Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Icho kiburi chako hakikusaidia kijana
Unajisifu kuuacha Uislamu?

Pole sana aiseee ni pumzi tu iyo inayokupa kiburi we mwanadamu

Yni mkishasoma na hivi vimawazo uchwara vya binadamu wenzako ety waanza kumkashifu Mungu

Pole sana kijana

Uislamu ni dini ya haki ww ata ukikimbia Uislamu utabaki na utaendelea
Nilitegemea utajibu hoja zangu moja Baada ya nyingine ,Cha ajabu unaleta malalamiko na vitisho


Uislamu sio dini ya haki ,Ni moja ya dhehebu la Katoliki


Uislamu hauna tumaini lolote kwa mwanadamu


Kamuulize sheikh wako kabla ya Muhammad akupe ushahidi kuliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu ,akikupa Ushahidi au wewe ukiuleta Nasilimu na kurejea kwenye uislamu


Biblia kitabu kitamu Sana kimejaa tumaini kwa mwanadamu na Shuhuda zakumwaga Kuhusu MUNGU ,

Karibu kwa Yesu
 
Bado hunishawishi!!!

Mawazo ya Kimungu hayawezi kujificha kwenye uchochoro wa lugha kama hivi na kwanini ajitengenezee mazingira tata kila wakati,kwamba angesema ”nikamuumba,nilimuumba” hadhi yake ingeshuka?kama kweli Mungu ndiye alishusha mistari hii huyo Mungu mimi nina mashaka nae,kwanza kwanini aendelee kutengeneza sintofahamu kwa viumbe wake baada ya sintofahamu aliyoitengeneza mwanzo kuonekana imewapoteza?

Kwa mujibu wa uislam hauutambui UTATU MTAKATIFU ambao wakristo wanaamini ni MUNGU MMOJA KTK NAFSI TATU (kwa upande mmoja tunaweza kusema ni maneno ya Mungu kabla watu hawajakengeuka na kujitungia uwongo wao dhidi yake)yumkini huoni kama kweli allah angekuwa na maono sahihi na ulimwengu ya kurekebisha hayo maneno baada ya kuona yaliyotokea hapo juu angeiweka clearly mistari ktk kitabu chake kinachoaminika ni cha kweli na cha mwisho kwa kuondoa haya mambo ya wingi ili isitokee tena sisi leo kuulizana hapa?

Nikisema mwandishi wa kuruan alijifungia mahali aka-copy baadhi ya mistari ktk Bible ili atengeneze kitabu chake kisha aka-limit uhuru wa kuhoji kwa kutoa conclusion kwamba atakaehoji aambiwe ni mambo ya lugha tu nitakuwa napotosha?hizo lugha zenyewe ni man made watu walikaa wakatengeneza maana wanazojua wao wakazitumia ni kwa vipi Mungu ang'ang'anizane nazo?
Wewe muabudu picha ya Brian Deacon, unaona umeandika point kumbe pumba tupu. Hiyo royal 'we' mbona inajulikana kwenye lugha nyingi.

Ndiyo maana hata kwenye suala la kuabudu au kuumba kwenye Qur'an ikitajwa kwa jina inaweka Mwenyezi Mungu mmoja.
 
Kwa hiyo wewe unaamini na inakuingia akilini kwamba baada ya alah kuona watu/viumbe aliowaumba mwenyewe wanamtungia ”WINGI" ambao yeye hana akaona awarudie kwa maandishi yakiwa bado na kile kile alichozushiwa nacho...”WINGI”?

Well,mie kiarabu sikifahamu ila wewe uniambie hapa ktk lugha ya kiarabu hakuna msamiati ”MIMI"?,kwanini azidi kuweka mazingira magumu kutambulika asiweke mazingira rahisi hata aliyeambiwa yupo "WENGI" ajue ni uwongo yupo "MMOJA"?


