Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Muhammad kakuta kazi za wayahudi zipo tayari yeye kasema ameshushiwa ,unashuwa vipi kitu ambacho kipo tayari

Kuna verse ni mpya kabisa kaweka hiyo ndio kazi kafanya yeye
Mfano wanawake waumini wakajitoe kwa Muhammad apige machine hii ni pure kaandika yeye

Koran 33:50 ....na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.....
wewe uliyesema quran imekopiwa kutoka biblia ,Tuwekee Aya moja tu kutoka biblia kuthibitisha plagiarism unayosema?
 
Warumi 8 :37
Lakini katika mambo haya yote tunashinda ,na zaidi ya kushinda ,kwa yeye aliyetupenda ,±³8 kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,Wala mauti ,Wala uzima,Wala malaika,Wala wenye mamlaka ,Wala waliopo,Wala yatakayokuwapo,Wala wenye uwezo,³9 Wala yaliyo juu,Wala yalio Chini ,wala kiumbe kinginecho chote HAKITA WEZA KUTUTENGA NA UPENDO WA MUNGU ULIO KATKA KRISTO YESU BWANA WETU
 
Warumi 8 :37
Lakini katika mambo haya yote tunashinda ,na zaidi ya kushinda ,kwa yeye aliyetupenda ,±³8 kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,Wala mauti ,Wala uzima,Wala malaika,Wala wenye mamlaka ,Wala waliopo,Wala yatakayokuwapo,Wala wenye uwezo,³9 Wala yaliyo juu,Wala yalio Chini ,wala kiumbe kinginecho chote HAKITA WEZA KUTUTENGA NA UPENDO WA MUNGU ULIO KATKA KRISTO YESU BWANA WETU
Huyo aliyesema hayo anakuambia pia

Warumi 7

18 Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna wema wo wote ndani yangu mimi, yaani katika mwili wangu wa asili. Ingawa nina nia ya kutenda lililo jema, lakini ninashindwa kulitenda.

19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo.
 
Kwako wewe kukataa hivyo vitabu kuwa vya kiimani unaona ni jambo la nje ya mada ndio maana unakuja na hoja za kusema Muhammad kaiba maandiko ya kwenye Torat na kufanya Qur'an ndio chanzo. Maana yake ni kwamba umekataa kuamini kwamba Qur'an si maneno ya Muhammad na kwamba ni ya Mungu(Allah) kupitia kwa Muhammad. Kwa mazingira kama hayo tunajadili vp hoja zako?

Mahakamani hoja zilizowasilishwa unazikumbuka lakini?

Moja ya hoja ni hizi;
1. Quran Kwa sehemu kubwa imejawa na hearsay kuliko Biblia
2. Quran imefanya Plagiarism na Forgery kutoka kwenye Biblia.
3. Quran haina mpangilio wa maana na wenye kueleweka unaoelezea matukio ya tawala za kidunia wakati Biblia ijayo.

4. Quran imeandikwa na Mtu mmoja ambaye anaelezea matukio ambayo hakuwepo na mazingira asiyoyajua.
Wakati Biblia inamaandiko yaliyoandikwa na manabii na mitume wengi katika matukio wanauoyajua na walioyashuhudia na Maeneo yalipotokea waliishi.

Kati ya hizo hoja kuna yoyote humu Kati yenu mawakili WA Quran mmepangua hoja hata Moja?
 
