Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Yesu kaishi nchi ngapi? Paulo alikuwepo kipindi cha nabii mussa, nabii Adam alikuwepo? 😂😂😂 hakuna uhalisia yote ni masimulizi ya zama za nyuma ...mtoa ana mislead kwa point hazina mashiko .


Mfano hata wewe inakuingia akili kwamba yesu aliishi vipindi kibao na huyo Paulo ni kwamba bila kwenda kweny maandiko haingii akili.. zile ni za kama ummah zinapotea zinakuja nyingine ndo maana kila zama zilikuwa na kitabu chake na mtume walikuwa na kipind cha miaka walioishi zaidi ya miaka elfu na kitu ...sasa utasemaje ufananisha bible na qur an ni vitu viwili tofauti qur an inasadifu yaliyopita 😂😂😂😂bible imetiwa mikono kwa kutunga na haipo kweny vitabu vya mungu inaweza kubadilishwa haya kesho ukasimia mapandre waoe
Mkuu em pangilia hoja zako ueleweke.
Sijaelewa chochote hapa
 
Sijaona pedo hapo. Na hilo ni vazi la watu wa huko enzi hizo. Sio vazi la kiimani.
Halafu huyo sio yesu.
Ile picha inayobandikwa makanisani inamaana yule sio yesu? Halafu kumbe yesu nae alikuwa anafuga ndevu,

Nashangaa Hawa wanaume wa kiyaudi na bongo wanakwangua ndevu zote
 
Hata wewe umeandika hearsay, hukuwepo wakati huo wa Muhammad wala wakati wa Yesu.

Vitabu vipo mahakamani, hoja zishatolewa hapo zinatakiwa kupingwa Kwa hoja.

Naona watu wanaropoka tuu hawajui kuwa tupo mahakamani na watu ndio majaji.

Nataka watu wakupangua hoja nilizozianisha hapo juu. Hoja kuu ni Quran ni Hearsay, inaelezea vitu ambavyo yenyewe imesimuliwa. Yaani haujui hata inachokielezea na haina uhakika nacho.

Quran inaandika mambo Jerusalem wakati yenyewe ipo Makka na madina huko arabuni na haijawahi kufika Jerusalem.

Huoni hiyo tuu inatosha kuona haipaswi kuaminiwa
 
Mkuu em pangilia hoja zako ueleweke.
Sijaelewa chochote hapa
Huwezi fananisha bible na qur an, hata hoja alizoleta mtoa mda ni uongo.

Sikia, qur an inasadifu yaliyopita, bible imetungwa kwa kuongeza na kupunguza maneno ya torati, zaburi na injili.

Sasa utasema kwamba aliyeandika bible kaona kaishi vipind vyote wakati qur an ishadifu vipind vyote vya nyuma.
 
Akitokea muislam anayejibu kwa Hoja na kupangilia hoja zake kisomi nishtueni...Maana mpaka hapa ni kama waliokuja wote wameishia elimu ya madrassa tu.
Hatuwezi tukabishana maane hata elimu hauna !! Kama hutaki basi😂😂😂siwez kukulazimisha hata mi nikiamua kubisha, nabisha mpaka kesho
 
Ile picha inayobandikwa makanisani inamaana yule sio yesu?? Halafu kumbe yesu nae alikuwa anafuga ndevu,

Nashangaa Hawa mashoga wa kiyaudi na bongo wanakwangua ndevu zote
Hiyo picha ndo umeitoa kanisani?

Inawezekana yesu alifuga ndevu lakini hajawahi kulazimisha mtu amuige yeye. Ndevu ni utashi wa mtu, hazina maana yoyote kwenye dini ya kikristu, ni nywele kama mavuzi tu
 
Huwezi fananisha bible na qur an ..hata hoja alizoleta mtoa mda ni uongo .. sikia qur an inasadifu yaliyopita .bible imetungwa kwa kuongeza na kupunguza maneno ya torat, zabur na injili...sasa utasema kwamba aliyeandika bible kaona kaishi vipind vyote...wakati qur an ishadifu vipind vyote vya nyuma.
Quran inasadifuje yaliyopita? Kwa ushahidi upi?

