Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Allah kiswahili ni nn? Biblia haipo usibishe biblia imeandikwa Italy haipo kabisa hata wakina martin Luther walibadilia maandisha watu wa juzi hap

Mwamposa ni mtume pia ni myahudiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jiulize mbona hawao wayahudi hawaujui ukristo uje kuujua wewe na watu wa Europe ?

So qur an inasadifu yaliyopita tangu enzi za adamu je bible inasadifu yapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Kama Biblia ingekuwa haijakamilika Muhammad asinge-copy maandiko yake Mkuu. Embu jaribu kuelewa kuwa unaposema Bible unazungumzia sehemu ya maandiko ya kiyahudi.

Hizo version za Biblia ni kutokana na makampuni na mashirika wanaotafsiri Biblia kutoka lugha ya Mwanzo ya biblia ambayo iliandikwa Kiebrania, kiaramu na kiyunani cha zamani.

Kumbuka baadhi ya maandiko ya Biblia ni yazamani mno na Lugha iloyotumika zamani zingine sasa hazipo au zimepungua Kama hicho kiaramu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nakuja sasa kukukamata je biblia wapi mungu kasema alishusha kitabu kinaitwa bible? Ukijibu naslimu hapa hata umleta papa wapo wa Italy.

Wewe nilishakusoma una uwezo mdogo sana na utakuwa unanipotezea tu muda.

Umesema biblia imekopi injili, zaburi na torati, nkakuuliza original ziko wapi?

Umejuaje imekopi kama hujaona original? Hujajibu Umeanza tena kuruka.

Kwahyo goodbye.
 
Kuna kitu ujui QURAN si maneno ya muhamad bal wahyi aloshushiwa na ALLAH azzah wa jallah kuhusu mambo mbali mbali na ikiwemo habar za mitume waliopita na sio maneno yake kama unavyosema
Anakimbilia hapo usipate tabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚maana kwao uchagani Wana nabii Tesha,huko mbeya Wana nabii mwamposa wanadhani iko cheo eti nabiii Paulo kwamba yesu alikuwa mungu na Simon, yudah sijui nani ndo manabii πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapa nachek sana kwamba elimu watu haijwai kuwasaidia.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bible siijui hakuna kitabu cha mungu kinaitwa bible
 
Kuna kitu ujui QURAN si maneno ya muhamad bal wahyi aloshushiwa na ALLAH azzah wa jallah kuhusu mambo mbali mbali na ikiwemo habar za mitume waliopita na sio maneno yake kama unavyosema

Kwa hiyo Allah atashusha wahyi ambao tayari upo Duniani?

Wakati Allah anamshushia Muhammad wahyi wa baadhi ya visa mama vya kina Yusufu, Musa, Ibrahimu, Issa n.k. tayari visa hivyo vilikuwepo hapo Makkah kupitia Wakristo waliokuwepo wakati huo kina Padri Walaga.

Unajua Kwa nini Injili/Yesu hajawahi kusimulia habari za kina Musa au Ibrahim, isipokuwa alikuwa anatumia kama reference katika mafundisho yake?
 
Genesis yote ni hearsay. So 1 out of 66 books in the bible is hearsay.

The whole 114 surahs in Quran are hearsay.
 
Wewe nilishakusoma una uwezo mdogo sana na utakuwa unanipotezea tu muda.
Umesema biblia imekopi injili, zaburi na torati..nkakuuliza original ziko wapi? Umejuaje imekopi kama hujaona original?
Hujajibu Umeanza tena kuruka.
Kwahyo goodbye.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwamba nileta original kwamba hautambui uwepo wa ivyo vitabu ,ua lah basi bible inatambua we kilaza hamna unachojua wala sitaki tabu ivyo vitabu kaangalie kweny bible wamevitaja

We hamna unachojua nabishana na wenye akili sio wapumbavu hamtaki kuelewa
 
Kweli nawachukia waislamu ila wanasaidia unajua kwanini .