Haha, bro umeandika vitu vingi lakini umesahau kuthibitisha about orgin ya hivi vitabu, kwanza ukisoma Biblia vizuri na ukaichambua kwa ufasaha huwezi kuta kuna neno Biblia limejirudia ndani yake, maana nachojua mimi ukisoma fasihi Jina lazima lisadifu yaliyomo ndani, Asilia ya jina Bible ni na kigiriki lenye maana Baka la mti kwahio kitabu chochote kilichotengenezwa kwa baka la mti kingepewa jina la bible. Kisha fikiria kulikua na uhusiano gani wa wagiriki na wayahudi mpaka kitabu kikapewe jina Ugiriki jina ambalo lina maana haiusiani asa na kilichomo lakini soma Qur-an ni aya ngapi zimerudia neno Qur-an ndani yake. Okay kitu kingine ni uthibitisho hii namaanisha mwenye kitabu lazima athibitishe kua ni chake lazima ujue asili ya kitabu ni nini, kwa miaka niliosoma Bible hakuna aya hata moja Mwenyezi mungu anathibitisha kua anakijua kitabu kinaitwa Biblia na kwamba tukitumie sisi wanadamu kwa manufaa yoyote hakuna hii inamaana kua hakitambui, maana mwenyezi mungu kutupa uongofu lazima atupe na ufahamu kua ni vitu gani tunavifata kama msingi wa maisha na kwa hivo Biblia hajaitaja kabisa lakini hii ni big difference from the Qur-an tazama aya na mtiririko wote anathibitisha Allah Subhana wataala kua ni kitabu chake na kisichoshaka ndani yake Masha Allah. Hata tukirudi darasani kwa waliosoma General studies High school kama umeisoma Philosophy kwenye relevation inasema kulikua na Wahyi ambao ni Ujumbe unatoka moja kwa moja kwa Mwenyezi mungu kupitia malaika n philosophy inasema alishushiwa mtume Muhammad(S.A.W) mbona haikuongelea kuhusu Bible io inaonesha Bible ni udhaifu mkubwa sana sababu ni utunzi tu wa watu.

Jina la kitabu sio lazima liwe ndani ya kitabu.
Ila kwenye Fasihi kuna swali litaulizwa, je jina la kitabu linasadifu yaliyondani ya kitabu?

Kusadifu unajua maana yake?
 
Mahakamani hoja zilizowasilishwa unazikumbuka lakini?

Moja ya hoja ni hizi;
1. Quran Kwa sehemu kubwa imejawa na hearsay kuliko Biblia
2. Quran imefanya Plagiarism na Forgery kutoka kwenye Biblia.
3. Quran haina mpangilio wa maana na wenye kueleweka unaoelezea matukio ya tawala za kidunia wakati Biblia ijayo.

4. Quran imeandikwa na Mtu mmoja ambaye anaelezea matukio ambayo hakuwepo na mazingira asiyoyajua.
Wakati Biblia inamaandiko yaliyoandikwa na manabii na mitume wengi katika matukio wanauoyajua na walioyashuhudia na Maeneo yalipotokea waliishi.

Kati ya hizo hoja kuna yoyote humu Kati yenu mawakili WA Quran mmepangua hoja hata Moja?

expand...
wewe uliyesema quran imekopiwa kutoka biblia ,Tuwekee Aya moja tu kutoka biblia kuthibitisha plagiarism unayosema?
 
wewe uliyesema quran imekopiwa kutoka biblia ,Tuwekee Aya moja tu kutoka biblia kuthibitisha plagiarism unayosema?
Hii hapa moja ya Aya Muhammadi ali ikopi toka kwenye Bibli bila kutoa Aknowledgement.

Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.
 
Watu wanao fuata Uislamu kwa usahihi wake ni.
ISIS
Boko haram
Al-Qaida
Answali Sunna
Daesh
Taleban
Nk.
Wanaotuchinja Wakristo na Wayahudi.
Bila kuwakosea. Ndio wameagizwa hivyo na mungu wao Allah.

Aya ipo.
 
Hii hapa moja ya Aya Muhammadi ali ikopi toka kwenye Bibli bila kutoa Aknowledgement.

Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Huyo kama hajui Quran imefanya plagiarism kutoka kwenye Biblia achana naye kwani sio ajabu haijui hiyo Quran wala hiyo Biblia.
Angekuwa anaijua wala asingeuliza Hilo swali
 
Hii hapa moja ya Aya Muhammadi ali ikopi toka kwenye Bibli bila kutoa Aknowledgement.

Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.
expand...
Usijifanye hamnazo hiyo ndiyo plagiarism iliyokosa Mungu anayestarehe?

wewe uliyesema quran imekopiwa kutoka biblia ,Tuwekee Aya moja tu kutoka biblia kuthibitisha plagiarism unayosema?
 
