mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Kumbukumbu moja tu ya Hayati JKN inatosha ! Hatutaki tena kumbukumbu zingine ! Na hiyo ni kwa sababu ilishakubalika kwamba yeye ndiye BABA WA TAIFA !!Mhu 9:5
Kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.