Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Za kutunga au no nakuachia wewe uamue mwenyewe, ila Bible sio kitabu cha kwanza " KITAKATIFU". civilization nyingi zimeishi hii dunia na nyingi zilikuwa zina Bible zao ambazo hazipo tena, hata sasa sehemu nyingi duniani wanaamini na wana vitabu vyao kuanzia budha, Hindu, Singa, shinto, Chinese etc, ukristu na uislam ni vitu waafrica wengi ndio tunajua kwa sababu ya ukoloni, nina uhakika tungetawaliwa na mchina au muhindi leo tungekuwa tunaamini in Hinduism or something else, na bila ukoloni leo ungekuwa unaamini kwa mungu wa babu yako Kingaru , hizi dini ni imani tuu na imani ziko nyingi sana, mataifa ya wastaarabu wana kitu inaitwa separation of church and state,
Kwa hiyo malengo au mwelekeo wa imani hizo hasa ni nini,hindu,budha,chines , Islamic nk
 
Nani anayefahamu kuhusu dead sea scrolls
IMG_20230917_222139.jpg

Hizi ni katika nyaraka Zina onesha kuchakachuliwa wa mafundisho na utofauti wa vitabu wa versions za Sasa na vitabu vya kale kabla ya kanisa kuwa de facto wa biblia
 
Za kutunga au no nakuachia wewe uamue mwenyewe, ila Bible sio kitabu cha kwanza " KITAKATIFU". civilization nyingi zimeishi hii dunia na nyingi zilikuwa zina Bible zao ambazo hazipo tena, hata sasa sehemu nyingi duniani wanaamini na wana vitabu vyao kuanzia budha, Hindu, Singa, shinto, Chinese etc, ukristu na uislam ni vitu waafrica wengi ndio tunajua kwa sababu ya ukoloni, nina uhakika tungetawaliwa na mchina au muhindi leo tungekuwa tunaamini in Hinduism or something else, na bila ukoloni leo ungekuwa unaamini kwa mungu wa babu yako Kingaru , hizi dini ni imani tuu na imani ziko nyingi sana, mataifa ya wastaarabu wana kitu inaitwa separation of church and state,
Maelezo yako ni mazuri Lakini hujajibu swali la Msingi kuelezea kama Biblia ni kitabu cha kutungwa au la?

Hata hizi Imani zingine ulizozitaja nazo zina historia na Falsafa zake. Na siyo kweli Mungu Kwa msingi ya Imani ni yule yule Kwa kila Imani!!
 
Nani anayefahamu kuhusu dead sea scrollsView attachment 2752830
Hizi ni katika nyaraka Zina onesha kuchakachuliwa wa mafundisho na utofauti wa vitabu wa versions za Sasa na vitabu vya kale kabla ya kanisa kuwa de facto wa biblia
Kwa waliosoma mambo ya fasihi na historia yake, wanajua kwamba jambo Moja huweza kuripotiwa ama kutafsiriwa tofautitofauti na watu Wa nyakati husika.

Wewe Unadhani ukisoma kitabu kitakachoandikwa na Tundu Lissu kuhusu Hayati John Pombe Magufuli kitafanana na kile kitakachoandikwa na Paul Makonda au Sabaya??

Kwa ivo hakuna kuchakachuliwa Kwa maelezo. Na kanuni inayotumika Kwa uunganishaji Wa habari za Biblia ni kutumia maandiko yote yaliyopo Kwa kuyalinganisha na kuchagua Yale yanayofanana zaidi na kuyatumia.
 
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Biblia haikutungwa, Biblia ni halisi, ni historia ya kweli, waliandika watu kama wewe dhidi ya watu wao ambao walikua na nguvu na matukio waliokua wanafanya, kitu ambacho hata Afrika ingeibuka na manabii iwapo watu wangeamua kufanya hivyo, rejea nguvu za miujiza za mtu wa kiSukuma aliitwa Ngw'anaMalundi, ila wale wa kwenye Biblia manabii, Kisha ukaambiwa wa huku kwetu ni wachawi.
 
Hatutaki porojo zako, weka ushahidi wa maandiko.
hakuna porojo hapa, Kula chuma hiko

Luka 4:16-21
[16]Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.
And he came to Nazareth, where he had been brought up: and, as his custom was, he went into the synagogue on the sabbath day, and stood up for to read.

[17]Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
And there was delivered unto him the book of the prophet Esaias. And when he had opened the book, he found the place where it was written,

[18]Roho wa Bwana yu juu yangu,
Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao,
Na vipofu kupata kuona tena,
Kuwaacha huru waliosetwa,
The Spirit of the Lord is upon me, because he hath anointed me to preach the gospel to the poor; he hath sent me to heal the brokenhearted, to preach deliverance to the captives, and recovering of sight to the blind, to set at liberty them that are bruised,

[19]Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.
To preach the acceptable year of the Lord.

