jiwe la maji
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 1,062
- 705
waislam mko wapi? mjibu hoja maana jama wanataka ushahidi wa kimantiki saidieni hapo maana nyie ndio huwa mnasema duniani dini ni 1 tu uwislamu zilizo baki batiril haya wenye dini tuleteeni aya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutokana na sabau za kijiografia mtu wa kwanza alipoumbwa alikaa sehem fulani na shemu zingine zilikua tupu hazina watu walipozaana ndio watu wakazagaa sehemu tofauti
kwanini watu weusi
jibu ni sabau za kijografia mfano africa imepitiwa na mstari wa ikweta mabara yaliyopitiwa na mstari huu yanakua na joto sana kwa hiyo sababu hzi zinapelekea ngozi kutengeneza melanini nyingi sana ukiangalia america ya kusini nchi kama venezuela ,brazili na peru watu ni weusi ukija africa watuu ni weusi ukienda indonesia malyasia na nk unapata watu weusi pia ila kadri watu wanapozagaa na ndio wanachanganya damu
Wewe ni Mungo sana, tena hufai kabisa wewe.
Niletee ushaidi wa rangi ya mtu wa kwanza kutoka hivyo vitabu vya dini unavyo visingizia.
Kuna maandiko mengine yanasema mtu wa kwanza aliishi Tanzania (olduvai George) na waandishi wengine wanasema ni Ethiopia..
Hapa sijausisha biblia....
katika vitu ambavyo dini imeshindwa kuthibitisha kabisa ni ukweli kuhusu mwanadamu wa kwanza...historia ya dini inasema kwamba Adam alizaa watoto 2 kwanza ambao ni Kaini na Abel, Kaini akamuua Abeli na kulaaniwa , akafukuzwa kutoka ukoo wa Adam na kuhamia mbali ambapo ndipo alipoanzisha familia ya wafua vyuma wa kwanza duniani(blacksmiths) swali ni vipi alianzisha familia hiyo wakati huo hapakuwa na watu wengine zaidi ya Adamu, Eva kama mwanamke pekee, na kaini baada ya kifo cha Abel..kama alikoenda alikutana na watu na kuanzisha familia hiyo..watu hao waliumba na nani na lini? Je huoni kwamba kuna uwezekano mkubwa sana kwamba Adamu na Eva sio wanadam wa Kwanza.
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
Ndg.. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote makubwa unayodhania,hawa wanasayansi kuna baadhi wameweza kuthibitisha lakini mengine hawajaweza na hii ni sawa na ile kurefuka kwa shingo la Twiga eti sababu anakula majani yaliyo juu katikati ya mti wakati akizaliwa mtoto anakuwa na umbile hilohilo la shingo kuwa ndefu(kala muda gani huyu). Vipi kuhusu waarabu Libya, Misri, Kuwait, Iran miaka nenda rudi wanapigwa na jua kuliko sisi fika South Africa -Port Elizabeth pale ambapo barafu inadondoka miaka dahali kabla hata hao wazungu hawategemei kuja walikuwepo wenyeji ambao ni weusi kama mimi mpaka leo. Amini usiamini hii nadharia ni mfu.
Kwa mujibu wa biblia mtu wa kwanza kuwepo alikuwa yesu AMBAE kwa mujibu wa picha ZOOTE duniani na kwenye MAKANISA zinaonyesha NI MZUNGU!
Biblia inasema Yesu alikuwepo kabla ya chochote duniani!
Sasa tuulize hio biblia Mtu mweusi katoka wapi!?? Au sisi waafrika hatukutajwa kwenye biblia?
Kwa hiyo unaamini zile picha ni za Yesu? hahaha duh..
usije ukawa ndo wale mnapigia magoti picha ile afu unaomba..
mi naamini kuna muumba. lakini uumbaji na sababu za uumbaji ni siri.
dini ni kulazimisha kuelewa siri hiyo.
theory ninayoipenda sisi, wadudu na wanyama wengine wote tulitolka kwenye sayari nyingine... tukiwa na program ya kuja kuzaliana hapa kwenye sayari hii.
dini ni jitihada za kuelewa siri ya tulikotoka. kwa hiyo kwangu mimi swali kubwa ni kwa nini safari ya kutuleta huku haikuruhusu blue print ya kule tulikotoka? dini tunakisiakisia tu jibu ndo maana ziko dini lukuki
Uko nami kwenye hili la siri ya uumbaji, ila uwalakini upo kwenye kutoka sayari nyingine kuja sayari tuliyomo. Je tuliletwa na nini, nguvu/ kani ipi ilitumika kutuleta hapa duniani?? Na kwann hatukuweza kuishi/kuzaliana hukohuko katika sayari asilia?? je tulipokewa na viumbe gani duniani?? ..Nina mengi sana ila hayo ni machache tu.