1. Hawatupendi sisi wakristo hata tuwapendeje
2.wanafundishana sisi sio wema wabaguzi
3.wanadharau wanawake sana
4. Wanatesa watu kiakili kimwili wanajifanya wanajua
5. Wanatesa wanawake sana wanawadharau wanawatumia kama bidhaa wanaacti maisha hawaishi wanapenda vya bure na wanamidomo michafu kabisa ndio maana wanapenda kuishi uswahilini

Wanapenda vita , kutesa wenzao nakuwaandama yaani wanajiona na asilimia nyingi hawana kitu .

Yaani waislam hata upendeje wewe ni KAFIRI tu
 
Vilivyopo kwenye bible si umesema sio original? Umesema vya kwenye bible ni copy zilizopunguzwa na kuongezewa vitu...Sasa wewe naomba original zake maana umesema za kwenye bible sio original.

Kwasababu huwezi kujua hiki kitabu kimepunguziwa kitu fulani bila kujua kwanza hiko kilichopunguzwa ni nini kwenye original.
 
Wewe huwezi kujua Ila Muhammad unayemuamini anaijua na anaiamini ndio maana alifanya Plagiarism.
Nakuuliza mussa anaijua bible mpaka zama zake zinaisha ananijua bible?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ulisoma qur an unasoma zama zote zilitangulia nyie toeni torat ,zaburi na injili kweny bible muone kama Kuna neno ya qur an utalikuta kweny bible ndo maana maujinga kama mlivyosema sijui "upumbavu wa mungu " huu ni utopolo wenu haupo kweny torati, zaburi wala injili the same huwezi kkuta kweny qur an kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Quran na Biblia ni vitabu tuu.
Vinawez kupelekwa mahakamani vikathibitishwa kama vile vitabu vingine.

Ni vile watu hawajaamua Kwa sababu wanajua kuna watu vichwa panzi wanaendeshwa na mihemko.
 
Mimi nashangaaga dini inavyowabagua wanawake na bado wanawake wapo tu humo.
 
Nakuambia neno "upumbavu wa mungu" kweny torati, zaburi na injili halilo nyie mmitoa wapi? Kama sio kuliongezaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Quran na Biblia ni vitabu tuu.
Vinawez kupelekwa mahakamani vikathibitishwa kama vile vitabu vingine.

Ni vile watu hawajaamua Kwa sababu wanajua kuna watu vichwa panzi wanaendeshwa na mihemko.
Ni ngumu sana kupata mtu aliye objective kwenye maswala ya dini.
ila ukiwa objective uhalisia ndio huo..Quran ni poor attempt to immitate the bible.
 

Anaijua ndio.
Kama yeye ndiye aliyeandika Bible(maandiko matakatifu) iweje useme haijui.

Au neno Bible linakuchanganya?
Basi ita "Maandiko matakatifu" maana Hilo neno lilolotoholewa naona linakuchanganya
 
Nakuambia neno "upumbavu wa mungu" kweny torati, zaburi na injili halilo nyie mmitoa wapi? Kama sio kuliongezaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halimo kwenye torati, zaburi na injili ipi?
Wewe mkuu umejuaje halimo?
Em ziweke hapa namm nizisome nihakikishe kama kweli halimo.
 
Anaijua ndio.
Kama yeye ndiye aliyeandika Bible(maandiko matakatifu) iweje useme haijui.
Au neno Bible linakuchanganya?
Basi ita "Maandiko matakatifu" maana Hilo neno lilolotoholewa naona linakuchanganya
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­Dah watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..so mussa alikuwa mwanafunzi wa yesu alikuwa na mfundisho wa yesu??mussa na yesu Nan wa kwanza kuja katika zama zake..kaandikaje wakati alikuja duniai kabla ya mugu wenu ambaye ni yesu .
 
Ni ngumu sana kupata mtu aliye objective kwenye maswala ya dini.
ila ukiwa objective uhalisia ndio huo..Quran ni poor attempt to immitate the bible.

Hawa ndugu zetu wanakalia kukaririshwa kikasuku nao wanajiendea tuu.
Badala wajadili hoja naona wanapiga kelele na kutukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…