Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
1.Zaburi
2.Torati
3.Injili
4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa

Uwe na akili
Biblia sio kitabu
Biblia ni neno la mkusanyiko wa vitabu bu
Kama ilivyo dictionary sio kitabu bali ni umoja wa maneno
 
Yesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.

Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.

Uwe na akili biblia sio kitabu biblia ni neno tu

Maana ya neno biblia ni vitabu sio kitabu ni vitabu Yaani kwa wingi
 
Biblia & Quran ni vitabu vya hadithi vilivyotungwa ili iwe rahisi kutawala watu, unawamezesha watu matango pori yakishawakolea unaanza kuwa command kama maroboti, unawaambia kabisa hamruhusiwi kuhoji hiki nachowafundisha na mkifikiri tifauti ni sawa na mmetenda dhambi mtaenda motoni, mazombi yanaitikia Sawa Shemasi/Sheikh
 
Mkusanyiko wa vitabu au siyo?

Nani aliviita "biblia" kwa mara ya kwanza? Kwanini isiwe babcheka?

word Bible is derived from Koinē Greek: τὰ βιβλία, romanized: ta biblia, meaning "the books" (singular βιβλίον, biblion). The word βιβλίον itself had the literal meaning of "scroll" and came to be used as the ordinary word for "book".

Biblia ni neno la kigiriki ambalo maana yake ni vitabu
Yaani unaposema biblia kwa Kiswahili ujue una maanisha vitabu
 
Huwezi kutunga hcho kitabu , ni either ukiamini au au usiamini , your choice , na usipoamini basi better ukae kimya , hakuna kitu cha kutungwa kinaweza last longly namna hyo , na kuwa widespreaded kiasi hcho Karne na Karne hakuna kitu kama hcho , vtu vyote vinavyodumu Karne zote ni halisi...
Akili huna wewe tuishie hapo ,,hutakuja kuelewa umemezeshwa vibaya sana
 
Biblia ni kitabu kilichoandikwa na Yehova mungu kupitia wanadamu ...wanadamu waliandika mawazo yaliotoka kwa mungu kupitia roho takatifu ya mungu

Na kiliandikwa kwa ajili ya wanadamu ili wajifunze kupitia mambo yaliopita yaliopo na yatakayo kuja
1timotheo 3:16

Pia biblia inatupa uhusiano mzuri pamoja na mungu ,kadri tunavyosoma na kuelewa biblia ndivyo kadri tunazidi kumjua yeye na sifa zake kuu kama upendo,nguvu,hekima na haki
Kwanini kitabu kilichoandikwa na Mungu mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kina contradiction lukuki?
 
biblia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu vingi. Waandishi wake waliandika kwa kuongozwa na roho mtakatifu. Kama unaamini uislam na quran yake why usiamini biblia? Quran yenye imekopi biblia. Waislam hamna haki kuhoji hoji uandishi wa biblia wakati quran imejaa utata wa kuandikwa kwake. Tulieni acheni kutikisa setting za dunia
Hata biblia nayo imesheheni contradiction nyingi tu.

Uwepo wa contradiction hizo zinaonyesha kabisa kuwa si kitabu cha Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.
 
Biblia ilitungwa na warumi ambao ndio waanzilishi wa kanisa baada ya kuiba maandiko ya hadithi za waafrika walioishi miaka mingi kabla ya uwepo wa dini yoyote hapa dunian wala uwepo wa jamii za watu weupe.
Infropreneur kasema ni hadithi za Wayahudi, inakuwaje wewe unasema ni za Waafrika?
Biblia+Qur'an sio vitabu vitakatifu bali ni maandiko ya watu waliotunga kwa manufaa yao ya kucontroll akili za watu kwa kuwajaza uwoga na kuwaaminisha uongo.
Hao watu ndiyo tunataka kuwajua walikuwa wakina nani??
Historia za waafrika ndizo zilicopiwa na kuunda uyahudi then uyahud ukacopiwa na kuunda ukatoric then ukristo(mgawanyiko wa makanisa) then ukaundwa uislam kutoka ktk nadharia za uongo za ukristo walitunga warumi wakishirikiana na waarabu kuunda uislam, then baadae hizi dini zikarudi tena Afrika kwa kutuaminisha ni dini takatifu kumbe uzushi mtupu na uongo mwingi.
Hii nadharia yako utaithibitishaje?
Bible imepitia michakato mingi ya kuedit kama kwel Neno la Mungu linaeditiwa je laweza kuwa kwel?
Neno la Mungu ni lipi na kipi kinatokea linapoeditiwa??
 
Biblia & Quran ni vitabu vya hadithi vilivyotungwa ili iwe rahisi kutawala watu, unawamezesha watu matango pori yakishawakolea unaanza kuwa command kama maroboti, unawaambia kabisa hamruhusiwi kuhoji hiki nachowafundisha na mkifikiri tifauti ni sawa na mmetenda dhambi mtaenda motoni, mazombi yanaitikia Sawa Shemasi/Sheikh
Jibu maswali niliyouliza??
 
Hata biblia nayo imesheheni contradiction nyingi tu.

Uwepo wa contradiction hizo zinaonyesha kabisa kuwa si kitabu cha Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.
Jibu maswali nilyoulliza kabla ya.kukosoa maudhui ya kitabu!
 
Kwani wameanza kukataa habari za yesu Leo ?
Toka kipindi yesu yupo duniani walikataa habari zake na kumwambia yeye sio masii wa Mungu
Mungu akawapa laana

Mathayo 21:43

43Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa
Wanao kataa wengi hawana akili
 
Back
Top Bottom