Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

waislam mko wapi? mjibu hoja maana jama wanataka ushahidi wa kimantiki saidieni hapo maana nyie ndio huwa mnasema duniani dini ni 1 tu uwislamu zilizo baki batiril haya wenye dini tuleteeni aya
 

Mi nadhani hiyo issue ipo beyond human knowledge. Africa kuna joto sana zaidi ya sehemu nyingine duniani sidhani kama ni kweli. (ukisema muda mwingi katika mwaka average temp ni kubwa hapo inawezekana ikawa ni sahihi)

Nimeishi TZ nilikuwa nasikia TZ joto, nikawa naamini hivyo. Nikaenda U.S state fulani hivi wakati summer imekolea, pale ndipo nilipogundua kwamba TZ hakuna joto kali tunaongopeana tu. Nikapita nchi moja ya kiarabu wakati wa majira ya jua ilikuwa ni balaa.

Hizo nchi kama venezuela,peru, brazil bado weupe ni wengi mno kulinganisha na weusi. Na ukifuatilia historia ya weusi utaambiwa waliletwa kama watumwa kwa ajili ya kulima.
 
Wewe ni Mungo sana, tena hufai kabisa wewe.

Niletee ushaidi wa rangi ya mtu wa kwanza kutoka hivyo vitabu vya dini unavyo visingizia.

Kwa mujibu wa biblia mtu wa kwanza kuwepo alikuwa yesu AMBAE kwa mujibu wa picha ZOOTE duniani na kwenye MAKANISA zinaonyesha NI MZUNGU!

Biblia inasema Yesu alikuwepo kabla ya chochote duniani!

Sasa tuulize hio biblia Mtu mweusi katoka wapi!?? Au sisi waafrika hatukutajwa kwenye biblia?
 
Kuna maandiko mengine yanasema mtu wa kwanza aliishi Tanzania (olduvai George) na waandishi wengine wanasema ni Ethiopia..

Hapa sijausisha biblia....

Wa kwanza ni mrangi kutoka kondoa irangi tanzania.
 

Kuna watu wanaamini kwamba Watu wa kwanza kuumbwa walikuwa ni Adam na Lilit. Lilit akagoma kuwa chini ya Adam akaondoka kwa Adam. Hapo ndipo akaletwa Eve/Hawa. Wanaamini Kaini alikokwenda alikutana na Lilit wakaendeleza kizazi chao cha watu wao.
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

Hizo ni kauli za BIBLIA! na SIO DINI ZOTE.
Na hata taswira zinazo sambazwa na Makanisa ni Taswira za KIZUNGU PEKE YAKE.

Hata Ktk Historia ya Uongozi wa VATICAN hakuna mtu mweusi Aliyewahi kuwa PAPA kwa zaidi ya Miaka 800. Ndio maana UKADHANI KILA Dini Ina msimamo huo huo.

Soma Historia utakuta ni completely opposite.

Mtu wa kwanza kuishi hapa Duniani HAKUWA MWEUPE! bali ni wa rangi mchanganyiko, yaani mfano wa (mix races).

Na UISLAMU Haujadili suala la ASILI YA RANGI ya ngozi ya Binaadamu kwa njia Uitakayo wewe Rather inataja Rangi ya ngozi ya mtu KAMA KITAMBULISHO.

Mfano:-

Kuna mtu alikwenda kumtafuta mtume Muhammad (rehama na amani ziwe juu yake) na hali ya kuwa HAMTAMBUI, maswahaba wakamwabia" ni yule pale mtu mweupe mwenye nywele nyingi!

Hicho ni KITAMBULISHO na sio UBORA wa mtu.
LKn hadithi hii wagalatia mara nyingi huitumia eti kuonyesha kuwa kwa waislamu mweupe ni mali.

Na Quraan imeongelea Suala la Mataifa na Makabila kwa kusema

QURAAN.

Al-hujiraat 43:13

Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane.
Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamungu zaidi katika nyinyi.

Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.

Hapo Tunaambiwa kuwa MBORA ktk wanaadamu mbele ya MUNGU ni yule MCHAMUNGU kuliko wenzake.

Na sio MWEUPE au MWEUSI.

Sasa labda Uwaulize WAKRISTO hili suala la RANGI YA NGOZI YA BINAADAMU wanaliongelea vipi.

Sasa tazama wagalatia watakavyoanza kurusha ngumi hewani.

Manake ukiwaambia ukweli tu! Ni tusi kubwa sana kwao.

I am waiting with my AK48!
 

Ulivoonggelea hilo ka twiga tu nikajua basi huyu mtu hata biology kaishia form four nikimueleza hawezi kuelewa... Hilo la twiga halikuwahi kukubalika kwenye biology hizo ni story mnapiga mtaani afu mnadanganyana science imesema hivo, usiisingizie science.

