Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😂😂😂😂Allah kiswahili ni nn? Biblia haipo usibishe biblia imeandikwa Italy haipo kabisa hata wakina martin Luther walibadilia maandisha watu wa juzi hapHakuna kitabu kilichowahi kushushwa.
Alafu Elewa Torati, Zaburi na Injili walioiandika ni Wayahudi na Mungu wao ni Yahwe!
Alafu akatokea Allah wa waarabu akai-copy akaiita Quran.
Mpaka leo Mungu WA Wayahudi ni Yahwe.
Na mpaka leo Mungu WA Waarabu ni Allah.
Ndio maana kuna hoja nimelezea Jambo hili kama ushahidi kuonyesha Biblia inaweza kutumika kama Rejea kuu kuliko Quran.
Kwa sababu haiwezekan Allah mungu wa waarabu miaka zaidi ya elfu mbili yote awatumie Wayahudi Kama manabii alafu awaache watu wake(waarabu) alafu mara paah! Mwisho kabisa ndio amtumie Muarabu Kama Mtume WA mwisho. 😊 Tumia akili hata ya kuzaliwa. Halikadhalika na Yahwe miaka yote awatumie Wayahudi watu wake kama manabii alafu mara paap! Amuokote muarabu Muhammad mwishoni kama Nabii au Mtume. Hivi mlijifunza haya mambo wapi?
Mwamposa ni mtume pia ni myahudi😂😂😂
Jiulize mbona hawao wayahudi hawaujui ukristo uje kuujua wewe na watu wa Europe ?
So qur an inasadifu yaliyopita tangu enzi za adamu je bible inasadifu yapi 😂😂😂