Pale juu kwenye bold,kawaida yenu kum-provoke mpinzani wenu,sitalitilia maanani sana hilo.
Isikilize hii sura aya za mwanzo uone Mwenyezi Mungu akitajwa halafu wingi wa kujisifu ikitajwa. Mmezoea kusoma kwa kudokoa aya bila kufanya utafiti


 
Sasa nyie mbona mnawaamini wazungu na yesu hakuwa mzungu
Makanisa yote wameanzisha wazungu
Roman
Lutheran
Protestant

Mimi nawashangaa sana nyie wakristo wakati hao wayahudi wenyewe hawaukubali ukristo na hawamkubali yesu hhhhhhhhhhh poleni sanaaaaa
Nakuuliza swali lingine unajibu vitu vingine.
Unastaajabisha sana.

Wazungu wanahusiana nini na Yesu Kristo?

Kwani Muhammadi hakuwahi kupopolewa mawe na Waarabu wenzake kule Madina hadi akang'oka meno ?

Vita vya Albadri Muhammadi alipigana na akina nani ?

Waarabu Wakristo wanamkubali Muhammadi kuwa ni Nabii wa kweli ?
Na kwanini ?

Kwahiyo Muhammadi ni Nabii wa Uwongo kwakuwa alipingwa kwa kupigwa mawe na Waarabu wenzake sio.

Uwezo wako wa kujadiri hoja ni wa kiwango cha chini sana.
 
Nilitegemea utajibu hoja zangu moja Baada ya nyingine ,Cha ajabu unaleta malalamiko na vitisho


Uislamu sio dini ya haki ,Ni moja ya dhehebu la Katoliki


Uislamu hauna tumaini lolote kwa mwanadamu


Kamuulize sheikh wako kabla ya Muhammad akupe ushahidi kuliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu ,akikupa Ushahidi au wewe ukiuleta Nasilimu na kurejea kwenye uislamu


Biblia kitabu kitamu Sana kimejaa tumaini kwa mwanadamu na Shuhuda zakumwaga Kuhusu MUNGU ,

Karibu kwa Yesu
Pole kijana

Uislamu upo toka kwa Nabii Adam sasa ww endelea kukana

Tatizo nyie mkishahongwa mnaona mshayamaliza maisha kumbe kuna maisha baada ya kufa na huko ndipo sisi Waislamu tulipobase sanaaa kuliko hii dunia ya mpito
 
Nakuuliza swali lingine unajibu vitu vingine.
Unastaajabisha sana.

Wazungu wanahusiana nini na Yesu Kristo?

Kwani Muhammadi hakuwahi kupopolewa mawe na Waarabu wenzake kule Madina hadi akang'oka meno ?

Vita vya Albadri Muhammadi alipigana na akina nani ?

Waarabu Wakristo wanamkubali Muhammadi kuwa ni Nabii wa kweli ?
Na kwanini ?

Kwahiyo Muhammadi ni Nabii wa Uwongo kwakuwa alipingwa kwa kupigwa mawe na Waarabu wenzake sio.

Uwezo wako wa kujadiri hoja ni wa kiwango cha chini sana.
Tatizo huna ulijualo ndo mna

Hua nikibishana na mjinga atanishinda tuu mna hana facts zaidi ya ubishi
 
Tatizo huna ulijualo ndo mna

Hua nikibishana na mjinga atanishinda tuu mna hana facts zaidi ya ubishi
Kwanza tunabishanaje.
Mtume wenu Muhammadi kasema hamuabudu ninaye mwabudu.

Nyinyi muna Mungu wenu na mimi nina Mungu wangu.

Sasa mimi nibishanaje na wewe mwenye Mungu wako na Nabii wako ?

Mimi ulinisikia wapi nalisijudia Jiwe Jeusi la Maka Aswadi ?

Mimi ulinisikia wapi nashahadia shahada za dini yako ?

Mimi ulinisikia wapi nafunga mwezi wenu wa Marehemu Ramadhani saidi ?

Ulinisikia wapi mimi nazunguka Al-Qaba huku nikiwa nimevaa kitambaa cha sanda bila nguo ya ndani.

Ulisikia wapi mimi nawa abudu watoto wa Allah, Al-Uzza, All-Lutta na All-Manata.

Ulisikia wapi mimi naabudu nina abudu dini moja na Majini.?

Ulisikia wapi mimi nazisujudia sanamu za Nyota na Mwezi kwenye nyumba yangu ya Ibada?

