Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

SI suala la kuongea tu ni jee unaongea la maana ? sio kama wewe humu JF maandishi yako ni Figisufigisu tupu
Mi sijawahi kuongea mambo yangu humu.
Huwa kila ninacho ongea nanukuu nilipotoa hiyo habari.
 
Nyani haoni kundule 😛
Myani ni Kiumbe cha Mwenyezi Mungu ninaye mtambua.

Na namheshimu sana Nyani.
Kupita watu wanafiki wasiojitambua.

Tufanye hilo kundu analo Nyani tu basi.
Wewe hunalo.
 
Wewe ndio huelewi unachoandika.
Ukishasema Imani hapo unazungumzia culture ya jamii Fulani.
Mahali ulipozaliwa na kuishi ndipo pata-determine Imani yako.

Ungezakiwa Kwa wachina na kuwa mchina possibility kubwa ya kuwa mbudha ni uhakika.
Jaribu kusoma ili uelewe.

Tanzania tuna tamaduni zetu ila imani za uislamu na ukristo ndio zimetawala na hivyo mtoto anayezaliwa Tanzania ana possibility kubwa kuwa muislamu au mkristo.
 
Myani ni Kiumbe cha Mwenyezi Mungu ninaye mtambua.

Na namheshimu sana Nyani.
Kupita watu wanafiki wasiojitambua.

Tufanye hilo kundu analo Nyani tu basi.
Wewe hunalo.
Kwani nilikuambia nyani ni kiumbe cha shetani?

 
Jibu swali , usilete uda

Huoni hapa the gospel of God , kuna Gospel of marko au Israel hapo

Mark 1:14
Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God



Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
Hizi nyundo za vichwa wanazigopa sana.We piga hapohapo panauma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipepe%2B6.jpg
 
kwani muhamadi ndio aliiandika Quran hadiuseme amaibia ibia? halafu unasema allah hanauwezo wakati ulisema kila jamii inamungu wake allah unamlinganisha na mungu wajamii ipi?

Quran ameshushiwa Nani?

Allah kaiba visa na wahusika wa mungu Yehova.


Embu toa Wayahudi wote kwenye kitabu cha Quran alafu matini itakayobali iangalie Kama itakuwa na maana yoyote
 
Quran ameshushiwa Nani?

Allah kaiba visa na wahusika wa mungu Yehova.


Embu toa Wayahudi wote kwenye kitabu cha Quran alafu matini itakayobali iangalie Kama itakuwa na maana yoyote
sasa Allah amewajuaje wahusika wamungu yehova? hadi akawaandika kwenye kitabu chake
 
sasa Allah amewajuaje wahusika wamungu yehova? hadi akawaandika kwenye kitabu chake
Alikuta wameshaandikwa aka copy na ku add spices na ku edit na kufanya yake

Watu walikuwa wanamwambia Muhammad Kwa Nini ana copy na kusomulia story ambazo tayari zipo

Mpaka Allah anasema walikuwa wanamwambia ni story za kale na zinajulikana

Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
 
Alikuta wameshaandikwa aka copy na ku add spices na ku edit na kufanya yake

Watu walikuwa wanamwambia Muhammad Kwa Nini ana copy na kusomulia story ambazo tayari zipo

Mpaka Allah anasema walikuwa wanamwambia ni story za kale na zinajulikana

Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
ali yajuaje Hadi akaandika kwenye kitabu chake? au lugha zinafanana?
 
Nukuu

"Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki"

Tuende hivyo hivyo na tumuulize jaji iwapo atapokea ushahidi wa Quran ulioleta.

Jaji anaingia mahakamani.

Quran kama mshitakiwa anaanza kujenga hoja.

(AL - MAIDA - 116)
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu(YESU)! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.


Suali; anaulizwa Mshitaki.

Ni wapi yesu kasema "Mimi Yesu, Mimi Mungu.

Jibu kwa kutumia matukio yaliyotokea
BIBLIA ANAPANDA MAHAKAMANI KUJITETE MWENYWEWE TUYULIE TUMSIKIE!

Yesu katika Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.” Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa wayahudi, “hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33). Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu. Katika aya zifuatazo hawasahihishi wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.” Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30). Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?

Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!

Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). Yesu hamsahihishi kwa kuyasema haya. Tito 2:13 inatuhimiza kusuburi kurudi kwa Mungu wetu na mwokozi – Yesu kristo (Pia tazama petro wa pili 1:1). Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”

Katika kitabu cha ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru mtume Yohana kumuabudu Mungu tu(ufunuo wa Yohana 19: 10). Mra nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.

Sababu muhimu ya kwamba Yesu sharti awe Mungu ni kwamba kama si Mungu, kufa kwake hakungetoshea kufidia dhambi za ulimwengu wote (Yohana wa kwanza 2:2). Mungu pekee ndiye angeweza kulipia adhabu kama hiyo. Mungu pekee ndiye angeweza kufidia dhambi za ulimwengu wote w (Wakorintho wa pili 5: 21), afe na afufuke kuthibitisha ushindi juu ya dhambi na mauti.
 
ali yajuaje Hadi akaandika kwenye kitabu chake? au lugha zinafanana?
Huyu mwamba waraq alivyokufa Muhammad alichanganyikiwa alijua hapati tena maandiko ya ku copy msome

... " But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains... Sahih al-Bukhari 6982

nakupa maswali fikirishi wewe kama mwanafunzi wangu kwa sasa
1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
 
Back
Top Bottom