Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Asante for proove my point.
Sikujua Hilo, kumbe uchakachuaji ni mkubwa.
Ndio maana Quran ni kiarabu pekee na tafsiri hata iwe ya kiarabu rahisi Bado Quran Halisi.
Hapo nimethibitishaje hoja yako?

Kwenye hoja ya weupe kati ya maziwa na theluji kimantiki kuna utofauti gani?
 
Hapo nimethibitishaje hoja yako?

Kwenye hoja ya weupe kati ya maziwa na theluji kimantiki kuna utofauti gani?
Kuna uhusiano gani wa maziwa na theluji.
White haiwezi kuwa colorless !
Au snow,frost,ice hiki ni kingereza lakini kiswahili zote ni barafu.
Hivyo jinsi lugha inavyo kosa misamiati basi maana nayo hupotea
 
Anayesema siyo za kweli ndiye mwenye zigo la kuthibitisha!!

Yaani Biblia yenye miaka mamia ndiyo anayeikubali aithibitishe?

Anayepinga ndiye aje athibitishe kuwa ni ya Kutungwa!!
Nadhani mnapo jadiliana hizi mada mlipaswa kuwa open minded instead of Fixed minded.mngeelewana vizuri.
 
Kuna uhusiano gani wa maziwa na theluji.
White haiwezi kuwa colorless !
Au snow,frost,ice hiki ni kingereza lakini kiswahili zote ni barafu.
Hivyo jinsi lugha inavyo kosa misamiati basi maana nayo hupotea
Barafu na theluji ni sawa? Au hujui kuwa siyo kila barafu ni theluji?

Maana na Mantiki ni vitu viwili tofauti ingawa maana ni sehemu ya Mantiki!!
 
Nadhani mnapo jadiliana hizi mada mlipaswa kuwa open minded instead of Fixed minded.mngeelewana vizuri.
Sawa. Hiyo "Open minded" lakini haiondoi ukweli kuwa mada hii maudhui yake yanaongozwa na maswali niliyouliza Mwanzo wa Mada hii.
 
Anayesema siyo za kweli ndiye mwenye zigo la kuthibitisha!!

Yaani Biblia yenye miaka mamia ndiyo anayeikubali aithibitishe?

Anayepinga ndiye aje athibitishe kuwa ni ya Kutungwa!!
Hujanielewa nlichokisema,

Nmekwambia hv, uwepo wa contradiction ndani ya hadithi hizo pamoja na hadithi tata zisizowezekana katika uhalisia, zinatia chachu ya kuhojiwa uhalisia wake,

Uwepo wa contradiction ni uthibitisho kuwa si hadithi za kweli!!

Wewe unathibitisha vipi kuwa ni hadithi za kweli!?
 
Ukifuatilia kwa makini, huenda na Waafrika nao walikuwa na vitabu vyao vya hadihi kiimani, ila wazungu wakatuhadaa na kuziita hadithi za kipuuzi na za kwao zikawa za maana. Leo hii Biblia ni hadithi za kizungu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Ukifuatilia kwa makini, huenda na Waafrika nao walikuwa na vitabu vyao vya hadihi kiimani, ila wazungu wakatuhadaa na kuziita hadithi za kipuuzi na za kwao zikawa za maana. Leo hii Biblia ni hadithi za kizungu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hizi ni hisia tu. Kama Kuna hadithi za kiafrika mbona hatuzijui. Au sisi siyo waafrika?
 
Hujanielewa nlichokisema,

Nmekwambia hv, uwepo wa contradiction ndani ya hadithi hizo pamoja na hadithi tata zisizowezekana katika uhalisia, zinatia chachu ya kuhojiwa uhalisia wake,

Uwepo wa contradiction ni uthibitisho kuwa si hadithi za kweli!!

Wewe unathibitisha vipi kuwa ni hadithi za kweli!?
Unadhani ni asilimia ngapi ya Biblia Ina migongano?

Maana Ili tuhitimishe kuwa Biblia mkusanyiko hadithi zake ni za kutungwa, inabidi angalau ziwe ni zaidi ya asilimia hamsini.
 
Unadhani ni asilimia ngapi ya Biblia Ina migongano?

Maana Ili tuhitimishe kuwa Biblia mkusanyiko hadithi zake ni za kutungwa, inabidi angalau ziwe ni zaidi ya asilimia hamsini.
Hiyo ni sheria yako umeitunga,

Hakuna sehemu yeyote ambayo hudai kuwa ili hadithi iwe ya kutungwa, migongano ni lazima ifikie 50%!!

Je unakubali kuwa unaamini kitabu chenye contradiction!?
 