Ulisikia wapi mimi Mungu wangu anasikia maombi kwa lugha ya Kiarabu tu.

Ulisikia wapi mimi ili sala yangu ikubalike lazima niangalie jiwe jeusi katika mji wa Maka wakati wa swala ?

Ulisikia wapi kitabu changu cha imani yangu kina Jina la Muhammadi ?

Ukinisikia wapi mimi naongelea kuhusu Manabii wako wa kwenye Qurani.?

Sasa wewe na mimi tunakutana wapi hadi tubishane ?

Mimi nibishane wewe kwa lipi ?
 
Nilitegemea utajibu hoja zangu moja Baada ya nyingine ,Cha ajabu unaleta malalamiko na vitisho


Uislamu sio dini ya haki ,Ni moja ya dhehebu la Katoliki


Uislamu hauna tumaini lolote kwa mwanadamu


Kamuulize sheikh wako kabla ya Muhammad akupe ushahidi kuliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu ,akikupa Ushahidi au wewe ukiuleta Nasilimu na kurejea kwenye uislamu


Biblia kitabu kitamu Sana kimejaa tumaini kwa mwanadamu na Shuhuda zakumwaga Kuhusu MUNGU ,

Karibu kwa Yesu
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu

Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi

Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
 
Jini Akhi,
Kwanza tunabishanaje.?
Mtume wenu Muhammadi kasema hamuabudu ninaye mwabudu.

Nyinyi muna Mungu wenu na mimi nina Mungu wangu.

Sasa mimi nibishanaje na wewe mwenye Mungu wako na Nabii wako ?

Mimi ulinisikia wapi nalisijudia Jiwe Jeusi la Maka, Aswadi ?

Mimi ulinisikia wapi nashahadia shahada za dini yako ?

Mimi ulinisikia wapi nafunga mwezi wenu wa Marehemu Ramadhani saidi ?

Ulinisikia wapi mimi nazunguka Al-Qaba huku nikiwa nimevaa kitambaa cha sanda bila nguo ya ndani.

Ulisikia wapi mimi nawa abudu watoto wa Allah, Al-Uzza, All-Lutta na All-Manata.

Ulisikia wapi mimi naabudu nina abudu dini moja na Majini.?

Ulisikia wapi mimi nazisujudia sanamu za Nyota na Mwezi kwenye nyumba yangu ya Ibada?

Ulisikia wapi mimi Mungu wangu anasikia maombi kwa lugha ya Kiarabu tu.

Ulisikia wapi mimi ili sala yangu ikubalike lazima niangalie jiwe jeusi katika mji wa Maka wakati wa swala ?

Ulisikia wapi kitabu changu cha imani yangu kina Jina la Muhammadi ?

Ukinisikia wapi mimi naongelea kuhusu Manabii wako wa kwenye Qurani.?

Sasa wewe na mimi tunakutana wapi hadi tubishane ?

Mimi nibishane wewe kwa lipi ?
 
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu

Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi

Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
Hahahaha funny!!!
 
Mtume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo Mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake. Maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira middle east tu ambayo Mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jirani zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Ukijiuliza swali hili

Why does the Quran not mention prophets in America, Australia, Asia, Northern Europe, China, Japan, or South Africa?

Jibu litakalokujia kichwani haraka haraka ni hili

Because the writers of the Qur'an would not have been aware if these lands. Islamic religion is invented in one small area of the world (arabs land) which is why quran, hadith, & sunnah text only mentions things happen in that area only
Mwamedi alifanya biashara gani??
 
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu

Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi

Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
Kwa namna hii Sasa hata mbumbumbu hamuwezi kumdanganya

Eti Yesu alikuwa muislamu[emoji1787][emoji1787]

Kwanza lini mmeanza kuiamini biblia hasa Kitabu Cha Yohana?
 
Mwamba ngoma siku zote huivutia kwake, naona jinsi wafia dini wanavyotetea dini zao, ila pamoja na yote Mungu tunayemuabudu sisi sote Ni yule mmoja tu.
 
