Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

vitabu vya mungu na mitume waliopewa vitabu hivyo ni

Zaburi kwa daudi
Torati kwa mussa
Injili kwa issa
Qur an muhammad

Mnaposema biblia nacho ni kitabu cha muumba
inabidi pia mseme mtume aliepewa kitabu hicho ni mtume gani.

Lete uthibitisho wa uliyoandika na wala isiwe uliyoaminishwa kwenye madrasa zenu! Kila kitu lazima kithibitishwe na source iwepo siyo mambo ya madrasa hapa!
 
Ukisoma Fasihi simulizi, kuna mahala nadharia inasema kuwa biblia nikitabu kilichotungwa na watu katika Mashariki ya kati kwa malengo ya kuwatia faraja watu waliokuwa wanakumbwa na matatizo mbalimbali ya kimaisha, lakin kiroho, biblia imeandikwa na mitume wa mwenyezi Mungu walioshushiwa maono na nguvu ya roho mtakatifu.
Hivyo haifahamiki waziwazi
 
Habari ya yesu sio utamaduni wa mzungu?

Watu wanasali jumapili, huo sio utamaduni wa mzungu?
Unatakiwa utuambie kwa mujibu wa biblia Yesu ni mzungu.Sio maneno ya mdomoni.Maana hapa mada ni Biblia,usilete mambo yanayofanywa na wasiotahiriwa ambayo hayapatikani kwenye Biblia ndo uyafanye ushahidi wako
 
Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
1.Zaburi
2.Torati
3.Injili
4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa
Mbna vyote naona ni vya wazungu n waarabu ilhali umesema tusiwafuate?
 
We mleta hoja, rudi kasome biblia the holy bible in kiswahili, 1952 union version, usome dibaji tu, jibu lako lipo hapo, kisha uje na hoja zilizoshiba tuzipangue
 
Alikuwa anashusha nani na kwa maandishi ya aina gani? Na katika ukubwa wa ulimwengu huu hata huko China, Urusi, New Zelsnd mbona havikushushwa?
Baada ya mnara wa babeli kudondoka ndio lugha zilitawanyika na kuwa nyingi hivo watu waliweza kujuana na kisikilizana kutokana na sauti zao na kuelewana kwao ndipo chimbuko la lugha kiimani

Jamii yoyote lazma iwe na muongozo wa maisha ili kupunguza unyama na ukatili hivo mungu alishosha hivo vitabu kulingana na jamii husika na vikasambaa dunia nzima

Swali la msingi unaweza ukaona Tanzania tuna makabila mengi na yote yanaongea lugha yake lakin chimbuko la hizo lugha ni wapi Hali yakuwa watu walikuwa hawajui kuandika wala Elimu haikuwepo ila mpaka Leo bado lugha hizo zipo
 
Kizazi kisichoamini kinazidi kuongezeka, unabii unatimia, giza la kiroho kuenea kuashiria ule mwisho umekaribia na yule mtawala wa dunia kushika hatamu, waamini hawatakuwepo, ataongoza wasioamini mpaka waipate fresh wajiookoe kwa gharama kubwa ya damu zao
 
Quran sio kiarabu Kuna waarabu hawajui Quran na Wana Dini zao
Dah 😄 uzuri wake kuna Google.
Ina maana Classic Arabic sio lugha ya Kiarabu? Makubwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20230917-144855.jpg
    Screenshot_20230917-144855.jpg
    44.1 KB · Views: 7
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadit

Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Ukipata kitabu kilichoandikwa "vipindi saba vya historia ya mwanadamu na maongozi ya Mungu kitajibu maswali yako.
 
We mleta hoja, rudi kasome biblia the holy bible in kiswahili, 1952 union version, usome dibaji tu, jibu lako lipo hapo, kisha uje na hoja zilizoshiba tuzipangue
Hii inasaidia kujibu maswali niliyouliza?

Jee unaamini Kila kilichoandikwa kwenye Hiyo" the holy Bible in Kiswahili, union Version" au unaamini dibaji peke yake?
 
Hii inasaidia kujibu maswali niliyouliza?

Jee unaamini Kila kilichoandikwa kwenye Hiyo" the holy Bible in Kiswahili, union Version" au unaamini dibaji peke yake?
dibaji ni ufafanuzi kwa ufupi kile kilichoandikwa ndani. Biblia ni kubwa, ni maarifa na filosofia, inategemea unaamini vipi maandiko hayo. Kama unachukulia kama novel tu utaishia kuona hivyo. Ukiona kuna maarifa utapata matokeo utayaona
 
dibaji ni ufafanuzi kwa ufupi kile kilichoandikwa ndani. Biblia ni kubwa, ni maarifa na filosofia, inategemea unaamini vipi maandiko hayo. Kama unachukulia kama novel tu utaishia kuona hivyo. Ukiona kuna maarifa utapata matokeo utayaona
Mada yangu imebebwa na maswali.
 
Huwezi kutunga hcho kitabu , ni either ukiamini au au usiamini , your choice , na usipoamini basi better ukae kimya , hakuna kitu cha kutungwa kinaweza last longly namna hyo , na kuwa widespreaded kiasi hcho Karne na Karne hakuna kitu kama hcho , vtu vyote vinavyodumu Karne zote ni halisi...
Hakuna siri kuhusu Bible, kuhusu walioandika, lini iliandikwa na walioamua maandiko yawe sehemu ya Bible vyote vinajulikana, ukiamua kufuatilia na kusoma deep utaelewa mambo mengi sana, ila kwa ufupi kila kitu kwenye Bible ni maandiko/hadithi kutoka kwa wanadamu kama wewe na mimi
 
Back
Top Bottom