Hiyo ni sheria yako umeitunga,

Hakuna sehemu yeyote ambayo hudai kuwa ili hadithi iwe ya kutungwa, migongano ni lazima ifikie 50%!!

Je unakubali kuwa unaamini kitabu chenye contradiction!?
Tolea mfano wa hiyo mikinzano. Ngoja aje Mzee wa "Sabato njema" johnthebaptist achangie.
 
Sio kila kitu mpaKa apewe mtume arif BIBLIA ni mkuanyiko wa VITABU na maandiko mbali mbali ya
Kale Vinavyoelezea matukio mbali mbaLi ya watu waliokua na mahusiano na MUNGU JEHOVA
matukio hayo ya kidini,kisiasa na kijamii yaliyobeba shuhuda mbali mbali yaliyokea katika nyakati na majira tofauti hivyo kulingana na taratibu za kipindi hicho record mbali mbali ziliandikwa mfano kitabu cha MWANZO,KUTOKA,KUMBUKUMBU LA TORATI,HESABU NA JOSHUA Viliandikwa kipindi Israelites wanatoka utumwani MISRI yaani kipindi cha MUSA vile vile WAAMUZI kiliandikwa miaka ISRAELITES hawana MFALME Miaka mingi baada ya kutoka MISRI baadae kikaja WAFALME,ZABURI NA MITHALI Hapa ISRAEL Walikua na WAFALME Kama SAULI,DAUDI NA SULEIMAN
Baadae vikaja vya manabii kama DANIEL,ELIA,ISAYA NK

na hivyo vyote havikuwekwa pamoja vilikua kama single book kwa miaka mingi baadae maarifa yakaongezeka na baada ya YESU KRISTO KUPAA mwaka 70 AD Yerusalem Ikatekwa na WARUMI HEKALU likavunjwa na wakauchoma Moto Na kuwatawanya ISRAELITES Duniani
baadae WARUMI chini ya MFALME CONSTATINE Aliyekua Mpagani Aliupokea UKRISTO Kama DINI DOLA Akaamua AKusanye maandiko yale Ya KALE na ya INJILI yaliyoandikwa na wafuasi Na wanafunzi wa YESU wakayaweka katika kitabu kimoja Wakayaita BIBLIA Ikiwa na maana ya mkusanyiko wa Vitabu
Ili iwe rahisi kupata rejea mbali mbali Ya NENO la MUNGU

Hiyo ndio historia kwa kifupi tu upatwe mwanga ndugu!
AJUZA FaizaFoxy pitia hii utoe ujinga uache kuaibisha kalia yako!
Kumbe ndio ilivyo basi sawa haina shida.
 
Hii ni perspective ya waislamu ambayo inasemekana karibia miaka 600 baada ya Kristo, kwanza pata picha kitu kifanyike leo halafu baada ya miaka 600 aje mtu na kukwambia kuwa hiki ni kile, kile sio hiki utamuelewaje?

Na ndivyo inavyokuwa, huwezi sema Torati na Zaburi pekee, ilhali alieandika Torati aliandika na vitabu vingine ambavyo ndio msingi mkuu wa Biblia
Wala sijakuelewa comred.
 
Wala sijakuelewa comred.
Ni hivi, biblia ni mkusanyiko wa maandiko matakatifu ikiwemo torati na Zaburi, na iliandikwa na manabii na mitume tofauti

Sasa mtu atasemaje ni injili, torati na zaburi peke yake ilhali kuna hivyo vingine?

Mfano Musa kaandika vitabu zaidi ya kimoja ikiwemo Mwanzo, kutoka ,Mambo ya walawi, na Kumbukumbu la torati

na hivyo na vingine ndio vimeleta Biblia
 
People in the bible did not read the bible.
Not true,Jesus in many occasions quotes Old testament scriptures.

Even the Gospel of Mathew quotes a lot of scriptures from old testament.

Jesus read the scriptures when he introduced himself for the first time in the synagogue.

They did not quote the New testament because they were living in it,so it wasn't yet written.
 

Attachments

  • IMG_20230917_222139.jpg
    IMG_20230917_222139.jpg
    131.4 KB · Views: 3
Swali langu je watu wanauhakika gani kuwa yaliandikwa katika bible ni sahihi watu hawakutia chumvi zao ?
 
Swali langu je watu wanauhakika gani kuwa yaliandikwa katika bible ni sahihi watu hawakutia chumvi zao ?
Hiyo siyo hoja ya bandiko hili. Hapa mjadala ni kama Biblia ni kitabu cha kutungwa au la?
 
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Ata kama ni kitabu cha kutunga lakini watunzi hawakutumia akili za kibinadamu hizi
 
Back
Top Bottom