Pole kijana

Uislamu upo toka kwa Nabii Adam sasa ww endelea kukana

Tatizo nyie mkishahongwa mnaona mshayamaliza maisha kumbe kuna maisha baada ya kufa na huko ndipo sisi Waislamu tulipobase sanaaa kuliko hii dunia ya mpito
Eti toka Adam,

Achen kudanganya watu
 
Dohh
emoji16.png
emoji16.png
msiba huu Qurani tukufu ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ..kabla sijaenda mbali nitafutie mstari ndani ya biblia version zote zinazosema kuwa ukristo ni dini?
Ubishi wa nini?? Hiyo "Sisi" iliyotumika ni wingi wa kujitukuza. Ni sehemu ya kawaida katika Lugha ya Kiarabu. Qur'an imeshuka katika Lugha ya Kiarabu, tena fasaha mno. Na maneno iliyoyatumia ni yale yale ya Kiarabu kwa namna ile ile. Hivyo kutumia "Sisi" katika kujitukuza ni literary style ya kawaida mno katika Lugha ya Kiarabu.

Ndio maana Waarabu wenyewe, ikiwemo kabila lake la Quraysh, ambao Mtume alianza kuwalingania Uislam na Qur'an ilishuka katika lugha wanayoielewa na walikuwa fasaha sana na wakipenda sana ufasaha katika Lugha yao, hawakushangazwa na hilo. Licha ya wao kuabudu miungu zaidi ya 300 na Qur'an ilipokuja ikapinga mno kuabudu kwao wengine wasiyokuwa Allah au kumuabudu Allah pamoja na wengine (Shirki) na wao wakawa wanafanya mjadala na Mtume juu ya hilo, lakini katika ubishi wao na mjadala wao huo hawakuwahi kusema kuwa Allah anasema tumuabudu Yeye peke yake lakini mbona anatumia "Sisi"?

Kwa sababu ni jambo la kawaida mno katika lugha ya Kiarabu.

Allah amekileta Kitabu chake cha mwisho kitakachokuwa ni muongozo kwa WanaAdamu wote katika Lugha ya Kiarabu kwa sababu ya ufasaha wa Lugha hiyo. Na Waarabu ambao kwa jinsi walivyo fasaha katika lugha ya Kiarabu na wanavyopenda ufasaha katika Lugha (ndio maana pia walikuwa wanapenda mno ushairi na walikuwa hodari katika hilo), hii hoja yako wangeanza wao kwanza kuileta. Lakini umeileta wewe kwa sababu hujui lugha ya Kiarabu, na nina wasiwasi Kiswahili fasaha kitakuwa kinakusumbua pia.

Kwa hivyo hapa tatizo ni lako wewe na ni ujinga na ujinga huondolewa na Elimu.

UMUHIMU WA KIARABU

Mwenyezi Mungu alisema kitabu chake kitakatifu lazima kiandikwe, kikariri na kufundishwa kwa Kiarabu (lugha ya Muhammad) kwa Mtume Muhammad ingawa kuna maelfu ya lugha nyingine duniani.

Kipindi quran inashuka karne ya 7 tambua Lugha ya Kilatini ya Vulgar na Kichina zilikuwa ndizo lugha inayozungumzwa zaidi ulimwenguni katika karne ya 7 wakati Kurani ilifunuliwa, Kiingereza na Mandarin ndizo lugha zinazozungumzwa zaidi katika karne ya 21. Ni asilimia 5 tu ya watu duniani leo wanazungumza Kiarabu (Kiarabu ni lugha ya 5 inayozungumzwa zaidi duniani) kwa hiyo haina mantiki, inachanganya na ni upuuzi kwa nini Mungu alitaka "maneno muhimu zaidi kwa wanadamu" yatolewe mahususi kwa lugha moja tu ya Kiarabu.


Ikiwa Mwenyezi Mungu angedhihirisha fundisho lake kwa tamaduni zote na pembe zote za dunia, kungekuwa na njia inayoweza kuthibitishwa bila kutegemea kwamba kila lugha ulimwenguni ilipokea ujumbe huo huo kutoka kwa Mungu huyohuyo. Huu ungekuwa ushahidi wenye nguvu sana katika kuupendelea Uislamu.

Mwamedi alifanya biashara gani??