Koran huwezi kuitumia kama rejea , inataja majina tu haikupi maelezo ya kutosha

Unakuta yakobo anaitwa yakobo mara ghafla anakuwa Israel na wala hakuna maelezo ilikuwaje jina likabadilika

Story kama ya Musa ipo scattered kwenye surah mbali mbali , mara Allah asema waisrael walirith misri Yani full kujichanganya
Allah ndo mnyama gani?
 
Usijifanye hamnazo hiyo ndiyo plagiarism iliyokosa Mungu anayestarehe?

wewe uliyesema quran imekopiwa kutoka biblia ,Tuwekee Aya moja tu kutoka biblia kuthibitisha plagiarism unayosema?
uislamu ulitoka wapi??Na Allah anakaaje kisura??
 
uislamu ulitoka wapi??Na Allah anakaaje kisura??

Hii hapa moja ya Aya Muhammadi ali ikopi toka kwenye Bibli bila kutoa Aknowledgement.

Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Hii ndiyo plagiarism

one.[2]


Over three-quarters of Mark's content is found in both Matthew and Luke, and 97% of Mark is found in at least one of the other two synoptic gospels.

Additionally, Matthew (24%) and Luke (23%) have material in common that is not found in Mark.[1]
 
Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.
 
Aya za Shetani

Surah Al-Baqarat Ayah 1

الٓمٓ
Alif Lam Mim.

(Hapa ni Majini yanaongea na hii ni lugha ya Majini.
Ni vile vitoto visharifu tu vinaweza kuitafsiri hii Aya, au Shehe Sharifu Majini, au mtoto wa Shehe Yahya hussein, au Mwislamu yoyote mwenye Majini. Kwakuwa wana majini lukuki ndani yao.

Mwislamu wa kawaida hata asome vipi hawezi kutafsiri hii Aya, ndio maana wameshindwa kuitafsiri kwa lugha ya Kiswahili kwenye qurani ya Kiswahili.
Maneno yanabaki hivyo hivyo iwe qurani ya Kiingereza Kiyunani au Kiswahili.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Surah At-Tawubat Ayah 29

قَٰتِلُواْ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱللَّهِ وَلَا بِٱلۡيَوۡمِ ٱلۡأٓخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ ٱلۡحَقِّ مِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ حَتَّىٰ يُعۡطُواْ ٱلۡجِزۡيَةَ عَن يَدٖ وَهُمۡ صَٰغِرُونَ
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet’ii.

(Hii Aya inawaamuru wawapige na kuwaua wasio mwamini Muhammadi na Allah wake tu basi, bila kufanya kosa lingine lolote.

ISIS, Boko haram na Al-qaida ndio wanao itekeleza kwa usahihi hii Aya.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Surah A-NajmAyah 19

أَفَرَءَيۡتُمُ ٱللَّٰتَ وَٱلۡعُزَّىٰ
Je! Mmemuona Lata na Uzza?

Surah A-Najm Ayah 20

وَمَنَوٰةَ ٱلثَّالِثَةَ ٱلۡأُخۡرَىٰٓ
Na Manaat, mwingine wa tatu?


Surah A-Najm Ayah 21
أَلَكُمُ ٱلذَّكَرُ وَلَهُ ٱلۡأُنثَىٰ
Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?

(Hao ni watoto wa Allah ambao Muhammadi amewaambia waislamu wawa abudu. Na yeye aliwaabudu kipindi chote cha uhai wake.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Surah At-Tawubat Ayah 5

فَإِذَا ٱنسَلَخَ ٱلۡأَشۡهُرُ ٱلۡحُرُمُ فَٱقۡتُلُواْ ٱلۡمُشۡرِكِينَ حَيۡثُ وَجَدتُّمُوهُمۡ وَخُذُوهُمۡ وَٱحۡصُرُوهُمۡ وَٱقۡعُدُواْ لَهُمۡ كُلَّ مَرۡصَدٖۚ فَإِن تَابُواْ وَأَقَامُواْ ٱلصَّلَوٰةَ وَءَاتَوُاْ ٱلزَّكَوٰةَ فَخَلُّواْ سَبِيلَهُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٞ رَّحِيمٞ
Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

Hapa wanaambiwa wakisha maliza mwezi wa Marehemu Saidi Ramadhani (Mwarabu wa Madina) basi wawaue washirikina wote, bila sababu.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