Naomba tuishie hapa maana kama ulikimbia biology kuna terms nyingi napenda ningezitumia kukuelekeza sema hatutoelewana ila hii ni true science na hadi leo imetumika the same knowledge kwenye mambo mbalimbali na yakafanya kazi kuprove kabisa kua si uongo... ni kama kusema equation ya force=massxgravity hakuna mwenye kusema newton aliitoa wapi, sema tumeitumia kwenye science na imetengeneza mashine nyingi sana mnazotumia leo hii, hiyo ndio inastand kama proof kua ni kweli...

Sasa same thing kwa evolution na genetics, kwa hiyo knowledge watu mnaosema ni uongo imetumika kufanya vitu ambavo vipo hadi leo.. Ndo maana narudia hapa ka biology ulikimbia afu una faith tutapelekeshana hadi mwaka utaisha, just so u know nina faith pia, ila hii sayansi haina uongo
 

Kwa hiyo unaamini zile picha ni za Yesu? hahaha duh..
usije ukawa ndo wale mnapigia magoti picha ile afu unaomba..
 
Kwa hiyo unaamini zile picha ni za Yesu? hahaha duh..
usije ukawa ndo wale mnapigia magoti picha ile afu unaomba..

Mkuu! ! !
Mi niabudu sanamu ya mzungu kavaa nepi?

Nitake radhi tafadhali sana. Tena sana!!
Sijawahi kutukanwa km hivi.
 
 
kwani unauhakika gani alikua mweupe???? Kwani kuna udongo mweupe
 

Umechanganya habari mpaka imekuwa kichekesho, umesema mtu wa kwanza aliumbwa mwesi kutokana na udongo mweusi, kisha ukasema adam alikula tunda la ujuzi wa mema na mabaya ndo maana watu weupe wana akili sana, embu panga vizuri habari yako, inawezekana ukawa na habari nzuri ya kutueleza ila shida una haraka sana utafikiri uko ukweni.
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

Mkuu biblia haijaeleza Adamu/Eva walikuwa na rangi gani.

Biblia yangu niliyokuwa naitumia nikiwa shule ya msingi (nashangaa ni tofauti na hizi ninazoziona mtandaoni) ilikuwa inasema hivi:

.
 
Mkuu! ! !
Mi niabudu sanamu ya mzungu kavaa nepi?

Nitake radhi tafadhali sana. Tena sana!!
Sijawahi kutukanwa km hivi.
Sijasema unaabudu,mnaona ume-quote vibaya, we umesema yesu amechorwa kanisani kama mzungu, nikauliza kwa hiyo unaamini kua ile picha ni ya Yesu.. mbona swali rahisi sana kulijibu.. kama unaona hilo ni tusi una matatizo kichwani
 
Kwa hiyo unaamini zile picha ni za Yesu? hahaha duh..
usije ukawa ndo wale mnapigia magoti picha ile afu unaomba..

Mkuu! ! !
Mi niabudu sanamu ya mzungu kavaa nepi?

Nitake radhi tafadhali sana. Tena sana!!
Sijawahi kutukanwa km hivi.

Sijasema unaabudu,mnaona ume-quote vibaya, we umesema yesu amechorwa kanisani kama mzungu, nikauliza kwa hiyo unaamini kua ile picha ni ya Yesu.. mbona swali rahisi sana kulijibu.. kama unaona hilo ni tusi una matatizo kichwani

Mwenye matatizo kichwani ni babu yako!

We sio ulioanza kijichekesha hapa na kusema mi huenda nalipigia goti sanamu!?

Bloody sangara! Mtoto wa bata mlemavu.
 
Mwenye matatizo kichwani ni babu yako!

We sio ulioanza kijichekesha hapa na kusema mi huenda nalipigia goti sanamu!?

Bloody sangara! Mtoto wa bata mlemavu.

Mkuu ukisema matusi ninayomengi sema hua siyatoi... pale juu nimeuliza swali cha kufanya ungesema hapana, au question mark hukuiona? sasa ya babu yangu yanakuhusu nini? haha ati bloody sangara.. mtoto wa bata... am far better than u in everyway possible sio kiakili tu, poor guys! pole sana aisee... endelea kumwaga matusi hadi keyboard iharibike maana it doesn't hurt.. sanasana inaonyesha ulivo mjinga
 

kimlugo mlugo weee! Jenga hoja kwa Kiswahili unachokifahamu vyema.
 

je waarabu nao mbona wanakaa kwenye joto na wana nywele ndefu na ni weupe?
 

Can you please give a bit explanations on what you just wrote? i will be pleased if you'll incoparate your arguments with relevant sources.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…