Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Hapa hatujadili kama Quran au biblia kipi ni kitabu cha Mungu, hilo ni subjective huwezi kuprove au kidisprove ni jambo la kiimani..na huenda hata vyote visiwe vitabu vya Mungu.
ishu hapa ni je Quran au biblia ipi inaaminika kihistoria?
ili uiamini Quran inabidi kwanza umuamini Muhamad (maana kila kitu kilitoka kwa Muhamad akisema kimetoka kwa jibril anayesema kinatoka kwa Allah)
Ukishamuamini Muhamad inakubidi sasa ndio uamini kila kitu kwenye Quran blindly maana ni masimulizi ambayo hata Muhamad msimuliaji hakuwepo.

Biblia ni masimulizi ya wahusika waliokuwepo kwenye tukio au hata kama hawakuwepo basi waliishi zama za hayo matukio..sio mtu anakusimulia habari za yesu miaka 600 imeshapita.
Paulo ana credibility kuliko Muhamad kwasababu
1.ameishi zama hizo hizo za yesu(sio miaka 5 baadae).
2.Amekutana na watu waliokuwa wanafunzi wa Yesu kina petro na wengine
Paulo ni mfano mmoja ila ni karibia vitabu vyote iko hivyo.
Andiko kubwa lililokosa credit zaidi ya kumsifia mpumbavu kwa kumpa Credibility tu...huyo Mr.Po.
 
Hata Quran yenyewe inawategemea wasoma Biblia watole majibu

5:46) And We sent Jesus, the son of Mary, after those Prophets, confirming the truth of whatever there still remained of the Torah. And We gave him the Gospel, wherein is guidance and light, and which confirms the truth of whatever there still remained of the Torah,76 and a guidance and admonition for the God-fearing. (5:47) Let the followers of the Gospel judge by what Allah has revealed therein, and those who do not judge by what Allah has revealed are the transgressors.77
 
Hata Quran yenyewe inawategemea wasoma Biblia watole majibu

5:46) And We sent Jesus, the son of Mary, after those Prophets, confirming the truth of whatever there still remained of the Torah. And We gave him the Gospel, wherein is guidance and light, and which confirms the truth of whatever there still remained of the Torah,76 and a guidance and admonition for the God-fearing. (5:47) Let the followers of the Gospel judge by what Allah has revealed therein, and those who do not judge by what Allah has revealed are the transgressors.77
SURAT ALMAIDAH HUYO
 
Mnaweza kunithibitishia ya kuwa Yesu alisulubiwa au Yesu alikufa Kisha akafufuka ?
Wakikujibu nitag nimekaa hapa...

Inna Diyn ghidallah Al Islam..(.Hakika Diyn mbele ya Allah Ni uislamu....)

Sijutii kuwa muislamu....
 
Mfia dini umepanik pole sana..kurwani ni mawazo ya muhamad ya kuunga unga ili kujitengenezea dini yake.

Ndio mana leo hii hakuna mkristo ambaye anaifahamu kurwani wala kuiihitaji kuisoma..ila hakuna mwislamu ambaye hajasoma biblia ili kupata rejea ya visa na matukio ya kuunga unga yaliyosimuliwa na mudi.

#MaendeleoHayanaChama
Hakuna kitu kinaitwa "kurwani" wewe ni kilaza #1 njoo na vivid example wapi mtume kajitengenezea dini yake.
 
mungu hawezi kuw mmoja. Angekuwa mmoja pasingekuwa hivi.
Ndio maana kuna Allah na Yahwe huko Mashariki ya Kati
Bado huko China, India, n.k
Kwa maana hiyo mtu akifa atahukumiwa kulingana na imani yake?

Kwamba mbingu/pepo ni tofauti kulingana na imani ya mtu?
 