[20]Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
And he closed the book, and he gave it again to the minister, and sat down. And the eyes of all them that were in the synagogue were fastened on him.

[21]Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.
And he began to say unto them, This day is this scripture fulfilled in your ears.
 
Maana inatakiwa mtu athibitishe pasipo shaka kuwa majina ya watu na sehemu zilizotajwa kwenye Biblia ni bandia na matukio yaliyotajwa hayakuwahi kutokea.
 
Maana inatakiwa mtu athibitishe pasipo shaka kuwa majina ya watu na sehemu zilizotajwa kwenye Biblia ni bandia na matukio yaliyotajwa hayakuwahi kutokea.
Hadithi tu zilivyoandikwa zinautata kiasi cha kufungua uwanja wa kuzihoji uhalisia wake.

Asemaye ni za kweli ndiye anaepaswa kuprove
 
hakuna porojo hapa, Kula chuma hiko

Luka 4:16-21
[16]Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.
And he came to Nazareth, where he had been brought up: and, as his custom was, he went into the synagogue on the sabbath day, and stood up for to read.

[17]Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
And there was delivered unto him the book of the prophet Esaias. And when he had opened the book, he found the place where it was written,

[18]Roho wa Bwana yu juu yangu,
Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao,
Na vipofu kupata kuona tena,
Kuwaacha huru waliosetwa,
The Spirit of the Lord is upon me, because he hath anointed me to preach the gospel to the poor; he hath sent me to heal the brokenhearted, to preach deliverance to the captives, and recovering of sight to the blind, to set at liberty them that are bruised,

[19]Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.
To preach the acceptable year of the Lord.

[20]Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
And he closed the book, and he gave it again to the minister, and sat down. And the eyes of all them that were in the synagogue were fastened on him.

[21]Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.
And he began to say unto them, This day is this scripture fulfilled in your ears.
Sinagogi ndiyo "kanisa"?
 
Kwa waliosoma mambo ya fasihi na historia yake, wanajua kwamba jambo Moja huweza kuripotiwa ama kutafsiriwa tofautitofauti na watu Wa nyakati husika.

Wewe Unadhani ukisoma kitabu kitakachoandikwa na Tundu Lissu kuhusu Hayati John Pombe Magufuli kitafanana na kile kitakachoandikwa na Paul Makonda au Sabaya??

Kwa ivo hakuna kuchakachuliwa Kwa maelezo. Na kanuni inayotumika Kwa uunganishaji Wa habari za Biblia ni kutumia maandiko yote yaliyopo Kwa kuyalinganisha na kuchagua Yale yanayofanana zaidi na kuyatumia.
Kwa hivyo kutoka kutafsiri kigreek from Amaic(lugha ya yesu) mpaka kiswahili unadhani maana hiyo haito chakachuliwa
 
Mkusanyiko wa vitabu au siyo?

Nani aliviita "biblia" kwa mara ya kwanza? Kwanini isiwe babcheka?
wewe Ajuza punguza ujuha unaambiwa kabla ya Yesu maandiko yalikua katika single papers
yaani mfano chapter ya ISAYA ilikua kama karatasi moja full inayomwelezea Isaya vile vile na Kumbukumbu la Torati lilikua single pia baada ya Masihi kupaa mwaka 70 AD Yerusalemu ilitekwa na na Hekalu kubomolewa watu walikusanya yale maandiko wakayaweka kwenye mkusanyiko mmoja vile vile baada ya Utawala wa Rumi kuamua kubadili mfumo wake wa siasa Mfalme CONSTANTINE Aliekua mpagani alivyo upokea ukristo kama Dini Dola katika himaya yake akaamua akusanye maandiko yote ya kale na yale Ya wanafunzi na wafuasi wa Yesu na kuyaweka katika kitabu kimoja na Wakayaita BIBLIA ikiwa na maana ya mkusanyiko wa vitabu

huo ni mfano mdogo tu ni kama vile MAREKANI Kabla Haikua nchi moja ila majimbo yanayo jitegemea mpaka mwaka 1776 majimbo yalipoungana na kutokea UNITED STATE OF AMERICA
Na ikawa nchi vile vile na BIBLIA Ndio ilivyokua kwahiyo ukiuliza ni kwanini waliita hilo jina ni sababu ya muunganiko wake soma historia acha kuuliza maswali ya Kiwaki!
 
