Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Swali la msingi sana hili.mbona hawapigi kelele tumkumbuke na mkapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la msingi sana hili.mbona hawapigi kelele tumkumbuke na mkapa?
Au akamtembelee Musiba kule alikojifichaKamtembelee Sabaya kama sehemu ya kuadhimisha.
Hata mcheza zumari kama wewe ni shujaaaTunaelekea Kawekamo Mwanza kwenye misa ya kumbukizi ya shujaa wa Afrika.
In short sukuma gang woote wameufyataTatizo MATAGA waoga, hawajitokezi hadharani kupambana, wanamuogopa Mama since kamtwanga Ndugai, wanaona hatabiriki and ana backing kubwa ya wapiga domo wa nchi
Kama kifo chake ni furusa kwa wengine tunaanzaje kuweka shughuli maalum za kumkumbuka!
Aliuza viwanda na benki kwa bei chee !!!mbona hawapigi kelele tumkumbuke na mkapa?
🤣🤣🤣Hawako salama amini 2025 haitapita bila wito wa Mungu kwa hao Illuminati, Freemason etc not just ..... with odd numbers bali hata shufwa zaja kwa kadri ilivyopangwa na Mola
Wanatapa tapa sanaIn short sukuma gang woote wameufyata
Hilo dikteta lilitaka tuliabudu....lilitaka liwe ndio MUNGUTunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Ndiyo kipindi chao hiki cha kulia na kusaga menoWanatapa tapa sana
Vipi yule aliye uza nyumba za watumishi? Ndiyo leo hii mnamwita shujaa wa Afrika?Aliuza viwanda na benki kwa bei chee !!!
Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Nimeamini kweli kutesa kwa zamu! Ni pigo kwenu ambalo hamtasahau wazee wa legacy. Tulieni tu hakuna namna nyingine, na huo ndio ukweriii!!!Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Afu ndo aliyempa uongoz huyo wanaemliliaNA MKAPA JE MBONA UMEMSAHAU JMN AU YY HAKUWA KIONGOZI?
Mhutu wewe, una dalili zote.Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Aliuza nyumba za serikali na kugawa zingine kwa vimada wake, alinunua kivuko kibovu na kukigawa kwa jeshi ili mtu yeylte asihoji. Alijenga International Airport kijijini kwao. Hayo ni kwa uchache tu.Aliuza viwanda na benki kwa bei chee !!!
Wewe na nani? Usinijumuishe tafadhari Nina mengi maovu ya kumsemaTunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Duh! Hatari kweli kweli ! Mimi siku zote husimama katika ukweli kama kuna vitu MTU yeyote amevifanya sawasawa nitamsifu na kama kuna vitu ameboronga pia nitasema kwamba hiyo sio sahihi kabisa kabisa, ndio maana mpaka hivi sasa mimi ninachukiwa na watu wa awamu ya Rais Kikwete kutokana na ukosoaji wangu pale nilipoona mambo hayaendi sawa !! JPM kuna vitu alivifanya sawa lakini pia vipo alivyoboronga huo ndio ukweli !!Vipi yule aliye uza nyumba za watumishi? Ndiyo leo hii mnamwita shujaa wa Afrika?
Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais. Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa. Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu. Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge. Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe. Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.