Ata kama ni kitabu cha kutunga lakini watunzi hawakutumia akili za kibinadamu hizi
Kuna contradiction zenye kuonekana 193+Tolea mfano wa hiyo mikinzano. Ngoja aje Mzee wa "Sabato njema" johnthebaptist achangie.
Kama sio Hadithi za kisadikika,kwani mtoto mdogo alizaliwa haji na bible kichwani mpaka afundishwe.Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Hahahahaha,nimecheka baada ya kupitia hivyo vifunguKuna contradiction zenye kuonekana 193+
Ili tuelewane napenda ntupie moja moja ili kila contradiction ipatiwe majibu
1. Ahaziah alianza kutawala Jerusalem akiwa na miaka mingapi?
References :
(2 Wafalme 8:26)
(2 Mambo ya nyakati 22:2)
Kwanza kabla sijajibu hoja yako. Jee unaiamini Biblia??Kuna contradiction zenye kuonekana 193+
Moses did not exist. He is a fictional charactervitabu vya mungu na mitume waliopewa vitabu hivyo ni
Zaburi kwa daudi
Torati kwa mussa
Injili kwa issa
Qur an muhammad
Mnaposema biblia nacho ni kitabu cha muumba
inabidi pia mseme mtume aliepewa kitabu hicho ni mtume gani.
How do you know!!??Moses did not exist. He is a fictional character
History and archeology.How do you know!!??
Duh!!History and archeology.
1. There is no historical Moses but only biblical
2. In Egypt there is no any record about Moses in Egypt and the Exodus
Kipi kikuchekeshacho?Hahahahaha,nimecheka baada ya kupitia hivyo vifungu
Nmekuuliza Ahazia alianza kutawala akiwa na miaka mingapi?Kwanza kabla sijajibu hoja yako. Jee unaiamini Biblia??
Hiyo migongano imebadili kuwa Ahazia aliwahi kutawala Jerusalem??
Unataka kusema waliokusanya hizo taarifa hawakujua tofauti ya 22 na 40 Hadi wakaiacha Kama ilivyo?
Kama ni kutunga si ama wangeweka 22 au 40 kwa mfanano!!??
Kanuni ya kuhesabu miaka ya zama hizo inafanana na Sasa??
VilivyopishanaKipi kikuchekeshacho?
Zipo nyingi tu na ziko wazi,Vilivyopishana
Kwanza sielewi kama umesoma hata nilichoandika.Nmekuuliza Ahazia alianza kutawala akiwa na miaka mingapi?
Ukweli wa Dunia ni kwamba, mtu mweusi pekee ndiye aliyepata Mungu anayefanana na mkoloni wake na akapata shetani anayefanana na yeye na bado anakuwa proud of it.Ukweli wa dunia ni upi?
Mwenye uzi asiporidhika na jibu hili afungwe jiwe atoswe baharin[emoji16]Biblia ni maandiko ya utamaduni na maisha ya watu hasahasa jamii ya waisraeli wa kale na nchi nyingi za mashariki ya kati.
Ndio maana kwenye Biblia hakuna Maisha ya waafrika watanzania, waafrika wakenya, waafrika waganda, waafrika wanyarwanda n.k
Maeneo mengi yaliyo tajwa kwenye Biblia ni maeneo ya Bara la Asia huko mashariki ya kati, Na baadhi ya maeneo machache ya Afrika yanayo pakana na nchi hizi, Na sehemu mbalimbali walizo tembelea wahusika wa kwenye Biblia,
kama palestina, Uturuki,Roma, na nchi nyinginezo
Waafrika pia walikuwa na vitabu vyao vya dini zao za kale na utamaduni wao
Lakini kupitia ujio wa wakoloni, Tamaduni nyingi na maandiko ya waafrika yalipotezwa.
Na waafrika waka anza kuaminishwa na kufundishwa dini(imani) na utamaduni wa wakoloni
(wazungu na waarabu) kupitia vitabu vyao hivyo (Biblia & Quran).
Mbona Qur'an ni kama biblia tu iliyochangamka[emoji16]Yesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.
Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.
So Yesu alikuwa Muislam!Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?