Utata ni mwingi sana.
Mungu wa kweli kama yupo na anapatikana kwenye vitabu hivi vya dini kwanini aliruhusu kitabu kingine kije ambacho ni cha uongo mfano kama bible ni ya kweli kwanini aliruhusu Quran ije ambayo inapotosha au kama Quran ni kweli Mungu kwa nini alishindwa kuiteketeza bible ambayo ni uongo!?
Licha ya hayo Mtu pekee anayeeeza kukwambia Mungu wangu ni wa kweli ni mwanadamu ambaye naye anasoma kitabu kinacho jieleza kuwa kimetokana na Mungu wa kweli iwe bible au Quran nje ya vitabu hivyo sina hakika kama kunasehemu unaweza kuthibitisha kuwa vitabu hivo ni kweli.
Ajabu nyingine pia katika vitabu vyote huwa kuna inaibuka makundi(watu) ambayo yana tafasri kwa hivyo vitabu kwa mtazamo tofauti na ule wa wengine na makundi hayo yakipata wafuasi yanakuwa madhehebu iwe kwenye ukristo au uislam ni maajabu.
Nacho fikiri kwa sasa huenda watu walionyuma ya hizi dini ambao ndio waanzilishi wa hizi dini wakirudi leo hii pengine kunavitu vingi wangebadilisha au ķuvipinga kwan vitakuwa tofauti na mitazamo yao au mitazamo yao itakuwa imebadilika.
Pia wafuasi wengi wa hizi dini hawajui hata misingi ya imani zao naona dini ni silaha hatari zaidi kuwahi kutokea.
Nime fuatilia kwanini afrika tuko tulivo hasa Tanzania sababu ni dini waislam wanawakaririsha Quran watoto wakristi wanawakaririsha biblia watoto na mwisho wa siku watoto waanamini sehemu pekee yenye umuhim ni mbinguni huko kuna raha zote na dunia ni sehemu sawa tu kwa chochote kitakachotokea.
Kwa wenzetu wanasayansi wakubwa wote tunaowasoma waliofanya makubwa ni watu waliokuwa wanashinda maabara au pengine kusoma kwao ndio ilikuwa tumaini lao la kwanza.
Naahangaa sana watu ambao wanaona kuwekeza katika sayansi ni kama kumkana Mungu wakati huo huo wanatumia technologia zilizo tengenezwa kwa kiasi kikubwa na wanasansi ambao wengi wao hawaamini katika hizi dini.
Yesu alipewa injili ,na kuwaambia wanafunzi wake wakaisambaze mataifa yote sasa biblia alipewa nabii au mtume yupi ?na matoleo chungu mzima yaandikwa kila Leo Mara hili ni toleo la mwanzo halafu tena hili toleo jipya

Watu wanapotezwa kwa kukosa maarifa.
 
Unaibisha hilo jina na avatar unayotumia, hufanani navyo kabisa.
Anazingua mnoo,anajifanya mjuaji kuliko wote hapa Jf. Ila kwa hiki alicho andika amevuka mipaka,ninashangaa Moderator wanamuangalia tu.
 
Uko sahihi, hii ndio hoja ya msingi ya uzi ila wafia dini wameamua kwenda nje ya mjadala makusudi au kwa mihemko.
Hapa hatujadili kama Quran au biblia kipi ni kitabu cha Mungu, hilo ni subjective huwezi kuprove au kidisprove ni jambo la kiimani..na huenda hata vyote visiwe vitabu vya Mungu.
ishu hapa ni je Quran au biblia ipi inaaminika kihistoria?
ili uiamini Quran inabidi kwanza umuamini Muhamad (maana kila kitu kilitoka kwa Muhamad akisema kimetoka kwa jibril anayesema kinatoka kwa Allah)
Ukishamuamini Muhamad inakubidi sasa ndio uamini kila kitu kwenye Quran blindly maana ni masimulizi ambayo hata Muhamad msimuliaji hakuwepo.

Biblia ni masimulizi ya wahusika waliokuwepo kwenye tukio au hata kama hawakuwepo basi waliishi zama za hayo matukio..sio mtu anakusimulia habari za yesu miaka 600 imeshapita.
Paulo ana credibility kuliko Muhamad kwasababu
1.ameishi zama hizo hizo za yesu(sio miaka 5 baadae).
2.Amekutana na watu waliokuwa wanafunzi wa Yesu kina petro na wengine
Paulo ni mfano mmoja ila ni karibia vitabu vyote iko hivyo.
 
Sijaona pedo hapo. Na hilo ni vazi la watu wa huko enzi hizo. Sio vazi la kiimani.
Halafu huyo sio yesu.
Umesema haupo kwenye kuamini dini yyte sasa Umejuaje huyu km sio yesu au mavazi sio ya kwake.
 