Biblia imetungwa kwa kuongeza na Kupunguza Torati na Injili. Sawa naomba uniwekee hapa hizo Torati, zaburi na Injili original ili nihakikishe kama madai yako ni ya kweli au uongo.
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;

Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;

1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.

Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.

Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.

Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.

Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.

Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.


2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.

Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.


3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?

Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?

Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.


5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu

Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.

Mbona Injili haujarudia visa,

Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili Kwa hoja.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Leo nimekuelewa, watapinga na kukutukana ila huu uliouandika ni hakika na bayana. Quaran haina hoja zenye mashiko kuliko Biblia, Biblia ni maisha halisi ya mwanadamu duniani na mbinguni.
 
Vitabu vipo mahakamani, hoja zishatolewa hapo zinatakiwa kupingwa Kwa hoja.
Naona watu wanaropoka tuu hawajui kuwa tupo mahakamani na watu ndio majaji.

Nataka watu wakupangua hoja nilizozianisha hapo juu
Hoja kuu ni Quran ni Hearsay,inaelezea vitu ambavyo yenyewe imesimuliwa. Yaani haujui hata inachokielezea na haina uhakika nacho.

Quran inaandika mambo Jerusalem wakati yenyewe ipo Makka na madina huko arabuni na haijawahi kufika Jerusalem.
Huoni hiyo tuu inatosha kuona haipaswi kuaminiwa

We ni mpumbavu niambie habari za adamu kweny bible nani kaandika niambie wapi yesu kaandika bible, kwa hoja zenu waliandika ni wanafunzi wake kama paulo! Je, wanafunzi wake walikuwepo kipind cha mussa, kipindi cha nabii adamu? Je hizo story wametoa wapi?

Mambo ya Jerusalem hata bustani ya Eden ambayo inasemekana ni Africa pia yote yapo. Qur an ni complete inasadifu vilivyopota vyote ila sio bible maana haipo kweny vitabu vya Mungu.


Swali niambie bible alishushiwa Nani hata hao wanaisrael hwaijui?
 
Hatuwezi tukabishana maane hata elimu hauna !! Kama hutaki basi😂😂😂siwez kukulazimisha hata mi nikiamua kubisha, nabisha mpaka kesho
Ndomaana sibishani nawewe. Mimi sipo kubishana nipo kuelimishana.

Akitokea mwenye elimu hapa tutaelimishana. Im sorry wewe huna elimu yoyote kuhusu uislam wako wala ukristo.
 
Unaandika meengii halafu ni uharo tu,hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako,sababu kwenye bible haionekani hivyo)..yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?

Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na yesu alipokua hai!?

Hujui chochote kuhusu Qur'an...unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?

Ibrahim alikua dini gani!?..maana najua alikua muhamiaji pale yerusalem, alikua mwarabu wa iraq!?

Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya yesu ni ilahi Ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy

Sawa kama sijui chochote kuhusu hiyo Quran lakini hoja nilizozianisha hapo mahakamani Quran inatolewa Asubuhi na mapema.

Huwezi simulia hadithi za watu wengine ambao sio asili yako, hujawahi kuishi eneo Hilo, hujui utamaduni wao, hujui lugha Yao, hujawahi kuona hao unaowasimulia. Hata wanaokusikiliza wataona unahadithia simulizi ya uongo.

Nimetoa mfano, Quran inasema Yesu kazaliwa chini ya mtende alafu Biblia inasema Yesu kazaliwa kwenye hori/zizi la ng'ombe.

Aliyeandika kisa cha Yesu kwenye Biblia ni myahudi, anapajua Bethlehem alipozaliwa Yesu, anamjua Mariam mama yake yesu, alafu Muhammad yeye hapajui Bethlehem, sio myahudi , hajawahi kumuona Yesu wala mama yake Yesu.

Yaani Muhammad Hana tofauti na Mimi na Wewe katika habari za kumjua Yesu maana wote hatumjui na wote tunasimuliwa tuu.

