mujibu wa biblia ni kwamba Mungu alikuwa akijitambulisha kwa majina tofauti tofauti, hilo jina Yehova kajitambulisha nalo kipindi cha Musa hivyo hakujitambulisha nalo kabla ya Musa.

Kwa hiyo kumbuka hilo unaposema Mungu wa biblia ni Yehova.

Nitajie majina mengine ambayo Mungu amejitambulisha kwayo kupitia Biblia.

Nipe andiko Mungu anasema jina langu ni Fulani.
Alafu nikutofautishie Nickname na jina halisi.

Hata Yesu alikuwa akijiita Simba wa Yuda, mwana WA Adamu, jiwe kuu la pembeni la msingi, mwana wa Mtu, n.k.

Hata Mimi najiita Taikon wa Fasihi, lakini hiyo haibadilishi jina langu la Msingi.

Sasa turejee kwenye hoja, nitajie Aya ya kwenye Biblia ambayo Mungu anasema jina langu ni .............
 
Back
Top Bottom