Kaka kaa kimya hili heshima yako ibaki

Hao akina mathayo cjui marko wa kwenye biblia co wale wanafunzi wa yesu ujue hao wengine kabsa
Kwamba ukiitwa mahakamani kwenye hiyo kesi unaweza ukathibitisha kwamba mathayo na marko walioandika biblia sio wafuasi wa yesu?
 
Ntakupa baadhi ya hints biblia imeandikwa kupotosha sio kitabu cha mungu ..ndani ya biblia hakuna neno ukristo ni dini, hakuna sehemu kwamba yesu ni mungu ,Kuna sehemu mungu kaitwa

MPUMBAVU weka hints
Unaweza kuchek kabisa yaani😂😂😂
 
Hata Quran yenyewe inawategemea wasoma Biblia watole majibu

5:46) And We sent Jesus, the son of Mary, after those Prophets, confirming the truth of whatever there still remained of the Torah. And We gave him the Gospel, wherein is guidance and light, and which confirms the truth of whatever there still remained of the Torah,76 and a guidance and admonition for the God-fearing. (5:47) Let the followers of the Gospel judge by what Allah has revealed therein, and those who do not judge by what Allah has revealed are the transgressors.77
Sikia ,uislamu haujakataa kuhusu Nabii Issa lkn sio Yesu wenu.

Kuhusu mfumo kamili wa maisha Quran.

Leo nimekukamilishieni dini yenu, na kukutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni uislamu uwe dini Yenu...(5:3)
 
Ndg wasikilizaji na watazamaji mpaka ktk huu mtifuano nimefanikiwa kuyaona yafuatayo;

1. Mtoa mada ameweka wazi kuwa analinganisha hivi vitabu 'kimahakama'. Nilivyoelewa mimi hapo ni 'kidunia'.......i.e kipeter kibatala au kitundu lissu au kigenerali ulimwengu. 'Udunia' na 'Uroho' kuna wakati km vinapishana hv; siajabu ndo maana mtoa mada ameona kujirudia kwa baadhi ya habari za Biblia ktk Qur'an ni upuuzi tu kwake. Xiahabu ndo maana mtoa mada ameshangaa kwanini Muhammad amehangaika kuwazungumzia watu wengine badala ya Waarab wenzake tu (wa Mekka au Madina, bila shaka).

2. Kwakuwa kichwa cha habari chake kimeidunisha Qur'an, basi wale wasioipenda na wasiowapenda wafuasi wake wameibuka kwa shangwe kwelikweli huku wakisahau kupitia kwa kina habari nzima, tena neno kwa neno, ili waone jinsi gani upande wao ulivyoelezwa kuwa sio wao.

3. Mada imesheheni tuhuma kuwa Waislamu hawawapendi/wana chuki na Wakristo, lakini ajabu wanaosema hivyo wao ndo wameshindwa hata kujuzuia na chuki zao kwa Waislamu kiasi kwamba wanaweka kabisa maandishi ya kuwaprovoke. Hiyo huju mtandaoni, ukienda nje sote tuna majibu kuwa ni maeneo ya watu wa imani gani huwa kunakuwa kumesheheni matendo ya kikatili na ddhulma zaidi......

4. Mada ni kubwa kuliko mtoa mada. Sijasoma dini, sina uzoefu wa kubishana katika dini lakini ninaona kabisa baadhi ya hoja zinashangaza kidogo.

5. ........

Tuendelee kuwasikilizia wajuzi........
 
Kweli nawachukia waislamu ila wanasaidia unajua kwanini .

1. Hawatupendi sisi wakristo hata tuwapendeje
2.wanafundishana sisi sio wema wabaguzi
3.wanadharau wanawake sana
4. Wanatesa watu kiakili kimwili wanajifanya wanajua
5. Wanatesa wanawake sana wanawadharau wanawatumia kama bidhaa wanaacti maisha hawaishi wanapenda vya bure na wanamidomo michafu kabisa ndio maana wanapenda kuishi uswahilini

Wanapenda vita , kutesa wenzao nakuwaandama yaani wanajiona na asilimia nyingi hawana kitu .

Yaani waislam hata upandaje wewe ni KAFIRI tu
Baki na chuki yako juu yao.
 
Back
Top Bottom