Wewe utamsikiliza Nani Kati ya shuhuda wa tukio au Muhammad mambaye naye kahadithiwa tuu?
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;

Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;

1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.

Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.

Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.

Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.

Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.

Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.


2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.

Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.


3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo[emoji3][emoji3].

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?

Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?

Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.


5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu

Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.

Mbona Injili haujarudia visa,

Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili Kwa hoja.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Aliyeandika Kitabu cha Genesis, kwenye Uumbaji, alikuwepo wakati wa Uumbaji?

Mbona Kama issue ni hearsay, Kwenye context ya Uumbaji, Bible ndio imejaa Hearsays za Kutosha.

Issue ya Adam na Eva, who was there? Hearsay

Note Mimi ni Mwenyekiti wa Usharika KKKT, Usije ukasema Mimi Mvaa Kobaz
Ila nimejaribu kuwa Objective
 
Sawa kama sijui chochote kuhusu hiyo Quran lakini hoja nilizozianisha hapo mahakamani Quran inatolewa Asubuhi na mapema.
Huwezi simulia hadithi za watu wengine ambao sio asili yako, hujawahi kuishi eneo Hilo, hujui utamaduni wao, hujui lugha Yao, hujawahi kuona hao unaowasimulia. Hata wanaokusikiliza wataona unahadithia simulizi ya uongo.

Nimetoa mfano, Quran inasema Yesu kazaliwa chini ya mtende alafu Biblia inasema Yesu kazaliwa kwenye hori/zizi la ng'ombe.
Aliyeandika kisa cha Yesu kwenye Biblia ni myahudi, anapajua Bethlehem alipozaliwa Yesu, anamjua Mariam mama yake yesu, alafu Muhammad yeye hapajui Bethlehem, sio myahudi , hajawahi kumuona Yesu wala mama yake Yesu.
Yaani Muhammad Hana tofauti na Mimi na Wewe katika habari za kumjua Yesu maana wote hatumjui na wote tunasimuliwa tuu.

Wewe utamsikiliza Nani Kati ya shuhuda wa tukio au Muhammad mambaye naye kahadithiwa tuu?
Bible imeandikwa na wayahudi😂😂😂😂
 
Sawa kama sijui chochote kuhusu hiyo Quran lakini hoja nilizozianisha hapo mahakamani Quran inatolewa Asubuhi na mapema.
Huwezi simulia hadithi za watu wengine ambao sio asili yako, hujawahi kuishi eneo Hilo, hujui utamaduni wao, hujui lugha Yao, hujawahi kuona hao unaowasimulia. Hata wanaokusikiliza wataona unahadithia simulizi ya uongo.

Nimetoa mfano, Quran inasema Yesu kazaliwa chini ya mtende alafu Biblia inasema Yesu kazaliwa kwenye hori/zizi la ng'ombe.
Aliyeandika kisa cha Yesu kwenye Biblia ni myahudi, anapajua Bethlehem alipozaliwa Yesu, anamjua Mariam mama yake yesu, alafu Muhammad yeye hapajui Bethlehem, sio myahudi , hajawahi kumuona Yesu wala mama yake Yesu.
Yaani Muhammad Hana tofauti na Mimi na Wewe katika habari za kumjua Yesu maana wote hatumjui na wote tunasimuliwa tuu.

Wewe utamsikiliza Nani Kati ya shuhuda wa tukio au Muhammad mambaye naye kahadithiwa tuu?
Bible imeandikwa na wayahudi😂😂😂😂
 
Aliyeandika Kitabu cha Genesis, kwenye Uumbaji, alikuwepo wakati wa Uumbaji ?
Mbona Kama ninhearsay, Kwenye context ya Uumbaji, Bible ndio imejaa ma Hearsay

Note Mimi Mwenyekiti wa Usharika KKKT, Usije ukasema Mimi Mvaa Kobaz
Ila nimejaribu kuwa Objective
Ebu wambie mlevi huyo..
 
Back
Top Bottom