Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Ata kama ni kitabu cha kutunga lakini watunzi hawakutumia akili za kibinadamu hizi

Nyie ndio aina ya waumini kama wa Kibwetere aliowatia kibiriti na petroli na Mackenzie wa Kenya aliyewashindisha njaa waumini wake ili wafe wakakutane na Yesu kwasababu waliamini vibaka hao wanatumia akili za Mungu

Kuamini dini sio maana yake uache kutumia ufahamu na akili zako

Sasa hao walitumia akili zipi?
 
Tolea mfano wa hiyo mikinzano. Ngoja aje Mzee wa "Sabato njema" johnthebaptist achangie.
Kuna contradiction zenye kuonekana 193+

Ili tuelewane napenda ntupie moja moja ili kila contradiction ipatiwe majibu

1. Ahaziah alianza kutawala Jerusalem akiwa na miaka mingapi?

References :
(2 Wafalme 8:26)
(2 Mambo ya nyakati 22:2)
 
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Kama sio Hadithi za kisadikika,kwani mtoto mdogo alizaliwa haji na bible kichwani mpaka afundishwe.
 
Kuna contradiction zenye kuonekana 193+

Ili tuelewane napenda ntupie moja moja ili kila contradiction ipatiwe majibu

1. Ahaziah alianza kutawala Jerusalem akiwa na miaka mingapi?

References :
(2 Wafalme 8:26)
(2 Mambo ya nyakati 22:2)
Hahahahaha,nimecheka baada ya kupitia hivyo vifungu
 
Kuna contradiction zenye kuonekana 193+
Kwanza kabla sijajibu hoja yako. Jee unaiamini Biblia??

Hiyo migongano imebadili kuwa Ahazia aliwahi kutawala Jerusalem??

Unataka kusema waliokusanya hizo taarifa hawakujua tofauti ya 22 na 40 Hadi wakaiacha Kama ilivyo?

Kama ni kutunga si ama wangeweka 22 au 40 kwa mfanano!!??

Kanuni ya kuhesabu miaka ya zama hizo inafanana na Sasa??
 
vitabu vya mungu na mitume waliopewa vitabu hivyo ni

Zaburi kwa daudi
Torati kwa mussa
Injili kwa issa
Qur an muhammad

Mnaposema biblia nacho ni kitabu cha muumba
inabidi pia mseme mtume aliepewa kitabu hicho ni mtume gani.
Moses did not exist. He is a fictional character
 
Kwanza kabla sijajibu hoja yako. Jee unaiamini Biblia??

Hiyo migongano imebadili kuwa Ahazia aliwahi kutawala Jerusalem??

Unataka kusema waliokusanya hizo taarifa hawakujua tofauti ya 22 na 40 Hadi wakaiacha Kama ilivyo?

Kama ni kutunga si ama wangeweka 22 au 40 kwa mfanano!!??

Kanuni ya kuhesabu miaka ya zama hizo inafanana na Sasa??
Nmekuuliza Ahazia alianza kutawala akiwa na miaka mingapi?

Simple question
 
Vilivyopishana
Zipo nyingi tu na ziko wazi,

lakini mtu anaanza kuniuliza kuwa eti ninadhani kwanini zimepishana badala yeye ndiyo anijibu.

Yote hayo anataka kutetea anachokiamini kuwa ni cha kweli wakati ni cha uongo.

Kitabu cha Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo inawezekana vipi kikawa na contradiction?

Hizo ni hadithi za watu tu walijitungia
 
Biblia ni maandiko ya utamaduni na maisha ya watu hasahasa jamii ya waisraeli wa kale na nchi nyingi za mashariki ya kati.

Ndio maana kwenye Biblia hakuna Maisha ya waafrika watanzania, waafrika wakenya, waafrika waganda, waafrika wanyarwanda n.k

Maeneo mengi yaliyo tajwa kwenye Biblia ni maeneo ya Bara la Asia huko mashariki ya kati, Na baadhi ya maeneo machache ya Afrika yanayo pakana na nchi hizi, Na sehemu mbalimbali walizo tembelea wahusika wa kwenye Biblia,

kama palestina, Uturuki,Roma, na nchi nyinginezo

Waafrika pia walikuwa na vitabu vyao vya dini zao za kale na utamaduni wao

Lakini kupitia ujio wa wakoloni, Tamaduni nyingi na maandiko ya waafrika yalipotezwa.

Na waafrika waka anza kuaminishwa na kufundishwa dini(imani) na utamaduni wa wakoloni
(wazungu na waarabu) kupitia vitabu vyao hivyo (Biblia & Quran).
Mwenye uzi asiporidhika na jibu hili afungwe jiwe atoswe baharin[emoji16]
 
Yesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.

Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.
Mbona Qur'an ni kama biblia tu iliyochangamka[emoji16]
 
[emoji419][emoji419]
1696405072717.jpg
 
Back
Top Bottom