Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yees!!Haya mambo inabidi kuyafuatilia ukiwa na humble mind, ukifanya hvyo utagundua ukweli wote....
Biblia ni kitabu kilichoandikwa na Yehova mungu kupitia wanadamu ...wanadamu waliandika mawazo yaliotoka kwa mungu kupitia roho takatifu ya munguKuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Kwani Biblia ni nini?Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia
Vilishushajwe?vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
Ilishushwaje na ilishushiwa wapi?1.Zaburi
Ilishushwaje na ilishushiwa wapi?2.Torati
Injili ni nini ilishushwaje na ilishushiwa wapi?3.Injili
Tufuate nini Sasa??4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa
Jibu hilo....Jibu basi Maswali niliyouliza??
Hata voynich manuscript imetuacha dilemaKuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Chagua yoyote ile.Biblia ipi? Maana zipo nyingi. Kuna wanaotumia wa orthox, vatican na wengine. Kila moja inatafsiri zilizotiwa chumvi.
biblia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu vingi. Waandishi wake waliandika kwa kuongozwa na roho mtakatifu. Kama unaamini uislam na quran yake why usiamini biblia? Quran yenye imekopi biblia. Waislam hamna haki kuhoji hoji uandishi wa biblia wakati quran imejaa utata wa kuandikwa kwake. Tulieni acheni kutikisa setting za duniaYesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.
Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.
Biblia ilitungwa na warumi ambao ndio waanzilishi wa kanisa baada ya kuiba maandiko ya hadithi za waafrika walioishi miaka mingi kabla ya uwepo wa dini yoyote hapa dunian wala uwepo wa jamii za watu weupe.Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
1.Zaburi
2.Torati
3.Injili
4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa
Walimtesa mtume gan una uhakika? Alafu hata historia ya hitra kuwaua hao hamuijui, pili ugomvi wa waislam na hao hata hamuujui mmejazwa uongo na media+viongoz wenu wa kidin nanyi mnaamini.Maadui wa ukristo ni wayahudi
Maadui wa uislam ni wayahudi
Hitler alipowaua wayahudi alikua anajua anapigana na nani
Hao jamaa wametesa karibia mitume wote wa mungu kama unazani wayahudi ni rafiki zako kawasome tena
Kama ilivyo Qur'an imejazwa uongo na uzushi, huyo Allah ni muongo kawaaminisha wapumbavu kwamba alishusha vitabu kwa huyo mtume feki asiyejua kusoma zaid ya ubakaj kwa watoto..Yesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.
Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.
Uongo huu, kitabu kinachoeditiwa kinaweza kuwa Neno la Mungu? Yaan kitabu kilichopitia michakato ya uandishi kwa kufutwa baadhi ya vitabu na mistari kinaweza kuwa Neno la Mungu? Ama huyo Mungu wenu kigeugeu maana kawakataza kuongeza wala kupunguza mambo ktk hilo mnaloita Neno lake.Biblia ni kitabu kilichoandikwa na Yehova mungu kupitia wanadamu ...wanadamu waliandika mawazo yaliotoka kwa mungu kupitia roho takatifu ya mungu
Na kiliandikwa kwa ajili ya wanadamu ili wajifunze kupitia mambo yaliopita yaliopo na yatakayo kuja
1timotheo 3:16
Pia biblia inatupa uhusiano mzuri pamoja na mungu ,kadri tunavyosoma na kuelewa biblia ndivyo kadri tunazidi kumjua yeye na sifa zake kuu kama upendo,nguvu,hekima na haki
-Bibilia haijatungwa bali ni mkusanyiko wa vitabu mbali mbali kutoka kwa waandishi (Manabii, Mitume na wanafunzi wa Yesu) venye kuelezea habari za Mungu, mafunzo na Maagizo.Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Hili sijajua kwa kweliKuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Leta ushahidi.Kama ilivyo Qur'an imejazwa uongo na uzushi, huyo Allah ni muongo kawaaminisha wapumbavu kwamba alishusha vitabu kwa huyo mtume feki asiyejua kusoma zaid ya ubakaj kwa watoto..
Kwa muafrika mwenye akili timamu hawezi kuwa mfuasi wa uislam wala ukristo, hizo dini zimetungwa special kwa wapumbavu waziamini
Umechanganya mambo, ili kuyajadili vizuri ngoja tuyachambuwe:biblia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu vingi. Waandishi wake waliandika kwa kuongozwa na roho mtakatifu.
Yes, Wayahudi hawajawahi kuukubali Ukristo wala injili ya Yesu Kristo.Una uhakika hao ni Waisrael ?
Kuna Mahali nimesema Yesu Kristo anaijua Biblia? Mbona unapenda kujizezetesha bila ya sababu za Msingi?
Kwa ivo unataka kusema Ili Biblia iwe Biblia ni Lazima ndani mwake kuandikwe neno Biblia?? Acha kujichetua wewe Mzee!!