Hapa Allah anamwomba Yehova awa laani Wakristo na Wayahudi kwakuwa hawapendi.
Na hadi leo hii hajakubaliwa kwakuwa bado tupo na nguvu na baraka tele

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Surah Al-Maidat Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Hapa Shetani anawaambia kuwa Maadui zao ni Wayahudi na Wakristo.
Yaani Mwislamu hata kama usipo mkosea na huujui hata huo uislamu, ukiwa tu ni Mkristo au Myahudi basi wewe ni adui wa Uislamu na mwislamu.
Vitoto vinafundishwa Madrasa siku zote kuwa maadui zenu ni Wakristo na Wayahudi.
Bila sababu yoyote ya msingi. Yaani Wabudha, Warastafariani, Wahindu, Wauza madawa ya kulevya, Wamomoni, Wafreemasons, Wailluminati Nk. Hao wote ni marafiki wa Uislam na waislamu.
Maadui zao ni Wakristo na Wayahudi tu basi.
Na kisa ni kuwa wana Vitabu vyao vya imani ambavyo Muhammadi havipendi. Yaani Shetani haipendi Biblia na wanao iweka kuwa kitabu chao. Hakuna sababu nyingine.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Surah Al-Djini Ayah 1

قُلۡ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ ٱسۡتَمَعَ نَفَرٞ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَقَالُوٓاْ إِنَّا سَمِعۡنَا قُرۡءَانًا عَجَبٗا
Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur’ani ya ajabu

( hii ni Aya ya kwanza, hii sura yote ni ya wenye dini ya Kiislamu. (Majini)
Yale yaliyomtokea Muhammadi pangoni yakampa kipondo nusu yachukie roho yake.
Na hayakumwambia Muhamadi wao ni akina nani.

Leo hii huko Madrasut watoto wadogo wa Waislamu wanakaririshwa Qurani kwa vipigo vikali kama alivyo fanyiwa Muhammadi kule pangoni.
Yaani wanakandwa hadi basi ili wasome, Ikraa Bismi Rabik kwa lazima, kama alivyo kandwa Muhammadi na Majini kule pangoni.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Leo hii waislamu wengi wanajua kuwa Allah ndio Yehova.
Ndio maana wako humu wanabishana kwa jasho na damu.

Leo hii unashangaa baadhi ya Waislamu wanaiponda Biblia, wanasema imetiwa mikono na ni feki.
Lakini wakijisahau kidogo tu wanasema Muhammadi ni mtume wa Mungu Yehova na ametabiriwa kwenye Biblia. (hiyo hiyo iliyo chakachuliwa)

Allah ni Shetani yaani Ibirisi Rusifa.
Ndio maana anawageuza walisujudie na kuliabudu jiwe Jeusi Aswadi la kule Maka.
Na kuwawekea sanamu za Mwezi na Nyota Misikitini ili wazisujudie.
Huo ndio utume wa Muhammadi wa Majini.

&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Sitaki ku plagiarise, haya maneno, machache nimeyatoa kwenye kitabu kizuri cha

Aya Za Shetani
By Salman Rushdie.

The Satanic Verse.

Siku nyingine nitatoa na kuzielezea Aya nyingine.

Kama umebahatika kuwa Mkristo baki hivyo hivyo.
Umejaaliwa na Mungu kupata Neema na Rehema zake bure kabisa.
 
Mungu anasema

Isa 46:5 SUV​

Mtanifananisha na nani, na kunisawazisha naye, na kunilinganisha naye, ili tuwe sawasawa?

Uislamu ni neno lenye maana ya amani , inatoka kwa Mungu
kwa uislamu hakuna amani,ukifuatilia uislamu zaidi unakuwa jihad,alafu nimekuuliza Uislamu Kama dini ilianza lini??na ikaletwa na Nani???na Allah anakaaje kisura????
 
kwa uislamu hakuna amani,ukifuatilia uislamu zaidi unakuwa jihad,alafu nimekuuliza Uislamu Kama dini ilianza lini??na ikaletwa na Nani???na Allah anakaaje kisura????



Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Mbona ulisahau kuweka mungu wako ALIYESTAREHE ???
 
Back
Top Bottom