Ushahidi wa maandiko upo wa kutosha tu comred ila kwanza naomba utuelimishe

Biblia alipewa mtume gani
Sio kila kitu mpaKa apewe mtume arif BIBLIA ni mkuanyiko wa VITABU na maandiko mbali mbali ya
Kale Vinavyoelezea matukio mbali mbaLi ya watu waliokua na mahusiano na MUNGU JEHOVA
matukio hayo ya kidini,kisiasa na kijamii yaliyobeba shuhuda mbali mbali yaliyokea katika nyakati na majira tofauti hivyo kulingana na taratibu za kipindi hicho record mbali mbali ziliandikwa mfano kitabu cha MWANZO,KUTOKA,KUMBUKUMBU LA TORATI,HESABU NA JOSHUA Viliandikwa kipindi Israelites wanatoka utumwani MISRI yaani kipindi cha MUSA vile vile WAAMUZI kiliandikwa miaka ISRAELITES hawana MFALME Miaka mingi baada ya kutoka MISRI baadae kikaja WAFALME,ZABURI NA MITHALI Hapa ISRAEL Walikua na WAFALME Kama SAULI,DAUDI NA SULEIMAN
Baadae vikaja vya manabii kama DANIEL,ELIA,ISAYA NK

na hivyo vyote havikuwekwa pamoja vilikua kama single book kwa miaka mingi baadae maarifa yakaongezeka na baada ya YESU KRISTO KUPAA mwaka 70 AD Yerusalem Ikatekwa na WARUMI HEKALU likavunjwa na wakauchoma Moto Na kuwatawanya ISRAELITES Duniani
baadae WARUMI chini ya MFALME CONSTATINE Aliyekua Mpagani Aliupokea UKRISTO Kama DINI DOLA Akaamua AKusanye maandiko yale Ya KALE na ya INJILI yaliyoandikwa na wafuasi Na wanafunzi wa YESU wakayaweka katika kitabu kimoja Wakayaita BIBLIA Ikiwa na maana ya mkusanyiko wa Vitabu
Ili iwe rahisi kupata rejea mbali mbali Ya NENO la MUNGU

Hiyo ndio historia kwa kifupi tu upatwe mwanga ndugu!
AJUZA FaizaFoxy pitia hii utoe ujinga uache kuaibisha kalia yako!
 
Sinagogi ndiyo "kanisa"?
Mbona unahama mada? Umetaka wapi Yesu alisoma maandiko umepewa, sasa umehamia kwenye sinagogi, kwa kuwa swali linapaswa kujibiwa ntakujibu,

Ili uelewe unapaswa ujue kuwa kuna hekalu, sinagogi na Kanisa

Mwanzo Waisrael walifanya ibada katika hema ya kukutania ambayo ilikuwa ya kuhamishika, walipotoka utumwani Misri na kufika nchi ya ahadi ndipo ilipojengwa Hekalu ili wote wakutanike mahali hapo, hekalu lilikuwa ni moja tu! la Yerusalemu hakuna lingine, na lilikuja kuharibiwa baadae (Soma Biblia inaelezewa kwa kirefu) ,

ndipo zikajengwa sinagogi, ni sehemu ndogo ndogo zilizotumika kujifunza torati na kusoma zaburi n.k Sinagogi ndio sehemu iliyotumika kwa ajili ya kutaniko la masuala ya dini

na je kanisa ni nini?

Maandiko yanasema kwa kuwa walipo wawili, watatu wamekusanyika kwa jina langu nami nipo papo hapo katikati yao, hivyo kanisa ni mkusanyiko wa watu kuanzia wawili na kuendelea wanaokutana kwa kusudi maalum la kumuabudu Mungu, Jengo likijengwa kwa kusudi hilo na likakutanisha waumini ndani yake basi ni kanisa, vinginevyo utakuwa ni ukumbi kama ukumbi mwengine unaokutanisha watu kwa ajili ya masuala mengine
 
Hadithi tu zilivyoandikwa zinautata kiasi cha kufungua uwanja wa kuzihoji uhalisia wake.

Asemaye ni za kweli ndiye anaepaswa kuprove
Anayesema siyo za kweli ndiye mwenye zigo la kuthibitisha!!

Yaani Biblia yenye miaka mamia ndiyo anayeikubali aithibitishe?

Anayepinga ndiye aje athibitishe kuwa ni ya Kutungwa!!
 
Kwa hivyo kutoka kutafsiri kigreek from Amaic(lugha ya yesu) mpaka kiswahili unadhani maana hiyo haito chakachuliwa
Hapana.
Lugha wakati mwingine hutafsiriwa Kwa kuzingatia mantiki.

Kwa mfano ilipoandikwa "dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji" wafasiri Wa Afrika Magharibi theluji wakatafsiri ni kama maziwa.

Kwa Ivo hapo hoja ni weupe Wala si maziwa Wala theluji!!
 
Hapana.
Lugha wakati mwingine hutafsiriwa Kwa kuzingatia mantiki.

Kwa mfano ilipoandikwa "dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji" wafasiri Wa Afrika Magharibi theluji wakatafsiri ni kama maziwa.

Kwa Ivo hapo hoja ni weupe Wala si maziwa Wala theluji!!
Asante for proove my point.
Sikujua Hilo, kumbe uchakachuaji ni mkubwa.
Ndio maana Quran ni kiarabu pekee na tafsiri hata iwe ya kiarabu rahisi Bado Quran Halisi.
 
Back
Top Bottom