1.mimi nina amini kuwa mwanadamu wa kwanza alikuwa mweusi sababu ukisoma maandio utaona Mungu alifinyanga udongo kisha akapulizia pumnzi ndio mwanadamu aka kama alivyo sasa jiulize udogo ni rangi gani utapata jibu
2. Watu weupe wametokana na kizazi cha kaini baada ya kumuua ndugu yake Mungu alimlaani na kupigwa chapa ya muhuri ambayo ndio ngozi nyeupe, (ukirudi nyuma utangundua nyoka/ shetani aliwadanganya wakila tunda basi watajua mema na mabaya maana ake watakuwa na akili nyingi) ndio maana ngozi nyeupe ni werevu zaidi yetu sisi weusi.
NB: ndio maana wanasema fuvu la mtu wa kwanza limepatikana ngorongoro
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
.Miaka kadhaa baada ya gharika baada ya Nuhu/Noah kufariki dunia nzima walikuwa wanatumia lugha moja.
Wakaanza kufuru za hapa na pale. Mkuu wao akasema sasa hivi dunia ni sisi na sisi ni wamoja na kwa hiyo tujenge mnara mrefu sana mpaka Mungu ashangae, aseme kwamba hawa watu nimewaumba lakini wakiamua kufanya kitu hawashindwi, na vilevile tusitawanyike mbali na mnara huu, yaani walitaka kumshangaza Mungu.
Wakati wanajenga huo mnara Mungu akawachanganya Lugha wakawa wote hawaongei tena lugha moja isipokuwa kila fungu na lugha yake, mmoja akimuagiza mwenzake lete jiwe yeye analeta maji, ikatokea mtafaruku na kutokuelewana kila kundi likatawanyika kivyake sehemu mbalimbali za dunia
Sijasema unaabudu,mnaona ume-quote vibaya, we umesema yesu amechorwa kanisani kama mzungu, nikauliza kwa hiyo unaamini kua ile picha ni ya Yesu.. mbona swali rahisi sana kulijibu.. kama unaona hilo ni tusi una matatizo kichwaniMkuu! ! !
Mi niabudu sanamu ya mzungu kavaa nepi?
Nitake radhi tafadhali sana. Tena sana!!
Sijawahi kutukanwa km hivi.
Kwa hiyo unaamini zile picha ni za Yesu? hahaha duh..
usije ukawa ndo wale mnapigia magoti picha ile afu unaomba..
Mkuu! ! !
Mi niabudu sanamu ya mzungu kavaa nepi?
Nitake radhi tafadhali sana. Tena sana!!
Sijawahi kutukanwa km hivi.
Sijasema unaabudu,mnaona ume-quote vibaya, we umesema yesu amechorwa kanisani kama mzungu, nikauliza kwa hiyo unaamini kua ile picha ni ya Yesu.. mbona swali rahisi sana kulijibu.. kama unaona hilo ni tusi una matatizo kichwani
Mwenye matatizo kichwani ni babu yako!
We sio ulioanza kijichekesha hapa na kusema mi huenda nalipigia goti sanamu!?
Bloody sangara! Mtoto wa bata mlemavu.
Far more better than me!? Teh teh teh!
For what! Having a big butt or what!
Be specific young man.
Dont say things you dont mean it! .
They might bit ur backside!
Back to the topic now!
We si mgalatia!?
Na wagalatia wote wanaamini kuwa Mtu wa kwanza alikuwa Yesu!
na yesu mlioletewa na Wakoloni ni yule mzungu aliyevaa nepi kwenye msalaba.
Thats why a lot of you folks believe that the first human being was WHITE! which is a biig wooopy Lie!
evolution inaelezea jinsi watu tunavotofautiana, kuna mambo mengi sana ndani yake yanayofanya species aina moja kua na genes tofauti, mazingira ikiwa ni kitu mojawapo, mwili unatend kuadopt kulingana na mazingira, sasa kwa binadamu ambaye anakaa sehemu za joto, over period of years lazima changes zitokee mfano anakuwa na nywele fupi sana sababu hakai kwenye baridi, sasa mwili unakua exposed kwenye jua, hapo ndipo melanin inachukua kazi yake sasa, melanin inafanya ngozi yetu kua nyeusi ili kuweza kuishi bila kuhitaji vitu kama sunscreen ambao wenzetu weupe huzitumia sana wakati wa jua kali.... Hakuna kitu kama laana wala nini, its simply evolution tu
Mi Nnavojua huu weusi tulionao laana hii...kipindi kile cha nuhu ,baada ya gharika kuna mtoto mmoja alimchungulia baba ake akiwa uchi akamcheka wengine wawili wakaenda kinyume nyume wakamfunika,NUhu akamlaani yule aliemchungulia kuwa 'utakuwa mtumwa wa ndugu zako'...na ndo haya mnayoyaona throughout history,slave trade ,neocolonialism,underdevelopment yani ilimradi wazungu wako mbele...ingekuwa genes and revolution basi tungeevolve kuwa wazungu au wao kuwa weusi...source ndo hyo apo ,nikipata andiko specific ntaweka hapa mjionee