Biashara ya kuuza na kununua watumwa
Mwamedi alifanya biashara gani??

Hadithi na sunnah zinasema alikuwa meneja wa misafara wa biashara..

Kwa kiingereza mtume muhammad alikuwa merchant and caravan manager

miaka hiyo biashara zilikuwa za misafara.. kama umesoma somo la historia sekondari utakuwa umekutana na topic ya caravan trade.
 
UMUHIMU WA KIARABU

Mwenyezi Mungu alisema kitabu chake kitakatifu lazima kiandikwe, kikariri na kufundishwa kwa Kiarabu (lugha ya Muhammad) kwa Mtume Muhammad ingawa kuna maelfu ya lugha nyingine duniani.

Kipindi quran inashuka karne ya 7 tambua Lugha ya Kilatini ya Vulgar na Kichina zilikuwa ndizo lugha inayozungumzwa zaidi ulimwenguni katika karne ya 7 wakati Kurani ilifunuliwa, Kiingereza na Mandarin ndizo lugha zinazozungumzwa zaidi katika karne ya 21. Ni asilimia 5 tu ya watu duniani leo wanazungumza Kiarabu (Kiarabu ni lugha ya 5 inayozungumzwa zaidi duniani) kwa hiyo haina mantiki, inachanganya na ni upuuzi kwa nini Mungu alitaka "maneno muhimu zaidi kwa wanadamu" yatolewe mahususi kwa lugha moja tu ya Kiarabu.


Ikiwa Mwenyezi Mungu angedhihirisha fundisho lake kwa tamaduni zote na pembe zote za dunia, kungekuwa na njia inayoweza kuthibitishwa bila kutegemea kwamba kila lugha ulimwenguni ilipokea ujumbe huo huo kutoka kwa Mungu huyohuyo. Huu ungekuwa ushahidi wenye nguvu sana katika kuupendelea Uislamu.



Biashara ya kuuza na kununua watumwa

Hadithi na sunnah zinasema alikuwa meneja wa misafara wa biashara..

Kwa kiingereza mtume muhammad alikuwa merchant and caravan manager

miaka hiyo biashara zilikuwa za misafara.. kama umesoma somo la historia sekondari utakuwa umekutana na topic ya caravan trade.
Waislam wote ni watumwa isipokuwa WA alipokuwa anaishi mwamedi MWENYEWE yaani macca na madina si ndiooo mjibu hoja eeeh
 
Huyu jamaa bora awe anachambua mambo yanayohusu wanawake kwenye dini mweupe kabisa hana ushahidi na hafanyii utafiti kile anachokizungumza , hata mkiristo mwenzake Championship kuna siku alimkosoa jamaa na kudai hata Bible hajua anatafsiri maandiko kiujanja ujanja.

Hili ndio tatizo la mtu kujifanya mjuzi kila kitu na kuiamini sana akili yako kinyume na uhalisia ,kuna uzi wake wa kudai "Putin ni Nabii au Mtume wa zama hizi ametumwa na Mungu " yaani ugoro mtupu hajui hata vigezo vya Mtume na Nabii.
Ndio miongoni mwa "great thinkers" wa Jf huyo eti.

"Taikon" bhana
 
Kwa namna hii Sasa hata mbumbumbu hamuwezi kumdanganya

Eti Yesu alikuwa muislamu[emoji1787][emoji1787]

Kwanza lini mmeanza kuiamini biblia hasa Kitabu Cha Yohana?
Yesu ni Muislam na hu ndio ushahidi kuwa Yesu ni Muislam

Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu ni wa pekee na huyo Mungu wa pekee ndio amewatuma manabii kama Yesu na wengine huyo ni Muislam

Kama wewe unao ushahidi unasema Yesu alikuwa dini nyingine tofauti na uislam weka hilo andiko tulione

Bibilia ni faile lililokusanya vitabu vya maneno ya manabii na maneno ya watu Mungu hajaleta kitabu kinachoitwa Bibilia

Hilo andiko katika kitabu Cha Yohana ni maneno ya Yesu na maneno ya Yesu ni Injili na Injili ni kitabu cha Mungu alicho mfunulia Yesu

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili
 
Back
Top Bottom